Elections 2015 CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake

Pasco, naomba kupingana nawe. Chama chochote kina option ya kujitoa kwenye ugombea wa nafasi fulani. CUF wanaweza kuiandikia tume na kujitoa kwenye uchaguzi. Pia,SUK inaundwa na mshindi wa kwanza na wa pili, CUF wasipokuwepo kuna chama kitakachofuatia kwa kura, hata kama kwa kura kumi. Kuvunjwa kwa ngome ya CUF pemba hiyo ni ndoto,kutokuwepo kwenye uchaguzi hakutaondoa harakati za kisiasa za CUF Zanzibar,wataendelea! 2005-2010,wawakilishi wa CUF walisusia Vikao vyote vya BW, haikuwafuta kwenye ramani ya siasa, and it was the same as if they had not participated in the election. Leo wamemtimua aliyekuwa mgombea kupitia ADC, Hamad Rashid, je! Ataebdelea kuwa mgombea?

Afadhali wewe umeliona hilo eti chama kisiposhiriki uchaguzi kinakufa, Pasco ni wewe au kuna mtu kakusaidia kuandika leo?
 
Tutaulinda muungano kwa gharama yoyote!.

Pasco

Hata kama unatoa ushauri sidhani kama unahaki ya kumalizia kama ulivomalizia eti "Tutaulinda muungano kwa gharama yoyote!." Huu ni upunguani wa fikra. Zanzibar ilikua dola yenye silka na tamaduni zake kujidai kuropokwa maneno eti CUF walimtia vidole machoni JK kwa kuwachia kufanya mabadiliko ya katiba mwaka 2010 inatupa imani na kututhibitishia CHUKI ULIZONAZO DHIDI YA ZANZIBAR na watu wake. Kamwe Zanzibar haitakua Kilimanjaro au Mwanza! ilikua nchi, bado ni nchi na itaendelea kuwa nchi, japo watu kam wewe unojiita pasco unaonesha CHUKI NA NYOYO ZA FITNA KWA ZANZIBAR, INSHAAALAH ipo siku historia itajirudia. Kumbukeni hata Mwingereza ametawala Dunia kwa karne na karne lakini yako wapi! YAGUJU, CHUKI ZENU WATANGANYIKA JUU YA ZANZIBAR IPO SIKU SITAKWISHA HATA KAMA NI BAADA YA KARNE, ZANZIBAR IPO SIKU ITAKWAMUKA TU.
 
Njaa ni kitu hatari sana ! yaani pasco unajidhalilisha kwa kiwango hiki ! kwa bei gani uliyolipwa ? huwezi kufuta cuf kwa kusimika wabunge wa uongo pemba , yalitokea haya siku za nyuma .
Mkuu ni kweli nami nashindwa kujua huyu jamaa kwanini ameamua kujivunjia heshima kiasi hiki,ni mjinga na lofa tu atakaye muunga mkono pasco kwenye huu uzi wake wa kijinga kabisa
 
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa visiwani Zanzibar,

Kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari kushiriki uchaguzi huo au kutoshiri, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiiki ama isishiriki, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marrudio sio option bali ni lazima kwa sababu kila kitu kiko vile vile kam,a mwanzo!.

Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kua, au kususa kupiga kura, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu majina ya wagombea wa CUF tatakuwepo kwenye karatasi za uchaguzi na hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuivunja ngome ya CUF kule Pemba, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibarr na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.

Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu
Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar, ni jukumu la JMT!. Hivyo CUF washirriki au wasuse, it will make no diference kwa sabau jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Drr. Jojm Pombe Magufuli.

Uchaguzi umetangazwa, utafanyika kwa amani na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda SUK nyingine, kwa uhuru kabisa bila`wasiwasi wowote!.

Hata hivyo kushiriki uchaguzi kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.

Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa maudio sio kwa hiyai bali kwa lazima. Hapa hakuna choice. Na iwapo CUF watasusana uchaguzi wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili. kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.

Kikweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, this time watakuwa wame bugi step, sasa hapa ni kazi tuu!.

Tutaulinda muungano kwa gharama yoyote!.

Pasco
Mkuu pasco... heshima kwako... hua napenda sana kusoma analysis zako mkuu... sema hua napenda unipembulie zaidi bro... nipate kufaham na kuongeza ujuzi.. swali moja la kizushi... katika kikao cha cuf kinacho tarajia kukaa juma linalo kuja... je wakiamua kuwaambia wafuasi wao wasusie uchaguzi na kukubali matokeo yote baada ya hapo kwa amani na utulivu( jambo ambalo mie siliungi mkono).. na cuf ife tu natural death kwa upande wa znz.. wasishiriki tena siasa...na waendelee na maisha yao ya kawaida... hio imekaaje kaka? Itakua na impact yeyote?
 
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa visiwani Zanzibar,

Kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari kushiriki uchaguzi huo au kutoshiri, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiiki ama isishiriki, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marrudio sio option bali ni lazima kwa sababu kila kitu kiko vile vile kam,a mwanzo!.

Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kua, au kususa kupiga kura, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu majina ya wagombea wa CUF tatakuwepo kwenye karatasi za uchaguzi na hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuivunja ngome ya CUF kule Pemba, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibarr na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.

Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu
Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar, ni jukumu la JMT!. Hivyo CUF washirriki au wasuse, it will make no diference kwa sabau jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Drr. Jojm Pombe Magufuli.

Uchaguzi umetangazwa, utafanyika kwa amani na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda SUK nyingine, kwa uhuru kabisa bila`wasiwasi wowote!.

Hata hivyo kushiriki uchaguzi kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.

Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa maudio sio kwa hiyai bali kwa lazima. Hapa hakuna choice. Na iwapo CUF watasusana uchaguzi wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili. kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.

Kikweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, this time watakuwa wame bugi step, sasa hapa ni kazi tuu!.

Tutaulinda muungano kwa gharama yoyote!.

Pasco
Hii kauli yako utanijulisha baada ya uchaguzi nini kitatokea. Amani haichezewi hivyo hii ni haki ya wazanzibar
 
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa visiwani Zanzibar,

Kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari kushiriki uchaguzi huo au kutoshiri, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiiki ama isishiriki, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marrudio sio option bali ni lazima kwa sababu kila kitu kiko vile vile kam,a mwanzo!.

Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kua, au kususa kupiga kura, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu majina ya wagombea wa CUF tatakuwepo kwenye karatasi za uchaguzi na hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuivunja ngome ya CUF kule Pemba, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibarr na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.

Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu
Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar, ni jukumu la JMT!. Hivyo CUF washirriki au wasuse, it will make no diference kwa sabau jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Drr. Jojm Pombe Magufuli.

Uchaguzi umetangazwa, utafanyika kwa amani na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda SUK nyingine, kwa uhuru kabisa bila`wasiwasi wowote!.

Hata hivyo kushiriki uchaguzi kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.

Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa maudio sio kwa hiyai bali kwa lazima. Hapa hakuna choice. Na iwapo CUF watasusana uchaguzi wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili. kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.

Kikweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, this time watakuwa wame bugi step, sasa hapa ni kazi tuu!.

Tutaulinda muungano kwa gharama yoyote!.

Pasco
Mko tayari kuua watu kwa kile.mnachokiamini kisa Zanzibar ni sehemu ya JMT ujue huu ni uchochezi kwani wananchi wasipo piga kesho wakadai haki barabarani wewe utakuwa na wewe umechangia.
 
Well. Umeandika vema. Ila kwa upande wangu nakubaliana na Pasco. CUF hawana option nyingine zaidi ya kushiriki uchaguzi. Kumbuka uhai wa chama cha siasa upo kwenye kushiriki uchaguzi. Kama chama hakishiriki uchaguzi maana yake ni kwamba kimejiondoa chenyewe kwenye siasa. CUF wakithubutu kufanya hivyo ndo tutakuwa tumewazika rasmi
Usiwasemee Wazanzibari. Wapo tayari kwa uchaguzi na kuichagua kwa nguvu CCM
Na wewe usiwaseme wazanzibar.waacheni waamue wenyewe
 
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa visiwani Zanzibar,

Kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari kushiriki uchaguzi huo au kutoshiri, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiiki ama isishiriki, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marrudio sio option bali ni lazima kwa sababu kila kitu kiko vile vile kam,a mwanzo!.

Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kua, au kususa kupiga kura, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu majina ya wagombea wa CUF tatakuwepo kwenye karatasi za uchaguzi na hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuivunja ngome ya CUF kule Pemba, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibarr na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.

Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu
Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar, ni jukumu la JMT!. Hivyo CUF washirriki au wasuse, it will make no diference kwa sabau jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Drr. Jojm Pombe Magufuli.

Uchaguzi umetangazwa, utafanyika kwa amani na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda SUK nyingine, kwa uhuru kabisa bila`wasiwasi wowote!.

Hata hivyo kushiriki uchaguzi kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.

Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa maudio sio kwa hiyai bali kwa lazima. Hapa hakuna choice. Na iwapo CUF watasusana uchaguzi wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili. kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.

Kikweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, this time watakuwa wame bugi step, sasa hapa ni kazi tuu!.

Tutaulinda muungano kwa gharama yoyote!.

Pasco
Mkuu pasco... heshima kwako... hua napenda sana kusoma analysis zako mkuu... sema hua napenda unipembulie zaidi bro... nipate kufaham na kuongeza ujuzi.. swali moja la kizushi... katika kikao cha cuf kinacho tarajia kukaa juma linalo kuja... je wakiamua kuwaambia wafuasi wao wasusie uchaguzi( jambo ambalo mie siliungi mkono).na kukubali matokeo yote baada ya hapo kwa amani na utulivu. na cuf ife tu natural death kwa upande wa znz.. wasishiriki tena siasa...na waendelee na maisha yao ya kawaida... hio imekaaje kaka? Itakua na impact yeyote?
 
Wewe mpunga kwelikweli! Yani ni tikiti maji haswaa! Vita itoke wapi?! Inaletwa na nani?! Mbona kampeni za 2015 hatukuona vita!
 
Back
Top Bottom