Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Leo hakika hamad rashid amethibitika kuwa mnafiki.anataka kuungana na mrema? Anabeza kitendo cha kutotambua rais,hajui ni vipi lipumba kamzidi seif kura zbar? Jbu lipo kwenye muafaka wa kifisadi waliofanya na ccm.eti cdm wasome ishara za nyakati wakati wao cuf hawaoni kuwa wanapoteza nafasi ya kuwa wapinzani.halafu barwani analinganisha serikali ya zbara na ile ya kenya na zimbabwe na bmasifia.nimesema chadema wakikubali ushirikiano na vyama hivi mm najtoa na kuwa mlokole.hongera chadema,mbowe na dk.slaa kwa tamko lenu wananchi tumefurahi