Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
ni kama vile CUF wameshakata tamaa ya mbio za kuitoa CCM, so nigeshauli kama kuna uwezekano ingawa siwezi kuwafikia wakuu wa chama hiki, nigeomba kiungane na CCM ili kiweze kuunda CCMCUF ili tuweze kudili nao straight kuliko hivi kinavyo backbite