Elections 2015 CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake

Alaa umekubali kuwa hata Jecha ni mtekelezaji wa maelezo ya kufuta uchaguzi!

Mkuu Pasco

Tuwe wawazi tuache ushabiki, kufutwa kwa matokeo ni kwa sababu ccm imeshindwa uchaguzi, hakuna sababu nyengine.

Suala la muungano huwezi kulilinda milele na huwezi kulilinda kwa bunduki, ipo siku hata watanganyika nao watadai tanganyika kwa nguvu za Umma wakati ukifika kama wazanzibari wanavyo dai zanzibar yenye mamlaka kamili.

Sio kweli kwamba zanzibar inahudumiwa na serikali ya muungano kwa kodi za watanganyika, MCC isinge zuiya zile fedha kwa sababu wanajua kuwa kuna mgao wa Zanzibar humo humo, kwa maana suala la zanzibar ni kubwa tofauti unavyo fikiri. Na pesa ambayo serikali ya Tanzania inaipa zanzibar ni moja ya mchango ilitoa 11 percent katika bank Kuu.
Zanzibar inapewa 4.5 tu kwa mwaka, hata hivyo fedha hizo zanzibar hupata less than that na nyingine kuishia katika matumbo ya viongozi wako.

Wazanzibari wanautaka muungano lakini wa haki kwa kila upande, na mfano wa Zanzibar ilikuwa ikipenda ushirikiano na nchi jirani ni Eac, zanzibar ilikuwa ni member wa East Africa community.

Ccm nyie mushazoea siasa za maji taka, ubaguzi wa rangi na dini, na haya ni kwa sababu viongozi wenu walianza kupalilia na kuyalinda na kuwasomesha watoto wetu huu ubaguzi, kaanza Nyerere, mizengo pinda, lukuki, na sasa Shein nae anayapokea kwa maandamo mabango ya ubaguzi.
JECHA Ni Wakala Na Mtekelezaji Wa Maagizo Ya Viongozi Wa CCM Na Serikali Yake Tu!!! Anatumika Kama Nyenzo Ya Kupatikana Kwa Maslahi Ya Kundi Hilo!!! NDIO Maana Ktk Matamko Yake Yote, Kuanzia Lile La KUFUTA MATOKEO Na Hili La KURUDIA UCHAGUZI Huo, AMESHINDWA Kabisa Kunukuu Hata Kifungu Kimoja Tu Cha Kisheria, Iwe SHERIA Ya Uchaguzi, Ya ZEC Au Kakatiba Ya ZANZIBAR Ambayo Inampatia Mamlaka Ya Kufanya Hivyo!!! ZAIDI Ya Kutangaza Tu KIENYEJI!!!
 
Well. Umeandika vema. Ila kwa upande wangu nakubaliana na Pasco. CUF hawana option nyingine zaidi ya kushiriki uchaguzi. Kumbuka uhai wa chama cha siasa upo kwenye kushiriki uchaguzi. Kama chama hakishiriki uchaguzi maana yake ni kwamba kimejiondoa chenyewe kwenye siasa. CUF wakithubutu kufanya hivyo ndo tutakuwa tumewazika rasmi

Haitakuwa mara ya kwanza CUF kususia uchaguzi. Kufikiria kuwa chama hiki kitafutika kwa kususia uchaguzi huo ni kujidinganya; tena kujidanganya kitoto. CUF kushiriki uchaguzi huo ni kujidhalilisha. Hao wanaotaka ushindi wa mezani wauchukue.
 
CCM Waso Haya washafanya haya 2005..CUF Walisusa na CCM Ikazoa vitu Pemba Maaruf Viti vya Maruhani. Hilo Hlikuathiri CUF Bali kimezidi kuimarika mara dufu .
Na hata mara hii CUF wakidinda basi CCM Watachaguliwa na Maruhani na kura za wizi ...
 
Cuf ni chama cha ukombozi hakiwezi kufa wakati wazanzibar bado wanaonewa, wanaishi chini ya uhuru bandia. Mapinduzi yao yametekwa.
 
Mkuu
hassanninga14 uongo ukisemwa sana na kurudiwa rudiwa bila kukanushwa unageuka kuwa ukweli!. Na ubatili ukiachwa kwa muda muda mrefu kuendelea kuwa ubatili, unageuka kuwa halali!.


.....
Kilichobakia ni heshima na adabu kuziheshumu mamlaka halali!, na iwapo kutajitokeza chokochoko ya aina yoyote, ya kutishia amani na utulivu wa Zanzibar, hapo ndipo vikosi vya polisi na JWTZ chini ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa JMT, Dr. John Pombe Magufuli, atakapowajibika kuingilia kati kuhakikisha uwemo wa amani na utulivu!.

Pasco
Ni uongo upi huo uliorudiwa rudiwa ambao umegeuka kweli?
Kwamba Uchaguzi ulikuwa na dosari?

Anguko la CCM kufuatia uchaguzi wa tarehe 25 oktoba 2015 ni kutoweka kwa amani na utulivu?
Kwa Jeshi kukiweka chini ya ulinzi (lock down) kituo cha kutangazia matokeo Cha ZEC na Polisi kumteka nyara Makamu Mwenyekiti wa ZEC ilikuwa ni kuweka amani na utulivu?
Kwa hiyo amani na utulivu ni kwa CCM kukataa kushindwa? Au amani na utulivu ni CCM kungang'ania madaraka, kupiga DOMO-krasi na kugawia wananchi "maisha bora"?
Je chokochoko ni pale upinzani unaposhinda uchaguzi?
Pasco bana.

Zipo ripoti kuwa vikosi vimeanza na hiyo kazi ya kuhakikisha uwepo wa amani na utulivu kwa kupiga mabomu ya machozi wananchi waliokuwa wanapiga stori kwenye vijiwe vyao vya kahawa, halua na kashata.
 
Mkuu
hassanninga14 uongo ukisemwa sana na kurudiwa rudiwa bila kukanushwa unageuka kuwa ukweli!. Na ubatili ukiachwa kwa muda muda mrefu kuendelea kuwa ubatili, unageuka kuwa halali!.


Nakubaliana na wewe kuwa uchaguzi wa marudio wa Zanzibar ni batili kwa sababu uchaguzi halali uliishafanyika na mshindi halali kupatikana ila hakutangazwa, na badala yake uchaguzi ule ukafutwa kwa mtu batili, mwenye mamlaka batili na kwa kutumia sheria batili!.

