Safi kabisa.Msimamo huo umetolewa na Mkurugenzi wa Habari , uenezi na Mawasiliano ya umma , Salim Bimani alipokuwa akitoa tathmini ya miaka 53 ya mapinduzi ya Zanzibar na hali ya kiuchumi na kisiasa visiwani humo .
Chanzo - Nipashe .
Mytake - Naunga mkono uamuzi huu ili kuepuka siasa za aibu za CCM kama zilivyotokea msimu uliopita " CHOTARA HIZBU ZANZIBAR NI YA WAAFRIKA "
Mungu ibariki cufSafi kabisa.
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu .Cuf ni chama mfu kwa Zanzibar hakina mbunge wala diwani na huu mvurugano kati ya Katibu na mwenyekiti ndo kbsa unakifuta kwenye ulimwengu wa siasa hata wasipo shiriki hapatakuwa na athali yoyote.
Umevurugwa?Ukiwa muongo usiwe msahaulifu .
Una hakika cuf haina mbunge Zanzibar ?Umevurugwa?
Sasa ulitaka washiriki afu wakishinda ufutwe tena??? Be seriousWasuse tu kama uchaguzi na wakampa mtu kushinda kiulaini.
Ilimpata wapi wakati uchaguzi mlisusa????!!!Una hakika cuf haina mbunge Zanzibar ?
Hii inaonesha your ignorance. Unachupia mambo uliyokuwa huyajui mwanzo wala mwisho wake. Kakwambia nani kama CUF haina mbunge Zanzibar?Cuf ni chama mfu kwa Zanzibar hakina mbunge wala diwani na huu mvurugano kati ya Katibu na mwenyekiti ndo kbsa unakifuta kwenye ulimwengu wa siasa hata wasipo shiriki hapatakuwa na athali yoyote.
kwani wana wawakilishi huko zenji...hilo lichama lishapasuka...Prof anazidi kufanya siasa akina july wanabakia kuwa wabunge wa fb...they should change a strategy..Msimamo huo umetolewa na Mkurugenzi wa Habari , uenezi na Mawasiliano ya umma , Salim Bimani alipokuwa akitoa tathmini ya miaka 53 ya mapinduzi ya Zanzibar na hali ya kiuchumi na kisiasa visiwani humo .
Chanzo - Nipashe .
Mytake - Naunga mkono uamuzi huu ili kuepuka siasa za aibu za CCM kama zilivyotokea msimu uliopita " CHOTARA HIZBU ZANZIBAR NI YA WAAFRIKA "
CUF kwa kususa ndio wenyewe hata wakipewa mkono wa salamu wanasusa, kwani CUF walishiriki mapinduzi? wacha wasuse!!!CCM wakutane wenyewe watukane mpaka wachoke.
Hiyo ni kawaida yao wala haitaleta athari yoyote,wakae nyumbani wasubiri kupata urais wa mezaniMsimamo huo umetolewa na Mkurugenzi wa Habari , uenezi na Mawasiliano ya umma , Salim Bimani alipokuwa akitoa tathmini ya miaka 53 ya mapinduzi ya Zanzibar na hali ya kiuchumi na kisiasa visiwani humo .
Chanzo - Nipashe .
Mytake - Naunga mkono uamuzi huu ili kuepuka siasa za aibu za CCM kama zilivyotokea msimu uliopita " CHOTARA HIZBU ZANZIBAR NI YA WAAFRIKA "
Tambala la deki,Zanzibar ni Africa.Msimamo huo umetolewa na Mkurugenzi wa Habari , uenezi na Mawasiliano ya umma , Salim Bimani alipokuwa akitoa tathmini ya miaka 53 ya mapinduzi ya Zanzibar na hali ya kiuchumi na kisiasa visiwani humo .
Chanzo - Nipashe .
Mytake - Naunga mkono uamuzi huu ili kuepuka siasa za aibu za CCM kama zilivyotokea msimu uliopita " CHOTARA HIZBU ZANZIBAR NI YA WAAFRIKA "
Tambala la deki,unalolifahamu kweli zaidi ya kudeki tu barabara mabwanazo wapite?!Hujui kitu .
Tambala la deki,ni zaidi ya 90% mh Dk alishinda.Hutaki,kufa!Hakuna aliyeshinda kiulaini pale .
Hahahaha, tambala la deki bwana!Eti mradi wa elfu 80,hakika kuinamia tambala kweli kunakupa tabu siku hizi.Naambiwa ulizoeshwa Heineken bali nowadays unapewa tu coca cola na unalalamika unatumika kuliko;hahahaha!Ungejua kwanini leo Mh Shein anakuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa mradi wenye gharama ya tsh elfu 80 usingethubutu kutia pua hapa .