Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,609
- 1,739
Habari zilizonifikia kutoka kwenye vyanzo vya habari zinasema Katibu Mkuu wa CUF MH.Seif Sharif Hamad anajiandaa kuwasilisha kwa wananchi majibu ya Mh.Kikwete kusema Zanzibar haitambuliki kimataifa kama Nchi.
Mbali ya hotuba yake kuanza kupata upinzani mkali ndani na nje ya Nchi ,hasa kuhusu suala la kuwashughulikia Mafisadi.CUF Zanzibar inasema inajipanga ili kumuelimisha Mkuu huyo kuwa mbali ya kusema Zanzibar si nchi nje ya Tanzania pia Mh.Kikwete atatakiwa airudishe Nchi nyengine iliyomo ndani ya Tanzania vinginevyo Zanzibar itaanza mkakati wa kujitafutia utambulisho mwengine nje ya Tanzania kwani mkakati huo upo na Zanzibar ni mwananchama katika umoja wa Mataifa kama Nchi zisizotambulika au zilizomezwa.
Mbali ya hotuba yake kuanza kupata upinzani mkali ndani na nje ya Nchi ,hasa kuhusu suala la kuwashughulikia Mafisadi.CUF Zanzibar inasema inajipanga ili kumuelimisha Mkuu huyo kuwa mbali ya kusema Zanzibar si nchi nje ya Tanzania pia Mh.Kikwete atatakiwa airudishe Nchi nyengine iliyomo ndani ya Tanzania vinginevyo Zanzibar itaanza mkakati wa kujitafutia utambulisho mwengine nje ya Tanzania kwani mkakati huo upo na Zanzibar ni mwananchama katika umoja wa Mataifa kama Nchi zisizotambulika au zilizomezwa.