Uzuri wa Zainzibar ni nchi inayofuata katiba kwa utawala wa sheria unaotumia sheria taratibu na kanuni!. Kama aliyetangaza kufutwa kwa uchaguzi alikuwa ni mtu batili na ametumia sheria batili, zipo sheria taratibu na kanuni za kuushughulikia ubatili huo!, lakini hakuna yoyote aliyechukua hatua yoyote kuuzuia ubatili ule!.Hivyo ubatili umeachwa hadi kugeuka halali!.

Sasa batil ile iliyofuta uchaguzi kwa ubatili na kupanga uchaguzi wa marudio batili, lakini matokeo ya uchaguzi huo batili yatakuwa ni matokeo halali, yatakayotangazwa na mamlaka halali kwa kutumia sheria, kanuni na taratibu halali, kwa kufuata ile kanuni ya the end justify the means, hata kama ni uchaguzi batili na rais akapatikana kwa ubatili, akiishatangazwa rasmi kuwa ndie rais, anakuwa ni rais halali, and nothing more Maalim, CUF or anyone can do kwa sababu the end will justify the means!.

Hivyo batili inatageuzwa kuwa halali na haramu kujipatia uhalali!.

Dawa ya batil ni kuitangaza kuwa ni batili, taasisi pekee yenye mamlaka ya kisheria kutangaza jambo fulani ni batili ni taasisi moja tuu, ambayo sio CUF, sio Maalim Seif, sio wanasheria, sio jumuiya ya kimataifa, bali ni mahakama kuu ya Zanzibar pekee!.

Kama hakuna yoyote aliyeitaka mahakama kuu ya Zanzibar kuutangaza ubatili wa Jecha, na sasa ameishatangaza tarehe ya uchaguzi wa marudio, kama hakuna yoyote atakayekwenda mahakamani kuupinga huo uchaguzi batili, siku ya siku ikifika watu watapiga kura katika uchaguzi batili na mshindi atapatikana katika ubatili huo huo, ila akiishatangwa tuu kuwa fulani ndio mshindi, huo sasa ndio unakuwa mwisho wa ubatili wote na mwanzo wa uhalali, kwa sababu kwa mujibu wa sheria zetu, rais akiishatangazwa kuwa ni rais, basi ndio mwisho wa mchezo, uchaguzi unakuwa umekwisha, kunakuwa hakuna tena mjadala!.

Kilichobakia ni heshima na adabu kuziheshumu mamlaka halali!, na iwapo kutajitokeza chokochoko ya aina yoyote, ya kutishia amani na utulivu wa Zanzibar, hapo ndipo vikosi vya polisi na JWTZ chini ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa JMT, Dr. John Pombe Magufuli, atakapowajibika kuingilia kati kuhakikisha uwemo wa amani na utulivu!.

Pasco
Mkuu Pasco unanyata bila ya kupuliza, lakini ndivyo inavyotakiwa, maumivu yakiwa makali yanaleta changa moto pia.

Mimi nina imani 100% uchaguzi ni upotevu wa pesa za walipa kodi. Nina hakika ya kwamba kwa upande wa diwani na wawakilishi, washindi wote washapatikana, wameshatangazwa na wameshakabidhiwa vyeti vyao. Zitakapopigwa kura tena na kupatikana washindi wengine hapo ndio suala la kwenda mahakamani litaanza.

Na kutokana na sheria za uchaguzi, Zanzibar, Jecha na Tume kwa ujumla hawana mamlaka ya kutenguwa matokeo yale. Na kwa maana hiyo Madiwani na Wawakilishi walochaguliwa 25/10/2015 watabakiwa kuwa ni wateuzi halali. Hiyo haina mjadala. Hawa wanataka kufuja pesa tu. Na ikitokezea kura za madiwani na Wawakilishi wapya kutambulika kisheria katika mahakama basi mimi itakuwa wa kwanza kuihama Tanzania na I will personally DHL you my TZ passport torn into pieces. Take my words
 
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa marudio visiwani Zanzibar, kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari ya kushiriki uchaguzi huo au kutoshiriki, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, no way!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiriki ama isishiriki uchaguzi huo, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marudio sio suala la option bali ni jambo la lazima, watake wasitake ni lazima washiriki, kwa sababu kila kitu kiko vile vile kama mwanzo!, nikimaanisha hata wakisusa, picha na majina ya wagombea wao yatakuwepo kwenye karatasi za kura!.

Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki uchaguzi huo ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kura, au kususa kupiga kura kwa kutokujitokeza, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, lakini kushiriki uchaguzi huo sio option ni jambo la lazima!.

Iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa kinaitwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu, ngome kuu ya CUF ni Pemba, kususia uchaguzi ni kuipoteza Pemba ambapo na ngome kuu ikiishakuangua, it is just a matter of time, chama chenyewe chote kielekee kaburini!.

Hata kama CUF watatangaza kususa, majina ya wagombea wa CUF tayari yako kwenye karatasi za kura katika uchaguzi huo, hivyo wakitangaza kususa, maana ni wagombea wa CUF hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuitwaa ngome ya CUF kule Pemba na kuivunja uti wake wa mgongo, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibar na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.

Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu


Hoja katika badhiko hilo mi kitisho cha CUF kuwa kisiposhiriki, hali ya amani na utulivu wa visiwa vya Zanzibar, utakuwa mashakani!. Maadam Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na watu wa Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar tuu, bali ni jukumu la JMT, haiwezekani sehemu moja ya JMT iwe katika hali tete, wakati JMT ni nchi moja, ulinzi na usalama wa JMT utakuwa mikononi mwa JMT!.

Hivyo CUF washiriki uchaguzi huu wa marudio, au wasishiriki kwa kuususia, it will not make any difference kwenye amani na utulivu wa Zanzibar kwa sababu jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Wanzanzibari wenyewe pekee, bali pia ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Dr. Joh Pombe Magufuli!.

Zanzibar kama sehemu ya JMT, inayo assuarance ya Amri Jeshi Mkuu wa JMT, kuhakikisha kuwa Uchaguzi wa marudio wa Zanzibar, uliotangazwa, utafanyika kwa uhuru, amani, usalama na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda serikali nyingine ya Zanzibar yenye jina la SUK lakini wawakilishi wa CUF kuendelea kuitawala Zanzibar kwa uhuru na amani kabisa bila`wasiwasi wowote kwa ile falsafa ya kule ya Mapinduzi Daima!.

