CUF Huu ni wakati wa kuonyesha mfano wa uwajibikaji!

jambo1

JF-Expert Member
Jul 5, 2009
241
29
Kutokana na ajali ya meli huko Zanzibar..,CUF kama chama cha siasa na sehemu ya serikali ambacho kinaamini katika uwajibikaji pindi matukio ya uzembe wa viongozi walio serikalini ni vema mkaonyesha mfano.Viongozi woote wa CUF walioko serikalini na kwa namna moja wameshindwa kutekeleza majukumu yao na kupelekea ajili hii waachie ngazi mara moja ili kuonyesha kile ambacho CUF wamekuwa wakihubiri kila siku na hii itakuwa ni mfano bora wa uwajibikaji..!
Nawasilisha.
 
mbona chadema hawajawahi kuonyesha uwajibikaji hata baada ya tuhuma za ukabila,mauaji ya chacha wangwe,na mengine kibao? akili fupi kama kaptula za wakoloni.......kapime saratani ya ubongo bana
 
  • Thanks
Reactions: Map
CUF hawawezi kujiuzulu maana kiapo cha uaminifu katika ndoa yao na CCM kinawabana.
 
Waziri wa usafirishaji huko Zanzibar ni wa kutoka CUF namwomba ajiuzulu ili kutekeleza kwa vitendo yale wanayoyahubiri majukwaani.
 
Hilio litatokea pindi Wananchi watakapojua mamlaka walio nayo. Watawala watakapojua kuwa waajiri wao ni Wananchi. Bado ni safari ndefu, kwasasa silitegemei hilo litokee.
 
mbona chadema hawajawahi kuonyesha uwajibikaji hata baada ya tuhuma za ukabila,mauaji ya chacha wangwe,na mengine kibao? akili fupi kama kaptula za wakoloni.......kapime saratani ya ubongo bana
Daah..,kaka imekuwa hayo..,haya hapo kwenye blue..!
 
mbona chadema hawajawahi kuonyesha uwajibikaji hata baada ya tuhuma za ukabila,mauaji ya chacha wangwe,na mengine kibao? akili fupi kama kaptula za wakoloni.......kapime saratani ya ubongo bana
Teh teh teh teh
 
Kutokana na ajali ya meli huko Zanzibar..,CUF kama chama cha siasa na sehemu ya serikali ambacho kinaamini katika uwajibikaji pindi matukio ya uzembe wa viongozi walio serikalini ni vema mkaonyesha mfano.Viongozi woote wa CUF walioko serikalini na kwa namna moja wameshindwa kutekeleza majukumu yao na kupelekea ajili hii waachie ngazi mara moja ili kuonyesha kile ambacho CUF wamekuwa wakihubiri kila siku na hii itakuwa ni mfano bora wa uwajibikaji..!
Nawasilisha.
kwa nini usema kwa cuf tu,ili ccm wapate nafasi zaidi kuwaumiza wazanzibari ? nafikiri hoja yako zaifu sana,rudi shule kasome japo secondary.
 
mbona chadema hawajawahi kuonyesha uwajibikaji hata baada ya tuhuma za ukabila,mauaji ya chacha wangwe,na mengine kibao? akili fupi kama kaptula za wakoloni.......kapime saratani ya ubongo bana

tukio la ajali ya Zenji ni halili halisi; siyo tuhuma.

tumia akili kidogo kutoa hoja, usitumie matamanio.
 
kwa nini usema kwa cuf tu,ili ccm wapate nafasi zaidi kuwaumiza wazanzibari ? nafikiri hoja yako zaifu sana,rudi shule kasome japo secondary.
Nawataka viongozi wangu wa CUF wajiuzuru kwa sababu kila siku wamekuwa wakihubiri juu ya suala la uwajibikaji wa watendaji pindi uzembe unapopelekea maafa..,kwa upande wa CCM tumeshawazoea wana ombwe la uongozi..,pia ni chama kilichojichokea kinasubiri kufa..!Kujiuzuru kwa viongozi wa CUF walioko SUK zanzibar itakuwa ni mfano bora kuwa chama chetu cha wananchi si CCM B..,otherwise itajulikana kuwa hata CUF ni CCM B..!
 
mbona chadema hawajawahi kuonyesha uwajibikaji hata baada ya tuhuma za ukabila,mauaji ya chacha wangwe,na mengine kibao? akili fupi kama kaptula za wakoloni.......kapime saratani ya ubongo bana
Chadema haijawahi kuingia Serikalini, na mara tu watakapoingia tutadai vivyo hivyo
 
mbona chadema hawajawahi kuonyesha uwajibikaji hata baada ya tuhuma za ukabila,mauaji ya chacha wangwe,na mengine kibao? akili fupi kama kaptula za wakoloni.......kapime saratani ya ubongo bana
Sometimes kukaa kimya kuna maana na ni busara zaidi kuliko "kuongea"!
 
tukio la ajali ya Zenji ni halili halisi; siyo tuhuma.

tumia akili kidogo kutoa hoja, usitumie matamanio.

Kifo cha Wangwe ni Hali halisi, Ukabila wa kutaka Mwenyekiti atoke ukoo wa mtei ni hali halisi nani kawajibika?, Slaa kuchukua mke wa mtu ni hali halisi hakuna aliyewajibika...list goes on?
 
Kwa hiyo hao wote unataka wajiuzulu kwa manufaa ya nani na ili nini kitokee baada ya hapo?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom