CUF imewahi Kufanya nini kwaajili ya Tanzania?

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,445
40,931
CUF tangu kuanzishwa kwake imekuwa na nguvu sana Pemba, na idadi ya wabunge wake wakati wote imebakia ile ile kukiwa na mabadiliko kidogo sana. Licha ya kwamba chama hiki kilianzishwa Tanzania bara lakini kilipokewa vizuri zaidi huko Visiwani huki kikikosa nguvu Tanzania bara hadi kufikia leo kuonekana kuwa CUF-bara inaishi kutokana na CUF-Zanzibar.

CUF katika kipindi chake chote tangu kiwe chama cha upinzani chenye wabunge na wawakilishi wengi bungene na kwenye baraza la wawakilishi, jitihada zake zote za kisiasa na kidemokrasia zimekuwa zikionekana huko Zanzibar tu na siyo Tanzania bara. Sikumbuki tukio lolote ambalo chama cha CUF kimekwahi kufanya katika bunge la mwungano kupitia nafasi yake ya kuwa 'chama kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni'. Safari hii baada ya kufikia malengo yake kule Zanzibar, kimeonekana wazi kuwa hakina kitu kinachopiganiia zaidi ya kuunga kila hoja ya umoja wake na CCM.

Swali langu kwa viongozi wa CUF, Je, chama hiki kilikuwa na lengo lolote kwa Tanzania bara? Malengo hayo yalikuwa yapi, na wamewahi kufanya jitihada gani zinazoshabihiana na kule Zanzibar? Umuhimu wa wabunge wa CUF-Zanzibar katika bunge la mwungano ni nini hasa? Nini kitakachokosekana kama wasipokuwepo?

Nafasi ya pekee ya CUF inayoonekana kwa upande wa bara ni chama ambacho kwa kupitia wabunge wake wengi wa kutoka Pemba hakijawahi kupigania kitu chochote kinachokumbukwa kwa maslahi ya Tanzania bara. Nadhani wengi tunachoshuhudia sasa ni kwa chama cha CUF Zanzibar kutumika na CCM kufifisha jitihada za Tanzania bara kupigania haki na demokrasia. Watanzania bara tuna wasiwasi sana kuwa huenda kutumika huku kwa CUF kuvunja nguvu ya upinzani Tanzania bara ni sehemu ya makubaliano kati ya CCM na CUF-Zanzibar katika mwafaka wa Zanzibar.

Ninachojiuliza ni kuwa CUF-Zanzibar kwa kushirikiana na CCM kufifisha harakati za kidemokrasia Tanzania bara, hawajui wanatengeneza hasira ya Watanzania bara dhidi ya CUF-Zanzibar na wabunge wao? Maana kipindi chote walipokuwa na wabunge wengi hawajafanya lolote kuwasaidia wapenda mabadiliko wa bara, leo wabara wamejitahidi kwa nguvu zao binafsi, wao wanawekeza nguvu nyingi kufifisha jitihada hizo. CUF-Zanzibar mmefanikiwa huko Zanzibar katika mambo yanayowahusu katika maisha yenu ya kila siku, huku bara, tafadhali tuachieni wenyewe ambao tunahusika nayo. Makeke yenu, kama mnayo, mkaoneshe kwenye baraza la wawakilishi, huku nafasi yenu kubwa ni kusikiliza. Wasikilizeni wabunge wa CUF wa Lindi mjini na Kilwa maana hao wanatambua watanzania bara katika maeneo yao wanataka nini.
 
Kila sehemu ya "Watanzania bara" badilisha na kuweka "Wakatoliki" and only then hayo madai yako yata-make sense kidogo!

Halafu viongozi wa CUF wamepigwa na kuwekwa ndani wakati viongozi wenu wa Chadema walipokuwa wanapewa mikopo ya mabillioni kutoka NSSF ku-renovate Club Billicanas na wengine wake zao wakiwa madiwani wa CCM!
 
Kila sehemu ya "Watanzania bara" badilisha na kuweka "Wakatoliki" and only then hayo madai yako yata-make sense kidogo!

Halafu viongozi wa CUF wamepigwa na kuwekwa ndani wakati viongozi wenu wa Chadema walipokuwa wanapewa mikopo ya mabillioni kutoka NSSF ku-renovate Club Billicanas na wengine wake zao wakiwa madiwani wa CCM!

Na hilo neno CUF tuweke neno BAKWATA? Lipumba naye mara nyingi huwa anazungumzia maslahi ya Wazanzibari zaidi kuliko mambo ya kwao Tabora! Huko sio "kuolewa" na Maalim Seif?
 
Kila sehemu ya "Watanzania bara" badilisha na kuweka "Wakatoliki" and only then hayo madai yako yata-make sense kidogo!

Halafu viongozi wa CUF wamepigwa na kuwekwa ndani wakati viongozi wenu wa Chadema walipokuwa wanapewa mikopo ya mabillioni kutoka NSSF ku-renovate Club Billicanas na wengine wake zao wakiwa madiwani wa CCM!


CRAP!!! MANENO YAKO NI KAMA KINYESI CHA N'GURUWE :angry:
 
Hoya CUF Jiteteeni Sio Kutupa Maneno. CUF Inamalengo Gani kwa Mtanzania? Sijauliza Zanzibar na Visiwani. Wananchi Tunasubiri Ideas na Uchumi Muungano Utakuwaje. Ukiangalia Hii Miaka Mitano Ijayo CCM Imeitoa CUF Katika Siasa na Kitu Kikubwa CCM Imefanya ni Kuwapa Kitu Kikubwa CUF Umakamu Zanzibar. Hiki Ndicho CUF Ilikuwa Inapigania na Wameshakipata, Bara CUF Wamesha Saini Makaratasi ya Kukubali Sera za CCM. Tusitegemee Upinzani, Maswali Bungeni Wala Serikalini. CUF Bara ni Mchanga wa Macho Tuuuuuuuu......
 
Kila sehemu ya "Watanzania bara" badilisha na kuweka "Wakatoliki" and only then hayo madai yako yata-make sense kidogo!

Halafu viongozi wa CUF wamepigwa na kuwekwa ndani wakati viongozi wenu wa Chadema walipokuwa wanapewa mikopo ya mabillioni kutoka NSSF ku-renovate Club Billicanas na wengine wake zao wakiwa madiwani wa CCM!

He we vipi!
 
Kila sehemu ya "Watanzania bara" badilisha na kuweka "Wakatoliki" and only then hayo madai yako yata-make sense kidogo!

Halafu viongozi wa CUF wamepigwa na kuwekwa ndani wakati viongozi wenu wa Chadema walipokuwa wanapewa mikopo ya mabillioni kutoka NSSF ku-renovate Club Billicanas na wengine wake zao wakiwa madiwani wa CCM!

Wewe! Hivi unajua kama wewe ni mgonjwa wa akili? You need help! Urgently!!
 
Kila sehemu ya "Watanzania bara" badilisha na kuweka "Wakatoliki" and only then hayo madai yako yata-make sense kidogo!

Halafu viongozi wa CUF wamepigwa na kuwekwa ndani wakati viongozi wenu wa Chadema walipokuwa wanapewa mikopo ya mabillioni kutoka NSSF ku-renovate Club Billicanas na wengine wake zao wakiwa madiwani wa CCM!

Hao viongozi wa CUF walowekwa ndani waliwekwa na nani?na waliwekwa ndani wakitetea nini ?na je wamesha pata walichokuwa wanadai?

Wamechukua hatua gani kama walionewa?na kama hawakuonewa kwanini walivunja sheria kwa makusudi
 
Wewe! Hivi unajua kama wewe ni mgonjwa wa akili? You need help! Urgently!!

Kama mpimaji mwenyewe ni mgonjwa wa akili basi definately akili yangu ataiona ina ugonjwa. Na kwa sababu unaugua hayo maradhi basi itakuwa kusukuma ukuta kukuambia kuwa unahitaji msaada. Wewe ni wa kuachwa tu mpaka ndugu zako wakuona unaanza kuokota makopo na kujipaka vinyesi mwilini ndiyo watajua muda muafaka wa kukusaidia.
 
Hoya CUF Jiteteeni Sio Kutupa Maneno. CUF Inamalengo Gani kwa Mtanzania? Sijauliza Zanzibar na Visiwani. Wananchi Tunasubiri Ideas na Uchumi Muungano Utakuwaje. Ukiangalia Hii Miaka Mitano Ijayo CCM Imeitoa CUF Katika Siasa na Kitu Kikubwa CCM Imefanya ni Kuwapa Kitu Kikubwa CUF Umakamu Zanzibar. Hiki Ndicho CUF Ilikuwa Inapigania na Wameshakipata, Bara CUF Wamesha Saini Makaratasi ya Kukubali Sera za CCM. Tusitegemee Upinzani, Maswali Bungeni Wala Serikalini. CUF Bara ni Mchanga wa Macho Tuuuuuuuu......

Acha uvivu wa kufikiria. Haufahamu hayo unayauliza huwa yanapatikana wapi? Mshazoea kupewa mapepa kabla ya mitahani basi mnaona hata kwenye real life mambo yanaenda hivyo hivyo!
 
Na hilo neno CUF tuweke neno BAKWATA? Lipumba naye mara nyingi huwa anazungumzia maslahi ya Wazanzibari zaidi kuliko mambo ya kwao Tabora! Huko sio "kuolewa" na Maalim Seif?

Na nyinyi mwambieni Zitto Kabwe akazungumzie matatizo ya Moshi, hiyo itafanya mambo ya NGOMA DROO!
 
Watu wa chadema kwanza mmeanza Siasa mwaka huu baada ya amri ya kanisa vinginevyo hakuna historia iliyoonyesha nyie kua mbele kupigania haki.

Hamjui mambo ya CUF msiyaongelee. Shabikieni chadema yenu msikere watu

Chama ni matashi ya mtu na sikulazimishana tukubali kua chadema ndo chama safi viongozi safi MadJ, wana Hi haa. Siasa haziko hivyo Eti
 
Walichofanya CUF ni kikubwa sana ,CUF wafuasi wake ndio waliowaamsha WaTanzania wote ,CUF wamepambana na polisi ,kawaulize polisi walichokipata Pemba ni kitu gani hata kupelekea kupeleka mahelkopta kutoka Dar na kama haitoshi hapo mwanzo CCM walikuwa wameikalia Zanzibar makalio mawili , kwa taarifa yapo (FYI) hivi sasa kalio(T*A*K*O) moja lipo nje
 
Cuf iliungwa mkono visiwani kwa ajili ya kujitenga na bara............na mambo mengine hasa ya kidini yaani uislamu kwani cuf imekosa sifa kuwa chama cha siasa badala yake imebaki kuwa taasisi ya kiislamu,........malengo yao makuu ni mahakama ya kadhi ya oic basi
 
Cuf iliungwa mkono visiwani kwa ajili ya kujitenga na bara............na mambo mengine hasa ya kidini yaani uislamu kwani cuf imekosa sifa kuwa chama cha siasa badala yake imebaki kuwa taasisi ya kiislamu,........malengo yao makuu ni mahakama ya kadhi ya oic basi

Maana hata huko mikoa ya kusini ni Zanzibar ,mapambano yanayoendelea Tandahimba ni Pemba au vipi ,wewe au ninyi kaeni au bakini hapohapo CUF sio Chama cha siasa au imekosa sifa ya kuwa Chama Cha siasa ,kile Chama Cha mlokole ndio chenye sifa ,kama mnataka CUF iwe chama cha udini basi endeleeni hivyo hivyo kuweka walokole wawe wagombea.
 
Buchanan hilo jibu lako linanipa raha kweli kwa huyo jamaa yetu. Sawa Mbowe alikuwa anakopa nyie mmekatazwa? mtazamo wa wana CUF kama jamaa yetu kudadek &company siku zote ni wa kidini siku zote na ni mfinyu kuliko inavyofikirika. Mie siyo mkatoliki sasa unaniambiaje? Hivi hata mkikaa ofcn huko kwenu mwafikiria udini tu au maendeleo? Kalagabaho
 
tuache kushambuliana wakati lengo ni kuona tanzania yenye neema.
Ni vema muda huu wa malumbano tukajadiliana namna ya kuikomboa tanzania.
Haisaidii kumwambia huyu hakufanya chochote,je unajua alichokuwa anakitaka? Je wewe umefenya ulichotaka kukifanya? Je umefanikiwa? Je ndicho watanzani wanakihitaji.
Ipendeze kuweka malengo na namna ya kuyafikia na kipimo kiwepo.
Je ni nini malengo ya CHADEMA baada ya kupata wabunge hao zaidi ya 40? Je walikuwa wamepanga kupata angalau wabunge wangapi ktk Uchaguzi uliopita?
Tuache ushabiki wa vyama vya siasa na tuangalie nchi yetu.
Vyama vitakuja na kupita lakini Tanzania itakuwepo kwa maana ya historia yake.
 
Cuf iliungwa mkono visiwani kwa ajili ya kujitenga na bara............na mambo mengine hasa ya kidini yaani uislamu kwani cuf imekosa sifa kuwa chama cha siasa badala yake imebaki kuwa taasisi ya kiislamu,........malengo yao makuu ni mahakama ya kadhi ya oic basi

Na opposite is also true. Nyinyi mnaungwa mkono na Kanisa kwa sababu ya kidini yaani Ukristo na namna chama chenu kinavyopiga vita maendeleo ya Zanzibar, Zanzibar kujiunga na OIC na Mahakama ya Kadhi. Kwa hilo Waswahili tunasema "nyani haoni ***** lake".

By the way, kwenye chama chenu ni Mabere Marando pekee ambaye alikuwa kwenye harakati za kupinga mfumo wa chama kimoja na kulazimisha kurudishwa mfumo wa vyama vingi baada ya baba yenu Nyerere kupiga marufuku vyama vya siasa na vyama vya wafanyakazi. Tena huyo alikuwa pandikizi na shushu la Nyerere muda wote huu.

Wakati wana-CUF wanapigwa virungu na risasi cha moto, nyie viongozi wenu walikuwa wako NSSF wanachukua mikopo ya mabillioni kukarabati CLUB BILLICANAS! Viongozi wa CUF wamepigwa na polisi na kuvunjwa mkono pamoja na kuwekwa rumande na hata kufikishwa mahakamani wakati viongozi wenu wanavunjika mikono bafuni tu na kupata misukosuko ya maisha wakati wanafumaniwa na wake za watu tu!
 
Chama cha walokole kweli bado hawaja komaa kisias wala hawajui historia ya Nchi hii, Simply CUF ndio walio kuwa fighters bila kuteteruka kwa miaka mingi wakidai hakisawa na daftari la kupiga kura la kudumu, ni wafuasi wa CUF ndio waliopoteza maisha yao wakililia haki sawa


Wakati ule bado Mchungaji Slaa anaongoza kondoo walio mshinda na kukimbilia siasa baada ya kutimiliwa ukatibu mkuu wa katoliki na kunyimwa ubunge kwa ticket ya CCM

Simply CUF ndio real fighter wa mabadiliko mnayoyaona sio chadema.
 
Back
Top Bottom