tabu kuishi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 353
- 43
Nashindwa kuelewa chama cha cuf kina matatizo gani? Kwa nini wafuasi wake wengi ni kundi la watu mbumbu wasio na uwezo wa kufikiri wala kutafakari na watu wasio nakazi wakaa vijiweni kama huamini nenda manzese darajani kuna tawi pale kika na kuwasikiliza utasema CUF ni chama chenye nguvu kumbe ni chama kinachosubiri siku zifike kifutike?