Elections 2010 CUF ingeungana na CCM ili tuweze kujua tunadili na nani

Kiherehere

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
1,806
621
ni kama vile CUF wameshakata tamaa ya mbio za kuitoa CCM, so nigeshauli kama kuna uwezekano ingawa siwezi kuwafikia wakuu wa chama hiki, nigeomba kiungane na CCM ili kiweze kuunda CCMCUF ili tuweze kudili nao straight kuliko hivi kinavyo backbite
 
kwa kumuomba kikwete japo achukue ilani yao na kusema ule ni ushindi saaafi ni dalili za kukata tamaa, bora muungane tujue moja
 
Nilishasema CUF hawako kwa ajili ya Watanzania. Udini unawasumbua. Waungane na CCM tujue moja.
Hawa ndo wanaokwamisha juhudi za kudai Tume Huru ya Uchaguzi nyamb#$%fu kabisa
 
Sizitaki mbiji hiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Hilo liko wazi, upinzani ungesimama pamoja kupinga hayo matokeo yasiyo haki...... Lakini tumeshuhudia wenzetu wakienda kumpongeza jk, ni wenzetu kweli?

I believe they are traitors who do not tell the truth, thats why we say chadema and cuf will never unite. I am adding tlp and nccr mageuzi to the list........

They better ally with ccm openly.....

Chadema the only viable party to lead this country
 
yeah it true cause it was a best chance for this fucken traitor LI-pumba to give a back-up Mr. President Slaa during the campaign. Leo anaomba Kikwete achukue ilani yake!!!!! fool of a took sijui anawachezea wanyamwezi tu au na sisi watoka mbali??
 
ni kama vile CUF wameshakata tamaa ya mbio za kuitoa CCM, so nigeshauli kama kuna uwezekano ingawa siwezi kuwafikia wakuu wa chama hiki, nigeomba kiungane na CCM ili kiweze kuunda CCMCUF ili tuweze kudili nao straight kuliko hivi kinavyo backbite

CUF is an extension of CCM. They do not want the people of Tanzania to live better lives.
 
yeah it true cause it was a best chance for this fucken traitor LI-pumba to give a back-up Mr. President Slaa during the campaign. Leo anaomba Kikwete achukue ilani yake!!!!! fool of a took sijui anawachezea wanyamwezi tu au na sisi watoka mbali??

Ahhhhhhhhhh Wapi, hana ujanja huo, na uwakika ata akigombea UENYEKITI WA KIJIJI alipo zaliwa kijijini kwao HAPATI!
Mgombea gani hata kwao hana support, angalia PPT-Maendeleo support walio nayo kijijini kwao n ani kwa sababu ya Mziray, Kifupi kama hukubaliki hata kwenu aunahaja ya kugombea chei chochote che siasa.
 
ni kama vile CUF wameshakata tamaa ya mbio za kuitoa CCM, so nigeshauli kama kuna uwezekano ingawa siwezi kuwafikia wakuu wa chama hiki, nigeomba kiungane na CCM ili kiweze kuunda CCMCUF ili tuweze kudili nao straight kuliko hivi kinavyo backbite


CHADEMA wanachukia CUF kuliko CCM, sababu ya kuwachukia CUF nivile CUF inavyoonekana kama chama cha waislamu na CHADEMA cha wale wachukia waislamu (yaani waikristu).

Pengo kasema mkubalimatokeo na msiandamane mmefuta maandamano yenu. sasa subirini yafuatayo:

1. Kufuta msamaha wa kodi kwa mashirika ya dini

2. Kuwakomesha waikristo

3. TZ kujiunga na OIC

4. Kuanzisha mahakama ya kadhi
 
ni kama vile CUF wameshakata tamaa ya mbio za kuitoa CCM, so nigeshauli kama kuna uwezekano ingawa siwezi kuwafikia wakuu wa chama hiki, nigeomba kiungane na CCM ili kiweze kuunda CCMCUF ili tuweze kudili nao straight kuliko hivi kinavyo backbite

Huu muda wa kufanya kazi punguzeni kelele uchaguzi umekwi?...umekwisha
 
Kumbe kuna wa tz bado ni mbumbumbu....wewe kiherehere unachoilaumia CUF ni nini?....hii jf imeingiliwa na watu viherehere..... unajua maana ya iyo nick name yako?...bora ukae kimya tu mtu wg kama huna cha kuongea....shame on u!
 
Mtadili na chadema wenzenu ngoja bomu lilipuke miezi mitatu ijayo, tutaona kelele za chadema kama wanatutakia wema watanzania, kidumu chama cha mapinduzi
 
ni kama vile CUF wameshakata tamaa ya mbio za kuitoa CCM, so nigeshauli kama kuna uwezekano ingawa siwezi kuwafikia wakuu wa chama hiki, nigeomba kiungane na CCM ili kiweze kuunda CCMCUF ili tuweze kudili nao straight kuliko hivi kinavyo backbite

katika hesabu za set tunasema CUF is subect to CCM yaani CUF imo ndani ya CCM au ni sehemu/tawi la CCM
 
Nilishasema CUF hawako kwa ajili ya Watanzania. Udini unawasumbua. Waungane na CCM tujue moja.
Hawa ndo wanaokwamisha juhudi za kudai Tume Huru ya Uchaguzi nyamb#$%fu kabisa

Nilishasema (LINI, TUPE MUDA, SAA NA TAREHE ) CUF hawako (WEWE UKO KWA AJILI YA SLAA?) kwa ajili ya Watanzania (KAMA WEWE PIA). Udini unawasumbua (MBONA CHADEMA UCHAGGA UNAWASUMBUA, UKABILA HUO) . Waungane (HAWAWEZI WAO NI WAPINZANI) na CCM tujue moja (UMEISHA JUA SASA HAWAWEZI KUUNGANA) .
Hawa (NA WEWE UKIWAMO) ndo wanaokwamisha (WEWE NDIO KIKWAZO ZAIDI) juhudi za kudai Tume Huru ya Uchaguzi (TUME ILIYOPO NI HURU NA YA HAKI, NA WW UNATAKA UWEMO ?) nyamb#$%fu (WEWE NDIO WA KWANZA KWA UJINGA KUMBE) kabisa
 
mNALOJADILI HALINA TIJA NI UPUUZI TUJENGE TANZANIA YETU KWA PAMOJA UCHAGUZI UMEKWISHA.HAKUNA OIC WALA KADHI

KAMA IMESHINDIKANA KUBADILI KATIBA ILI KUWA NA TUME HURU ITAWEZEKANAJE KUBADILI KATIBA KUINGIA OIC OR KADHI??????? MSIPOTEZE MUDA SOTE NI WATANZANIA NA TUMEOLEANA TUKO JAMII MOJA.CHADEMAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.BIGUP DR.SLAAAAA
 
Kwaufupi CUF wanatambua process yote ya uchaguzi na kuapishwa mporaji kuwa prezida kamandivyo hivyo nilivyo wasoma nao nawa weka kwenye kapu moja na wachakachuaji wa demoklasia katika nchi hii haijarishi wamesema nini lakini kitendo cha kukumbatiana na mharifu ni ishara tosha kuwa na wewe nimharifu
 
Back
Top Bottom