Demokasia ya kweli ni serikali ya watu, inayoongozwa na watu kwa manufaa ya watu hao!, (of the people, by the people, and for the people), ila demokasia hiyo haikuwe kiwango cha asilimia ya watu hao!, hivyo hata kama nchi ina watu milioni moja, serikali ikachaguliwa na watu 10 tuu, bado serikali hiyo itakuwa ni serikali halali kisheria, japo itakosa peoples legitimacy, kwa watu hao ndio watakuwa wametumia haki yao ya kidemokrasia kwa kutokupiga kura!.


Kushiriki uchaguzi wowote, kwa kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kisha kuamua kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.Kama CUF itawashawishi wafuasi wake kususia uchaguzi huo, hiyo itakuwa ndio demokrasia yao!.

Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa marudio sio kwa hiyari ua kwa kupenda, bali ipende, isipende, ni lazima ishiriki uchaguzi huo!.

Hapa hakuna suala la choice. Na iwapo CUF watasusa kushiriki uchaguzi huo wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili kwa sabu picha na majina ya wagombea wa CUF yataendelea kuwepo kwenye karatasi za kura!, hivyo kususa huko ndiko kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.

Turufu ya CUF kutishia kususa ni kwa kisingizio cha itabembelezwa ili kusitokea machafuko Zanzibar!. Kiukweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010.

Kwa sasa Amiri Jeshi Mkuu ni Dr. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, ili kuepusha machafuko Zanzibar, nawahakikishia this time watakuwa wame bugi step, hata wakisusa, hakutakuwa na vujo wala ,achafuko yoyote Zanzibar kwa sababu sasa ni zamu ya hapa hapa ni kazi tuu!.

Wanzanzibar, na Watanzania wote, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya JMT, tuna jukumu kubwa la kuilinda amani na utulivu wa eneo lote la JMT, ikiwemo Zanzibar, kwa gharama yoyote!, hii ikiwa ni pamoja na kuulinda muungano kwa gharama yoyote!.
Wasalaam
Pasco
umewahi kusikiliza nyimbo unayoipenda kwenye sahani ya santuri yenye pengo? halafu kula wimbo unapoendelea unakuwa unajirudiarudia. Bsi ni sawa na mawazo ya PASCO. Mawazo yake sawa na nyimbo za Intarahamwe, kusudio lake halipishani la NKurunziza, ubaguzi wake sawa na CCM Kisonge. Lakini yote hayo yote tunayajua. Alishindwa Mreno , yakamtapika Sultan na si vigumu kumcheuka CCM Tanganyika. Kwa bahati mbaya sana PASCO nafikiria humjui mtu anaeitwa Mzanzibari. Kwa faida yako na watu wenye akili finyu na uwezo wa dhiraa moja ya kufikiri wangelikisoma kitabu kimoja maarufu kinaitwa CLOVE ISLAND. Ungemjua mzanzibari ni nani.Kwa ufupi ni mnyonge, mpole,mstahamilivu,msikivu lakini ni mwerevu na akiamua akisema QUN FAYAQUN basi ni QUN FAYAQUN kweli, ataulinda utu na heshima yake kwa gharama yoyote ile!

Zama za kutishana zimeshapitwa na wakati, wala kauli kama hizo haziwezi kubadilisha msimamo wa nafsi na maamuzi matakatifu ya wazanzibari waliowengi. Lakini kauli kama hizi wazungu wanasema " it is easy said than done" Ni makala ya kupata " cheap popularity"
Naamini Tanzania haina Amiri Jeshi mkali, katili jeshi kubwa, vifaa na silaha za maangamizi kuliko ilivyokuwa USSR!.Lakini ilibugujika kama unga wa AZAM seuze paka wa biti Hatiibu......Ukimtupia ganda la muwa la jana kwake anaona ....
!
 
Mkuu Pasco unanyata bila ya kupuliza, lakini ndivyo inavyotakiwa, maumivu yakiwa makali yanaleta changa moto pia.

Mimi nina imani 100% uchaguzi ni upotevu wa pesa za walipa kodi. Nina hakika ya kwamba kwa upande wa diwani na wawakilishi, washindi wote washapatikana, wameshatangazwa na wameshakabidhiwa vyeti vyao. Zitakapopigwa kura tena na kupatikana washindi wengine hapo ndio suala la kwenda mahakamani litaanza.

Na kutokana na sheria za uchaguzi, Zanzibar, Jecha na Tume kwa ujumla hawana mamlaka ya kutenguwa matokeo yale. Na kwa maana hiyo Madiwani na Wawakilishi walochaguliwa 25/10/2015 watabakiwa kuwa ni wateuzi halali. Hiyo haina mjadala. Hawa wanataka kufuja pesa tu. Na ikitokezea kura za madiwani na Wawakilishi wapya kutambulika kisheria katika mahakama basi mimi itakuwa wa kwanza kuihama Tanzania na I will personally DHL you my TZ passport torn into pieces. Take my words
Ikipendaroho... usitumie hasira mkuu... We ool want this to end Well... and Mola Akipenda litaisha.. I know how hard it is for All those cuf supporters in the island... lakn wat to do mkuu? Nuthn kwa kweli... je Will you continue hoping? That things will work out? Or? Mkiambiwa na viongzi wenu mkashiriki uchaguzi? Mtaenda?.
If all of you believe mkuu... kama wengine walivocomment kwenye uzi huu kuwa marejeo ya uchaguzi ni kumuezesha tu mwafulani ashinde? Would you be better of participating or not? Weigh out your options carefully...
 
Ikipendaroho... usitumie hasira mkuu... We ool want this to end Well... and Mola Akipenda litaisha.. I know how hard it is for All those cuf supporters in the island... lakn wat to do mkuu? Nuthn kwa kweli... je Will you continue hoping? That things will work out? Or? Mkiambiwa na viongzi wenu mkashiriki uchaguzi? Mtaenda?.
If all of you believe mkuu... kama wengine walivocomment kwenye uzi huu kuwa marejeo ya uchaguzi ni kumuezesha tu mwafulani ashinde? Would you be better of participating or not? Weigh out your options carefully...
Kwanza mimi siwezi kupiga kura Zanzibar, so regardless of what Ukawa or anyone else says, I cant vote.

La pili ni kuwa nina amini kurejewa kwa kura ni kitendo cha kinyume na sheria, na najuwa usumbufu nilioupata wakati wa kupiga kura, so am not stupid enough to waste my time unnecessarily even if I was eligible for the re-voting.

