Chama unaundugu na Paulo Gabriela?
Paulo Gabriela ndio nani? author? journalist? politician? I don`t have a clue who is that?
Chama
Gongo la mboto DSM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama unaundugu na Paulo Gabriela?
Hivi huyu ITATIRO alikuwa TAHLISO? Mwenyekiti wa TAHLISO wa sasa anagombea uenyekiti wa taifa UVCCM!!? TAHLISO ni shina la MAGAMBA? Huko CUF ni "MSHENGA" wa MAGAMBA? Tafakari
Mtu mwenye suruali fupi hawezi think of the unthinkable
Ndugu nakupa ushauri wa bure,hebu achana na siasa za fitina,ubaguzi etc,tuongelee ukombozi wa taifa letu,tunahitaji siasa safi za kuwasaidia wananchi wanaotaabika kila uchao,fikiri na chukua hatua,Mkuu hebu nikumbushe siku ya mapokezi ya Lipumba pale airport Dar, Dr. Slaa alikuwepo kumpokea Prof. Lipumba kwa vishindo inawezekana Dr. Slaa huyohuyo ndiye aliyeratibu ujio wa CUF Arusha; siasa za bongo zimetawaliwa na viini macho. CUF na Chadema wote ni mabingwa wa maandamano sasa sijui mlaumiana kitu gani; CCM ni chama huru tutawakaribisha wapinzani wanaokubaliana na sera zetu za kumuendeleza mtanzania.
Chama
Gongo la mboto DSM
Bora huyo kuliko anayesapoti ushoga, yeye ni boya
Mtatiro ana sigda siku hizi.
Bora huyo kuliko anayesapoti ushoga, yeye ni boya
Aliye mtenda pope