Chadema walikuwa wanapiga makelele sana kwa cuf kukubali kuchukua umakamu wa rais zenji,narudia UMAKAMU URAIS!! Wakawatukana sana cuf na kuwaita weak! Wao wameongwa unaibu meya tu,narudia UNAIBU MEYA wamekubali kwa mikono mitatu pamoja na kwamba walisababisha vifo vya watu 3! Kama ni msichana basi cuf ni mtoto wa masaki kahongwa Scholarship ya US, Chadema ni mtoto wa tandale kahongwa kipande cha muhogo chenye chachandu!! Siasa hizi za kinafiki sijui zitaisha lini? Lakini sishangai sana chama kinapokuwa na mtu mnafiki kama marando what do you expect?? SCHOLARSHIP US VS MUHOGO!!!