La tatu nasisitiza tena hata hizo kura zikipigwa, matokeo yake hayatosimama. Yatapingwa mahakamani. Hilo nina hakika nalo 100%. Kwa mtazamo wangu kuna miezi kama 6 mengine bila ya madiwani, wawakilishi na possibly raisi halali.
 
Pasco
Nimekushutumu kuwa ni mfuasi wa ccm kwa sababu siku zote nakala au hata maoni yako ni kuukosoa upinzani au kuikosoa zanzibar, sioni nakala za kuikosoa ccm juu ya suala la muungano au something else.
Mkuu GHIBUU, uko very right kunidhania unavyonidhania kwa sababu wengi wa members humu wana take sides, mimi sina chama na sitake sides, CCM wakifanya mazuri, nawapongeza, wakifanya madudu nawakosoa vivyo hivyo kwa wapinzani wakifanya mazuri nawapongeza na wakifanya madudu nawakosoa, bahati mbaya wapinzani wamefanya madudu mengi kulio mazui, hivyo theads zangu za kusifu zimekuwa chache kuliko za kukosoa, ila pia kwa CCM nimewapongeza maa chache na kuwabalasa sana tuu tatizo hamsomi. Mimi ni mtu wa kutanguliza mbele maslahi ya taifa. Tafuta muda pitia nyuzi hizi
Kwa ku assume mimi ni pro CCM hebu pitia nyuzi hizi.

[URL='https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-hili-la-salum-mwalimu-cuf-inastahili-pongezi-ni-mwanzo-mzuri-wa-reality-ya-ukawa.848782/']Kwa Hili la Salum Mwalimu, CUF Inastahili Pongezi ni Mwanzo
Kwa Hili! Hongera Sana Chadema, Hongera Mhe. Mbowe!,
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!
[/URL]

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed ...
Matokeo ya Serikali za Mitaa: Ni mwanzo wa mwisho wa CCM?! Au ...
Yametimia!, CCM Imechokwa!, CHADEMA Njia Nyeupe 2015!-
Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi
Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze: CHADEMA Muungeni mk
Kuelekea 2015: Ni Mbio Za Magari Kati ya Mkweche na Mashi
Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui MkubwKuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!...
Hivi Kweli Kuna Mtanzania, Mwenye Akili Zake Timamu, Ana
Nimekubali matokeo, UKAWA Kanda ya Ziwa wako vizuri, Mnyik
Octoba 2015:Tanzania Has a Choice Kati ya Kuendelea na Uma

Pasco
 
Pasco
Wazanzibari mkuu hawana tija na muungano, kumbuka Nyerere ndio alie mshawishi Abeid Amani Karume kuunda muungano.
Suala la zanzibar juu ya muungano sio suala la manufaa kwa zanzibar, wala hatufaidiki na chochote. Hata ukichukulia hoja ya Wazanzibari wanao ishi bara kuwa huru, hata kabla ya muungano walikuwa huru, na biashara zilifanyika katika ukanda huu wa East Africa, zanzibar, mombasa Kenya na Tanganyika hata Comoro.

Tujadili fact zenyewe katika muungano, ni nani hasa anae faidika na huu muungano?
Hili la muungano, ni kweli ila chanzo sio Nyerere, chanzo ni Karume, baada ya Mapinduzi yale matukufu ya Zanzibar, Karume akaogopa kuvamiwa na manowari za Uingereza zilizotumwa kuja kumejesha Sultani, hivyo Karume akaomba ulinzi, majeshi ya nchi moja yatakwendaje kulinda nchi nyingine?. Ikaamuliwa dawa ni kuungana!.
Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano ...

Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, Then "Twe
Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilic
Swali: Hivi Muungano Tanzania Upo Kweli?! au ni Dhana Tuu ...
Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Ga
Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar K
Kuna haja ya kuhofia kurudiwa Uchaguzi Zanzibar? | JamiiForu
Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua ..
Zanzibar: Japo SMZ ya SUK sio de jure tena bali ni de facto
Ushauri wa bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared f
Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikal
Pasco
 
Hili la muungano, ni kweli ila chanzo sio Nyerere, chanzo ni Karume, baada ya Mapinduzi yale matukufu ya Zanzibar, Karume akaogopa kuvamiwa na manowari za Uingereza zilizotumwa kuja kumrejesha Sultani, hivyo Karume akaomba ulinzi, majeshi ya nchi moja yatakwendaje kulinda nchi nyingine?. Ikaamuliwa dawa ni kuungana!.
.....

Pasco
Nani aliamua?
Je kuna ukweli kuwa Mapinduzi ya Zanzibar yalipangwa Tanganyika?



Soma hapa link Ukweli wa historia ya mapinduzi ya Zanzibar
 
Nani aliamua?
Je kuna ukweli kuwa Mapinduzi ya Zanzibar yalipangwa Tanganyika?



Soma hapa link Ukweli wa historia ya mapinduzi ya Zanzibar

Nimemsikiliza Tundu Lisu na kuisoma ile makala, kiukweli hakuna kitu, hizi kauli za Mapinduzi ya Zanzibar yalipangwa na Tanganyika, ni kauli za kujifariji za vizalia wa waliopinduliwa, ili kujenga uhalali kuwa Wanzanzibari wenyewe wako tayari kuendelea kutawaliwa na Sultan, walioleta chokochoko sio Wazanzibari bali ni Watanganyika!.

Kuna mambo kuhusu Zanzibar hayasemwi, kama huku bara baada ya kutolewa kauli ya "Ni zamu ya Kaskazini", zilitolewa kauli kuwa kamwe Mkaskazini hawezi kuwa rais wa nchi hii!. Vivyo hivyo niliwahi kusikia kauli za "Kamwe Mwarabu hawezi kurudi kutawala Zanzibar!", mara "Kamwe Mpemba hawezi kutawala Zanzibar kwa hoja kuwa Pemba haikushiriki katika yale Mapinduzi Matukufu!". Hizi japo ni kauli za kibaguzi, na mimi binafsi siungi mkono ubaguzi wa aina yoyote lakini nimesema kilichosemwa, sometimes lisemwalo lipo, kama halipo linakuja!. Kauli huumba!.

