Pasco, naomba kupingana nawe. Chama chochote kina option ya kujitoa kwenye ugombea wa nafasi fulani. CUF wanaweza kuiandikia tume na kujitoa kwenye uchaguzi. Pia,SUK inaundwa na mshindi wa kwanza na wa pili, CUF wasipokuwepo kuna chama kitakachofuatia kwa kura, hata kama kwa kura kumi. Kuvunjwa kwa ngome ya CUF pemba hiyo ni ndoto,kutokuwepo kwenye uchaguzi hakutaondoa harakati za kisiasa za CUF Zanzibar,wataendelea! 2005-2010,wawakilishi wa CUF walisusia Vikao vyote vya BW, haikuwafuta kwenye ramani ya siasa, and it was the same as if they had not participated in the election. Leo wamemtimua aliyekuwa mgombea kupitia ADC, Hamad Rashid, je! Ataebdelea kuwa mgombea?
Ushakunywa kangara nasikia harufu tuNaona Ufipa mshaanza kudundana!
Ungekuwa unajijua wewe unavyo kera hadi watu wakiona post zako wanatamani kutapikaWe Mmakonde unakera sana. Sasa hapa matusi ya nini?
Mkuu ni kweli nami nashindwa kujua huyu jamaa kwanini ameamua kujivunjia heshima kiasi hiki,ni mjinga na lofa tu atakaye muunga mkono pasco kwenye huu uzi wake wa kijinga kabisaNjaa ni kitu hatari sana ! yaani pasco unajidhalilisha kwa kiwango hiki ! kwa bei gani uliyolipwa ? huwezi kufuta cuf kwa kusimika wabunge wa uongo pemba , yalitokea haya siku za nyuma .
Tulia dawa iingieUmetumwa au?kwanza umeandika kama ni mtoto wa chekechea hata hujui kupitia maandishi na kufanyia editing kama ni posho utapata tu,nenda taratibu watu tusome tukuelewe
Hiyo ni njaa mkuu inasumbua hadi mtu anaamua kujiondoa ufahamu wake aliojaliwa kuwa naoAfadhali wewe umeliona hilo eti chama kisiposhiriki uchaguzi kinakufa, Pasco ni wewe au kuna mtu kakusaidia kuandika leo?
Itakuingia wewe maungoni kupitia bomba la sindano butuTulia dawa iingie
Mkuu pasco... heshima kwako... hua napenda sana kusoma analysis zako mkuu... sema hua napenda unipembulie zaidi bro... nipate kufaham na kuongeza ujuzi.. swali moja la kizushi... katika kikao cha cuf kinacho tarajia kukaa juma linalo kuja... je wakiamua kuwaambia wafuasi wao wasusie uchaguzi na kukubali matokeo yote baada ya hapo kwa amani na utulivu( jambo ambalo mie siliungi mkono).. na cuf ife tu natural death kwa upande wa znz.. wasishiriki tena siasa...na waendelee na maisha yao ya kawaida... hio imekaaje kaka? Itakua na impact yeyote?Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa visiwani Zanzibar,
Kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari kushiriki uchaguzi huo au kutoshiri, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiiki ama isishiriki, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marrudio sio option bali ni lazima kwa sababu kila kitu kiko vile vile kam,a mwanzo!.
Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kua, au kususa kupiga kura, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu majina ya wagombea wa CUF tatakuwepo kwenye karatasi za uchaguzi na hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuivunja ngome ya CUF kule Pemba, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibarr na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.
Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu
Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar, ni jukumu la JMT!. Hivyo CUF washirriki au wasuse, it will make no diference kwa sabau jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Drr. Jojm Pombe Magufuli.
Uchaguzi umetangazwa, utafanyika kwa amani na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda SUK nyingine, kwa uhuru kabisa bila`wasiwasi wowote!.
Hata hivyo kushiriki uchaguzi kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.
Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa maudio sio kwa hiyai bali kwa lazima. Hapa hakuna choice. Na iwapo CUF watasusana uchaguzi wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili. kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.
Kikweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, this time watakuwa wame bugi step, sasa hapa ni kazi tuu!.
Tutaulinda muungano kwa gharama yoyote!.
Pasco
kwenye mauaji ya kimbari ya Rwanda watu kama huyu pasco wote wamefungwa maisha .Mkweli nami nashindwa kujua huyu jamaa kwanini ameamua kujivunjia heshima kiasi hiki,ni mjinga na lofa tu atakaye muunga mkono pasco kwenye huu uzi wake wa kijinga kabisa
Waamue mara ngapi? Tofauti na tarehe 25 Oktoba 2015?Achenu Wazanziba waamue wala msiwaamulie!!
Hafai kabisa na anaonekana ana siri moyoni ambayo ni mbaya sana kwa ustawi wazanzibarkwenye mauaji ya kimbari ya Rwanda watu kama huyu pasco wote wamefungwa maisha .
Umeonaeeeeee?Waamue mara ngapi? Tofauti na tarehe 25 Oktoba 2015?
Hii kauli yako utanijulisha baada ya uchaguzi nini kitatokea. Amani haichezewi hivyo hii ni haki ya wazanzibarWanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa visiwani Zanzibar,
Kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari kushiriki uchaguzi huo au kutoshiri, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiiki ama isishiriki, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marrudio sio option bali ni lazima kwa sababu kila kitu kiko vile vile kam,a mwanzo!.
Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kua, au kususa kupiga kura, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu majina ya wagombea wa CUF tatakuwepo kwenye karatasi za uchaguzi na hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuivunja ngome ya CUF kule Pemba, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibarr na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.
Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu
Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar, ni jukumu la JMT!. Hivyo CUF washirriki au wasuse, it will make no diference kwa sabau jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Drr. Jojm Pombe Magufuli.
Uchaguzi umetangazwa, utafanyika kwa amani na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda SUK nyingine, kwa uhuru kabisa bila`wasiwasi wowote!.
Hata hivyo kushiriki uchaguzi kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.
Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa maudio sio kwa hiyai bali kwa lazima. Hapa hakuna choice. Na iwapo CUF watasusana uchaguzi wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili. kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.
Kikweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, this time watakuwa wame bugi step, sasa hapa ni kazi tuu!.
Tutaulinda muungano kwa gharama yoyote!.
Pasco
Wanalinda matumbo yao tu.Kila siku najiuliza hili swali
watu wanaosema 'tutaulinda muungano wetu' kwa gharama yoyote
exactly wanamaanisha nini?
why huu muungano ulindwe kwa nguvu?
Mko tayari kuua watu kwa kile.mnachokiamini kisa Zanzibar ni sehemu ya JMT ujue huu ni uchochezi kwani wananchi wasipo piga kesho wakadai haki barabarani wewe utakuwa na wewe umechangia.Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa visiwani Zanzibar,
Kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari kushiriki uchaguzi huo au kutoshiri, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiiki ama isishiriki, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marrudio sio option bali ni lazima kwa sababu kila kitu kiko vile vile kam,a mwanzo!.
Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kua, au kususa kupiga kura, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu majina ya wagombea wa CUF tatakuwepo kwenye karatasi za uchaguzi na hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuivunja ngome ya CUF kule Pemba, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibarr na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.
Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu
Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar, ni jukumu la JMT!. Hivyo CUF washirriki au wasuse, it will make no diference kwa sabau jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Drr. Jojm Pombe Magufuli.
Uchaguzi umetangazwa, utafanyika kwa amani na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda SUK nyingine, kwa uhuru kabisa bila`wasiwasi wowote!.
Hata hivyo kushiriki uchaguzi kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.
Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa maudio sio kwa hiyai bali kwa lazima. Hapa hakuna choice. Na iwapo CUF watasusana uchaguzi wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili. kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.
Kikweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, this time watakuwa wame bugi step, sasa hapa ni kazi tuu!.
Tutaulinda muungano kwa gharama yoyote!.
Pasco
Well. Umeandika vema. Ila kwa upande wangu nakubaliana na Pasco. CUF hawana option nyingine zaidi ya kushiriki uchaguzi. Kumbuka uhai wa chama cha siasa upo kwenye kushiriki uchaguzi. Kama chama hakishiriki uchaguzi maana yake ni kwamba kimejiondoa chenyewe kwenye siasa. CUF wakithubutu kufanya hivyo ndo tutakuwa tumewazika rasmi
Na wewe usiwaseme wazanzibar.waacheni waamue wenyeweUsiwasemee Wazanzibari. Wapo tayari kwa uchaguzi na kuichagua kwa nguvu CCM
Mkuu pasco... heshima kwako... hua napenda sana kusoma analysis zako mkuu... sema hua napenda unipembulie zaidi bro... nipate kufaham na kuongeza ujuzi.. swali moja la kizushi... katika kikao cha cuf kinacho tarajia kukaa juma linalo kuja... je wakiamua kuwaambia wafuasi wao wasusie uchaguzi( jambo ambalo mie siliungi mkono).na kukubali matokeo yote baada ya hapo kwa amani na utulivu. na cuf ife tu natural death kwa upande wa znz.. wasishiriki tena siasa...na waendelee na maisha yao ya kawaida... hio imekaaje kaka? Itakua na impact yeyote?Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa visiwani Zanzibar,
Kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari kushiriki uchaguzi huo au kutoshiri, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiiki ama isishiriki, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marrudio sio option bali ni lazima kwa sababu kila kitu kiko vile vile kam,a mwanzo!.
Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kua, au kususa kupiga kura, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu majina ya wagombea wa CUF tatakuwepo kwenye karatasi za uchaguzi na hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuivunja ngome ya CUF kule Pemba, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibarr na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.
Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu
Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar, ni jukumu la JMT!. Hivyo CUF washirriki au wasuse, it will make no diference kwa sabau jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Drr. Jojm Pombe Magufuli.
Uchaguzi umetangazwa, utafanyika kwa amani na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda SUK nyingine, kwa uhuru kabisa bila`wasiwasi wowote!.
Hata hivyo kushiriki uchaguzi kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.
Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa maudio sio kwa hiyai bali kwa lazima. Hapa hakuna choice. Na iwapo CUF watasusana uchaguzi wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili. kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.
Kikweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, this time watakuwa wame bugi step, sasa hapa ni kazi tuu!.
Tutaulinda muungano kwa gharama yoyote!.
Pasco