Hapo wanawadanganya wenzao wakiamini watawakomboa lakini wanaporudi kwenye mishahara mpaka ipite miezi mitatu maji umeme ni kwenye nyumba za wahafidhina tu,mahospitali ndio hivyo mende wamewashinda kunguni ,usije ukajaribu kufungua droo unaweza ukaona upo katika kideo kwa mende wanavyohangaika kutafuta nafasi ya kukaa.Maana wangejiuliza iweje raisi mkewe awe ni muarabu bibi wa raisi muhindi ,hapa ndipo walipo wahafidhina wakiwakusanya wafanyakazi wa serikali na wanafunzi ndipo mkutano unapotimia la si hivyo basi watabaki na meza matuta na minazi wakiihutubia.
Halafu wanasema wenzetu weusi
Huu uweusi upomidomoni mwaotu na ukienda majumbani utakuta weupemtupu?
Lakini kwa mtizamo wangu ni kuwa wanzibar hajayao ni maendeleo au maisha bora kama mkuu mwenzangu alivyo ahidi,si pemba wala unguja na huko pemba kama wccm wangali wafanyia mazuri hao na kuonyesha kuwajali pamoja na kwamba ndio hakuichagua ccm basi mimi ninafikiria wasinge pata taaabu saana ya kumfikiria seif jinsi gani ya kumporomosha kisiasa dunia ya leo ni watu kuwa na uhakika wa kuala yake tu na akiumwa na mbu wapi atapata kidonge hayo mengine baadae,
Lakini wanasema sefu anachuki au ni muarabu na wapemba wake mbona wakati walipo uliwa wapemba hawakukimbila oman au saudia?au hiyo serikali ya oman au iran ilisema nini kuhus hao ndugu zao wa kipemba?
UCHAGUZI ULIO HURU NA HAKI NDIO SUUHISHO LA MATATIZO YA ZANZIBAR.