Huku bara wakati wa kupigania uhuru, kulijitokeza tofauti kati ya Mangi Mkuu Tomas Mareale na Mwalimu Nyerere, zikatolewa kauli za kichinichini kuwa nchi hii kamwe Mchagga au Nshomile, hawezi kuja kuwa rais wa nchi hii!, urais wa Tanzania na Zanzibar ni hakimiliki ya mtu kutoka Chama cha Mapinduzi, kwa sababu ni Chama Cha Mapinduzi pekee ndio wenye long eksipiriennsi ya uzoefu wa muda mrefu katika urais, sasa hayo makabila yalisemwa kamwe, sijawahi hata kusikia angalau hata wakijaribu kujitokeza kuchukua fomu kuomba kuteuliwa CCM, hivyo alichokifanya Jecha eza kuwa ni utekelezaji tuu wa kauli kama hizi za kibaguzi, na siku ile lile bango la maskani kitonge lilipopita pale mbele ya mgeni rasmi, lilishangiliwa sana hadi na mgeni rasmi!.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yalifanywa na Wazanzibari wenyewe na wala sio Watanganyika!. Ila Muungano ndio ulifanywa na Watanganyika na Wazanzibari, tukaungana kuwa kitu kimoja na kuunda nchi moja ya Tanzania!, hivyo Muungano huu utalindwa kwa gharama yoyote!, kiongozi awaye yote, kutoka chama chochote, akionekana ni riski kwenye majaaliwa ya muungano wetu, hapewi nchi!. Wanaonyima nchi, wananyima kwa hiyo hoja ya gharama yoyote!. Poleni ndugu zetu, mnaweza kujikuta kumbe kauli zenu ndizo zinawaponza na kupelekea kutokea yaliyotokea, huku tukimlaumu Jecha, kumbe sii Jecha bali wenye nchi wenyewe!.

Mapinduzi Daima.

Pasco
 
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa marudio visiwani Zanzibar, kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari ya kushiriki uchaguzi huo au kutoshiriki, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, no way!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiriki ama isishiriki uchaguzi huo, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marudio sio suala la option bali ni jambo la lazima, watake wasitake ni lazima washiriki, kwa sababu kila kitu kiko vile vile kama mwanzo!, nikimaanisha hata wakisusa, picha na majina ya wagombea wao yatakuwepo kwenye karatasi za kura!.

Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki uchaguzi huo ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kura, au kususa kupiga kura kwa kutokujitokeza, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, lakini kushiriki uchaguzi huo sio option ni jambo la lazima!.

Iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa kinaitwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu, ngome kuu ya CUF ni Pemba, kususia uchaguzi ni kuipoteza Pemba ambapo na ngome kuu ikiishakuangua, it is just a matter of time, chama chenyewe chote kielekee kaburini!.

Hata kama CUF watatangaza kususa, majina ya wagombea wa CUF tayari yako kwenye karatasi za kura katika uchaguzi huo, hivyo wakitangaza kususa, maana ni wagombea wa CUF hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuitwaa ngome ya CUF kule Pemba na kuivunja uti wake wa mgongo, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibar na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.

Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu


Hoja katika badhiko hilo mi kitisho cha CUF kuwa kisiposhiriki, hali ya amani na utulivu wa visiwa vya Zanzibar, utakuwa mashakani!. Maadam Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na watu wa Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar tuu, bali ni jukumu la JMT, haiwezekani sehemu moja ya JMT iwe katika hali tete, wakati JMT ni nchi moja, ulinzi na usalama wa JMT utakuwa mikononi mwa JMT!.

Hivyo CUF washiriki uchaguzi huu wa marudio, au wasishiriki kwa kuususia, it will not make any difference kwenye amani na utulivu wa Zanzibar kwa sababu jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Wanzanzibari wenyewe pekee, bali pia ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Dr. Joh Pombe Magufuli!.

Zanzibar kama sehemu ya JMT, inayo assuarance ya Amri Jeshi Mkuu wa JMT, kuhakikisha kuwa Uchaguzi wa marudio wa Zanzibar, uliotangazwa, utafanyika kwa uhuru, amani, usalama na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda serikali nyingine ya Zanzibar yenye jina la SUK lakini wawakilishi wa CUF kuendelea kuitawala Zanzibar kwa uhuru na amani kabisa bila`wasiwasi wowote kwa ile falsafa ya kule ya Mapinduzi Daima!.

Demokasia ya kweli ni serikali ya watu, inayoongozwa na watu kwa manufaa ya watu hao!, (of the people, by the people, and for the people), ila demokasia hiyo haikuwe kiwango cha asilimia ya watu hao!, hivyo hata kama nchi ina watu milioni moja, serikali ikachaguliwa na watu 10 tuu, bado serikali hiyo itakuwa ni serikali halali kisheria, japo itakosa peoples legitimacy, kwa watu hao ndio watakuwa wametumia haki yao ya kidemokrasia kwa kutokupiga kura!.


Kushiriki uchaguzi wowote, kwa kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kisha kuamua kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.Kama CUF itawashawishi wafuasi wake kususia uchaguzi huo, hiyo itakuwa ndio demokrasia yao!.

Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa marudio sio kwa hiyari ua kwa kupenda, bali ipende, isipende, ni lazima ishiriki uchaguzi huo!.

Hapa hakuna suala la choice. Na iwapo CUF watasusa kushiriki uchaguzi huo wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili kwa sabu picha na majina ya wagombea wa CUF yataendelea kuwepo kwenye karatasi za kura!, hivyo kususa huko ndiko kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.

Turufu ya CUF kutishia kususa ni kwa kisingizio cha itabembelezwa ili kusitokea machafuko Zanzibar!. Kiukweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010.

Kwa sasa Amiri Jeshi Mkuu ni Dr. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, ili kuepusha machafuko Zanzibar, nawahakikishia this time watakuwa wame bugi step, hata wakisusa, hakutakuwa na vujo wala ,achafuko yoyote Zanzibar kwa sababu sasa ni zamu ya hapa hapa ni kazi tuu!.

Wanzanzibar, na Watanzania wote, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya JMT, tuna jukumu kubwa la kuilinda amani na utulivu wa eneo lote la JMT, ikiwemo Zanzibar, kwa gharama yoyote!, hii ikiwa ni pamoja na kuulinda muungano kwa gharama yoyote!.
Wasalaam
Pasco
Pasco tafadhali naomba unijibu hili, cuf itakufa vipi znz wakati inawabunge kule wasiopungua 25?
 
