Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,513
- 217,777
Msimamo huo umetolewa na Mkurugenzi wa Habari , uenezi na Mawasiliano ya umma , Salim Bimani alipokuwa akitoa tathmini ya miaka 53 ya mapinduzi ya Zanzibar na hali ya kiuchumi na kisiasa visiwani humo .
Chanzo - Nipashe .
Mytake - Naunga mkono uamuzi huu ili kuepuka siasa za aibu za CCM kama zilivyotokea msimu uliopita " CHOTARA HIZBU ZANZIBAR NI YA WAAFRIKA "
Chanzo - Nipashe .
Mytake - Naunga mkono uamuzi huu ili kuepuka siasa za aibu za CCM kama zilivyotokea msimu uliopita " CHOTARA HIZBU ZANZIBAR NI YA WAAFRIKA "