JECHA Ni Wakala Na Mtekelezaji Wa Maagizo Ya Viongozi Wa CCM Na Serikali Yake Tu!!! Anatumika Kama Nyenzo Ya Kupatikana Kwa Maslahi Ya Kundi Hilo!!! NDIO Maana Ktk Matamko Yake Yote, Kuanzia Lile La KUFUTA MATOKEO Na Hili La KURUDIA UCHAGUZI Huo, AMESHINDWA Kabisa Kunukuu Hata Kifungu Kimoja Tu Cha Kisheria, Iwe SHERIA Ya Uchaguzi, Ya ZEC Au Kakatiba Ya ZANZIBAR Ambayo Inampatia Mamlaka Ya Kufanya Hivyo!!! ZAIDI Ya Kutangaza Tu KIENYEJI!!!Alaa umekubali kuwa hata Jecha ni mtekelezaji wa maelezo ya kufuta uchaguzi!
Mkuu Pasco
Tuwe wawazi tuache ushabiki, kufutwa kwa matokeo ni kwa sababu ccm imeshindwa uchaguzi, hakuna sababu nyengine.
Suala la muungano huwezi kulilinda milele na huwezi kulilinda kwa bunduki, ipo siku hata watanganyika nao watadai tanganyika kwa nguvu za Umma wakati ukifika kama wazanzibari wanavyo dai zanzibar yenye mamlaka kamili.
Sio kweli kwamba zanzibar inahudumiwa na serikali ya muungano kwa kodi za watanganyika, MCC isinge zuiya zile fedha kwa sababu wanajua kuwa kuna mgao wa Zanzibar humo humo, kwa maana suala la zanzibar ni kubwa tofauti unavyo fikiri. Na pesa ambayo serikali ya Tanzania inaipa zanzibar ni moja ya mchango ilitoa 11 percent katika bank Kuu.
Zanzibar inapewa 4.5 tu kwa mwaka, hata hivyo fedha hizo zanzibar hupata less than that na nyingine kuishia katika matumbo ya viongozi wako.
Wazanzibari wanautaka muungano lakini wa haki kwa kila upande, na mfano wa Zanzibar ilikuwa ikipenda ushirikiano na nchi jirani ni Eac, zanzibar ilikuwa ni member wa East Africa community.
Ccm nyie mushazoea siasa za maji taka, ubaguzi wa rangi na dini, na haya ni kwa sababu viongozi wenu walianza kupalilia na kuyalinda na kuwasomesha watoto wetu huu ubaguzi, kaanza Nyerere, mizengo pinda, lukuki, na sasa Shein nae anayapokea kwa maandamo mabango ya ubaguzi.