Pasco tafadhali naomba unijibu hili, cuf itakufa vipi znz wakati inawabunge kule wasiopungua 25?
Nguvu, ni kweli CUF ina wabunge 25 ndani ya bunge la JMT, ila Power ya CUF ni Zanzibar ndani ya BLW na ndani ya SUK na sio ndani ya Bunge la JMT!. CUF ikijitoa uchaguzi huu wa marudio CCM, itavunawawaklishi 50 kujumlisha na wabunge 25 juamla 75 kwa 25 madiwani wote watakuwa ni CCM. Strong hold ya CUF ni Zanzibar, ikiondolewa Zanzibar, na kuondolewa SUK, CUF is dead!.

Pasco.
 
Nimemsikiliza Tundu Lisu na kuisoma ile makala, kiukweli hakuna kitu, hizi kauli za Mapinduzi ya Zanzibar yalipangwa na Tanganyika, ni kauli za kujifariji za vizalia wa waliopinduliwa, ili kujenga uhalali kuwa Wanzanzibari wenyewe wako tayari kuendelea kutawaliwa na Sultan, walioleta chokochoko sio Wazanzibari bali ni Watanganyika!.
....
Mapinduzi Daima.

Pasco
Unakusudia huyu sultani ambaye anatawala Zanzibar kwa miaka 50 sasa?
Nikumbushe sultani huyu anaitwa nani?

Al-cuf? Au Al-waafrika?
 
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa marudio visiwani Zanzibar, kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari ya kushiriki uchaguzi huo au kutoshiriki, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, no way!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiriki ama isishiriki uchaguzi huo, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marudio sio suala la option bali ni jambo la lazima, watake wasitake ni lazima washiriki, kwa sababu kila kitu kiko vile vile kama mwanzo!, nikimaanisha hata wakisusa, picha na majina ya wagombea wao yatakuwepo kwenye karatasi za kura!.

Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki uchaguzi huo ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kura, au kususa kupiga kura kwa kutokujitokeza, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, lakini kushiriki uchaguzi huo sio option ni jambo la lazima!.

Iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa kinaitwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu, ngome kuu ya CUF ni Pemba, kususia uchaguzi ni kuipoteza Pemba ambapo na ngome kuu ikiishakuangua, it is just a matter of time, chama chenyewe chote kielekee kaburini!.

Hata kama CUF watatangaza kususa, majina ya wagombea wa CUF tayari yako kwenye karatasi za kura katika uchaguzi huo, hivyo wakitangaza kususa, maana ni wagombea wa CUF hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuitwaa ngome ya CUF kule Pemba na kuivunja uti wake wa mgongo, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibar na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.

Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu


Hoja katika badhiko hilo mi kitisho cha CUF kuwa kisiposhiriki, hali ya amani na utulivu wa visiwa vya Zanzibar, utakuwa mashakani!. Maadam Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na watu wa Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar tuu, bali ni jukumu la JMT, haiwezekani sehemu moja ya JMT iwe katika hali tete, wakati JMT ni nchi moja, ulinzi na usalama wa JMT utakuwa mikononi mwa JMT!.

Hivyo CUF washiriki uchaguzi huu wa marudio, au wasishiriki kwa kuususia, it will not make any difference kwenye amani na utulivu wa Zanzibar kwa sababu jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Wanzanzibari wenyewe pekee, bali pia ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Dr. Joh Pombe Magufuli!.

Zanzibar kama sehemu ya JMT, inayo assuarance ya Amri Jeshi Mkuu wa JMT, kuhakikisha kuwa Uchaguzi wa marudio wa Zanzibar, uliotangazwa, utafanyika kwa uhuru, amani, usalama na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda serikali nyingine ya Zanzibar yenye jina la SUK lakini wawakilishi wa CUF kuendelea kuitawala Zanzibar kwa uhuru na amani kabisa bila`wasiwasi wowote kwa ile falsafa ya kule ya Mapinduzi Daima!.

Demokasia ya kweli ni serikali ya watu, inayoongozwa na watu kwa manufaa ya watu hao!, (of the people, by the people, and for the people), ila demokasia hiyo haikuwe kiwango cha asilimia ya watu hao!, hivyo hata kama nchi ina watu milioni moja, serikali ikachaguliwa na watu 10 tuu, bado serikali hiyo itakuwa ni serikali halali kisheria, japo itakosa peoples legitimacy, kwa watu hao ndio watakuwa wametumia haki yao ya kidemokrasia kwa kutokupiga kura!.


Kushiriki uchaguzi wowote, kwa kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kisha kuamua kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.Kama CUF itawashawishi wafuasi wake kususia uchaguzi huo, hiyo itakuwa ndio demokrasia yao!.

Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa marudio sio kwa hiyari ua kwa kupenda, bali ipende, isipende, ni lazima ishiriki uchaguzi huo!.

Hapa hakuna suala la choice. Na iwapo CUF watasusa kushiriki uchaguzi huo wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili kwa sabu picha na majina ya wagombea wa CUF yataendelea kuwepo kwenye karatasi za kura!, hivyo kususa huko ndiko kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.

Turufu ya CUF kutishia kususa ni kwa kisingizio cha itabembelezwa ili kusitokea machafuko Zanzibar!. Kiukweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010.

Kwa sasa Amiri Jeshi Mkuu ni Dr. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, ili kuepusha machafuko Zanzibar, nawahakikishia this time watakuwa wame bugi step, hata wakisusa, hakutakuwa na vujo wala ,achafuko yoyote Zanzibar kwa sababu sasa ni zamu ya hapa hapa ni kazi tuu!.

Wanzanzibar, na Watanzania wote, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya JMT, tuna jukumu kubwa la kuilinda amani na utulivu wa eneo lote la JMT, ikiwemo Zanzibar, kwa gharama yoyote!, hii ikiwa ni pamoja na kuulinda muungano kwa gharama yoyote!.
Wasalaam
Pasco
Kwa kauli yako CUF haina jinsi ya kususia uchaguzi kwakuwa majina ya wagombea tayari yapo tume ,sasa swali langu ni rahisi, je hao wagombea wakiamua kuhamia ADC au wakifukuzwa uanchama kwa namna yoyote ile je tume itaenda mahakamani kupinga?naomba ushauri
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa marudio visiwani Zanzibar, kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari ya kushiriki uchaguzi huo au kutoshiriki, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, no way!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiriki ama isishiriki uchaguzi huo, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marudio sio suala la option bali ni jambo la lazima, watake wasitake ni lazima washiriki, kwa sababu kila kitu kiko vile vile kama mwanzo!, nikimaanisha hata wakisusa, picha na majina ya wagombea wao yatakuwepo kwenye karatasi za kura!.

Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki uchaguzi huo ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kura, au kususa kupiga kura kwa kutokujitokeza, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, lakini kushiriki uchaguzi huo sio option ni jambo la lazima!.

Iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa kinaitwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu, ngome kuu ya CUF ni Pemba, kususia uchaguzi ni kuipoteza Pemba ambapo na ngome kuu ikiishakuangua, it is just a matter of time, chama chenyewe chote kielekee kaburini!.

Hata kama CUF watatangaza kususa, majina ya wagombea wa CUF tayari yako kwenye karatasi za kura katika uchaguzi huo, hivyo wakitangaza kususa, maana ni wagombea wa CUF hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuitwaa ngome ya CUF kule Pemba na kuivunja uti wake wa mgongo, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibar na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.

Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu


Hoja katika badhiko hilo mi kitisho cha CUF kuwa kisiposhiriki, hali ya amani na utulivu wa visiwa vya Zanzibar, utakuwa mashakani!. Maadam Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na watu wa Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar tuu, bali ni jukumu la JMT, haiwezekani sehemu moja ya JMT iwe katika hali tete, wakati JMT ni nchi moja, ulinzi na usalama wa JMT utakuwa mikononi mwa JMT!.

Hivyo CUF washiriki uchaguzi huu wa marudio, au wasishiriki kwa kuususia, it will not make any difference kwenye amani na utulivu wa Zanzibar kwa sababu jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Wanzanzibari wenyewe pekee, bali pia ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Dr. Joh Pombe Magufuli!.

Zanzibar kama sehemu ya JMT, inayo assuarance ya Amri Jeshi Mkuu wa JMT, kuhakikisha kuwa Uchaguzi wa marudio wa Zanzibar, uliotangazwa, utafanyika kwa uhuru, amani, usalama na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda serikali nyingine ya Zanzibar yenye jina la SUK lakini wawakilishi wa CUF kuendelea kuitawala Zanzibar kwa uhuru na amani kabisa bila`wasiwasi wowote kwa ile falsafa ya kule ya Mapinduzi Daima!.

Demokasia ya kweli ni serikali ya watu, inayoongozwa na watu kwa manufaa ya watu hao!, (of the people, by the people, and for the people), ila demokasia hiyo haikuwe kiwango cha asilimia ya watu hao!, hivyo hata kama nchi ina watu milioni moja, serikali ikachaguliwa na watu 10 tuu, bado serikali hiyo itakuwa ni serikali halali kisheria, japo itakosa peoples legitimacy, kwa watu hao ndio watakuwa wametumia haki yao ya kidemokrasia kwa kutokupiga kura!.


Kushiriki uchaguzi wowote, kwa kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kisha kuamua kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.Kama CUF itawashawishi wafuasi wake kususia uchaguzi huo, hiyo itakuwa ndio demokrasia yao!.

Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa marudio sio kwa hiyari ua kwa kupenda, bali ipende, isipende, ni lazima ishiriki uchaguzi huo!.

Hapa hakuna suala la choice. Na iwapo CUF watasusa kushiriki uchaguzi huo wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili kwa sabu picha na majina ya wagombea wa CUF yataendelea kuwepo kwenye karatasi za kura!, hivyo kususa huko ndiko kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.

Turufu ya CUF kutishia kususa ni kwa kisingizio cha itabembelezwa ili kusitokea machafuko Zanzibar!. Kiukweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010.

Kwa sasa Amiri Jeshi Mkuu ni Dr. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, ili kuepusha machafuko Zanzibar, nawahakikishia this time watakuwa wame bugi step, hata wakisusa, hakutakuwa na vujo wala ,achafuko yoyote Zanzibar kwa sababu sasa ni zamu ya hapa hapa ni kazi tuu!.

Wanzanzibar, na Watanzania wote, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya JMT, tuna jukumu kubwa la kuilinda amani na utulivu wa eneo lote la JMT, ikiwemo Zanzibar, kwa gharama yoyote!, hii ikiwa ni pamoja na kuulinda muungano kwa gharama yoyote!.
Wasalaam
Pasco
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa marudio visiwani Zanzibar, kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari ya kushiriki uchaguzi huo au kutoshiriki, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, no way!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiriki ama isishiriki uchaguzi huo, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marudio sio suala la option bali ni jambo la lazima, watake wasitake ni lazima washiriki, kwa sababu kila kitu kiko vile vile kama mwanzo!, nikimaanisha hata wakisusa, picha na majina ya wagombea wao yatakuwepo kwenye karatasi za kura!.

Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki uchaguzi huo ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kura, au kususa kupiga kura kwa kutokujitokeza, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, lakini kushiriki uchaguzi huo sio option ni jambo la lazima!.

Iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa kinaitwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu, ngome kuu ya CUF ni Pemba, kususia uchaguzi ni kuipoteza Pemba ambapo na ngome kuu ikiishakuangua, it is just a matter of time, chama chenyewe chote kielekee kaburini!.

Hata kama CUF watatangaza kususa, majina ya wagombea wa CUF tayari yako kwenye karatasi za kura katika uchaguzi huo, hivyo wakitangaza kususa, maana ni wagombea wa CUF hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuitwaa ngome ya CUF kule Pemba na kuivunja uti wake wa mgongo, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibar na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.

Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu


Hoja katika badhiko hilo mi kitisho cha CUF kuwa kisiposhiriki, hali ya amani na utulivu wa visiwa vya Zanzibar, utakuwa mashakani!. Maadam Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na watu wa Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar tuu, bali ni jukumu la JMT, haiwezekani sehemu moja ya JMT iwe katika hali tete, wakati JMT ni nchi moja, ulinzi na usalama wa JMT utakuwa mikononi mwa JMT!.

Hivyo CUF washiriki uchaguzi huu wa marudio, au wasishiriki kwa kuususia, it will not make any difference kwenye amani na utulivu wa Zanzibar kwa sababu jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Wanzanzibari wenyewe pekee, bali pia ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Dr. Joh Pombe Magufuli!.

Zanzibar kama sehemu ya JMT, inayo assuarance ya Amri Jeshi Mkuu wa JMT, kuhakikisha kuwa Uchaguzi wa marudio wa Zanzibar, uliotangazwa, utafanyika kwa uhuru, amani, usalama na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda serikali nyingine ya Zanzibar yenye jina la SUK lakini wawakilishi wa CUF kuendelea kuitawala Zanzibar kwa uhuru na amani kabisa bila`wasiwasi wowote kwa ile falsafa ya kule ya Mapinduzi Daima!.

Demokasia ya kweli ni serikali ya watu, inayoongozwa na watu kwa manufaa ya watu hao!, (of the people, by the people, and for the people), ila demokasia hiyo haikuwe kiwango cha asilimia ya watu hao!, hivyo hata kama nchi ina watu milioni moja, serikali ikachaguliwa na watu 10 tuu, bado serikali hiyo itakuwa ni serikali halali kisheria, japo itakosa peoples legitimacy, kwa watu hao ndio watakuwa wametumia haki yao ya kidemokrasia kwa kutokupiga kura!.


Kushiriki uchaguzi wowote, kwa kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kisha kuamua kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.Kama CUF itawashawishi wafuasi wake kususia uchaguzi huo, hiyo itakuwa ndio demokrasia yao!.

Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa marudio sio kwa hiyari ua kwa kupenda, bali ipende, isipende, ni lazima ishiriki uchaguzi huo!.

Hapa hakuna suala la choice. Na iwapo CUF watasusa kushiriki uchaguzi huo wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili kwa sabu picha na majina ya wagombea wa CUF yataendelea kuwepo kwenye karatasi za kura!, hivyo kususa huko ndiko kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.

Turufu ya CUF kutishia kususa ni kwa kisingizio cha itabembelezwa ili kusitokea machafuko Zanzibar!. Kiukweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010.

Kwa sasa Amiri Jeshi Mkuu ni Dr. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, ili kuepusha machafuko Zanzibar, nawahakikishia this time watakuwa wame bugi step, hata wakisusa, hakutakuwa na vujo wala ,achafuko yoyote Zanzibar kwa sababu sasa ni zamu ya hapa hapa ni kazi tuu!.

Wanzanzibar, na Watanzania wote, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya JMT, tuna jukumu kubwa la kuilinda amani na utulivu wa eneo lote la JMT, ikiwemo Zanzibar, kwa gharama yoyote!, hii ikiwa ni pamoja na kuulinda muungano kwa gharama yoyote!.
Wasalaam
Pasco
Kwa kauli yako CUF haina jinsi ya kususia uchaguzi kwakuwa majina ya wagombea tayari yapo tume ,sasa swali langu ni rahisi, je hao wagombea wakiamua kuhamia ADC au wakifukuzwa uanchama kwa namna yoyote ile je tume itaenda mahakamani kupinga?naomba ushauri
 

Nimemsikiliza Tundu Lisu na kuisoma ile makala, kiukweli hakuna kitu, hizi kauli za Mapinduzi ya Zanzibar yalipangwa na Tanganyika, ni kauli za kujifariji za vizalia wa waliopinduliwa, ili kujenga uhalali kuwa Wanzanzibari wenyewe wako tayari kuendelea kutawaliwa na Sultan, walioleta chokochoko sio Wazanzibari bali ni Watanganyika!.

Kuna mambo kuhusu Zanzibar hayasemwi, kama huku bara baada ya kutolewa kauli ya "Ni zamu ya Kaskazini", zilitolewa kauli kuwa kamwe Mkaskazini hawezi kuwa rais wa nchi hii!. Vivyo hivyo niliwahi kusikia kauli za "Kamwe Mwarabu hawezi kurudi kutawala Zanzibar!", mara "Kamwe Mpemba hawezi kutawala Zanzibar kwa hoja kuwa Pemba haikushiriki katika yale Mapinduzi Matukufu!". Hizi japo ni kauli za kibaguzi, na mimi binafsi siungi mkono ubaguzi wa aina yoyote lakini nimesema kilichosemwa, sometimes lisemwalo lipo, kama halipo linakuja!. Kauli huumba!.

Huku bara wakati wa kupigania uhuru, kulijitokeza tofauti kati ya Mangi Mkuu Tomas Mareale na Mwalimu Nyerere, zikatolewa kauli za kichinichini kuwa nchi hii kamwe Mchagga au Nshomile, hawezi kuja kuwa rais wa nchi hii!, urais wa Tanzania na Zanzibar ni hakimiliki ya mtu kutoka Chama cha Mapinduzi, kwa sababu ni Chama Cha Mapinduzi pekee ndio wenye long eksipiriennsi ya uzoefu wa muda mrefu katika urais, sasa hayo makabila yalisemwa kamwe, sijawahi hata kusikia angalau hata wakijaribu kujitokeza kuchukua fomu kuomba kuteuliwa CCM, hivyo alichokifanya Jecha eza kuwa ni utekelezaji tuu wa kauli kama hizi za kibaguzi, na siku ile lile bango la maskani kitonge lilipopita pale mbele ya mgeni rasmi, lilishangiliwa sana hadi na mgeni rasmi!.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yalifanywa na Wazanzibari wenyewe na wala sio Watanganyika!. Ila Muungano ndio ulifanywa na Watanganyika na Wazanzibari, tukaungana kuwa kitu kimoja na kuunda nchi moja ya Tanzania!, hivyo Muungano huu utalindwa kwa gharama yoyote!, kiongozi awaye yote, kutoka chama chochote, akionekana ni riski kwenye majaaliwa ya muungano wetu, hapewi nchi!. Wanaonyima nchi, wananyima kwa hiyo hoja ya gharama yoyote!. Poleni ndugu zetu, mnaweza kujikuta kumbe kauli zenu ndizo zinawaponza na kupelekea kutokea yaliyotokea, huku tukimlaumu Jecha, kumbe sii Jecha bali wenye nchi wenyewe!.

Mapinduzi Daima.

Pasco
Mkuu pasco..
Shkamoo bro... Mapinduziiiii....
Ama baada ya salam kaka... umenikumbusha article moja aliwahi kuandika Joseph Mihangwa about Jumbe... kuna sehem anasema kosa la jumbe lilikua ni "kutaka kukanyaga sehem ambayo hata malaika haruhusiwi kukanyaga"...
Back to the point mkuu... kuhusu experience and oool na mwenye haki ya kushika reigns za uongozi wa nchi yetu hii adhim... should we just get back to a one party state and get away with ool the theatrics of multypartism?
 
Back
Top Bottom