UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Huyu Lissu aliyekimbia mapambano?Lissu hamumuwezi chagueni mafuvu mnayoyaweza
Huyu Lissu aliyekimbia mapambano?Lissu hamumuwezi chagueni mafuvu mnayoyaweza
Ila kukimbia ndoto zako mwenyewee ni ushujaa. Jamaa anadeka deka mnoooMtahangaika sana na IQ zenu hafifu
Kama ingelikua ndio wewe risasi 40 Kinyesi kingegonga feniHuyu Lissu aliyekimbia mapambano?
Ndio hivyo kaona bora athamini maisha yake maana unapigania watu kiasi kunusurika na kifo ila watu wenyewe hata kunitokeza mtaani tu kudai haki zao hawataki wao wanataka wapige kelele mitandaoni tu,si ajabu mngekuwa mshamsahau sasa hivi kama angekuwa amefariki kwa lile shambulizi na kifo chake kusingekuwa na athari yeyote kwenu.Kama ingelikua ndio wewe risasi 40 Kinyesi kingegonga feni
Sisi tuko na jemadari Lissu hata mkimuua mapambano yataendelea mpaka Demokrasia na utawala wa sheria na HAKI za binadamu utakapo talamakiNdio hivyo kaona bora athamini maisha yake maana unapigania watu kiasi kunusurika na kifo ila watu wenyewe hata kunitokeza mtaani tu kudai haki zao hawataki wao wanataka wapige kelele mitandaoni tu,si ajabu mngekuwa mshamsahau sasa hivi kama angekuwa amefariki kwa lile shambulizi na kifo chake kusingekuwa na athari yeyote kwenu.
Sasa anachokifanya Lissu inakuwa sio mapambano inakuwa ni sawa kiherehere tu,kwa sababu hao watu anaowapigania hawapo kwenye maisha halisi wao wapo mitandaoni tu na ndio maana alipowataka hao watu kuandamana hawakuonekana.Sisi tuko na jemadari Lissu hata mkimuua mapambano yataendelea mpaka Demokrasia na utawala wa sheria na HAKI za binadamu utakapo talamaki
Sasa huo usokwe unaofanyika huoni?Sasa anachokifanya Lissu inakuwa sio mapambano inakuwa ni sawa kiherehere tu,kwa sababu hao watu anaowapigania hawapo kwenye maisha halisi wao wapo mitandaoni tu na ndio maana alipowataka hao watu kuandamana hawakuonekana.
Lissu anapambania watu ambao hawajulikani sijui hata kama wapo kweli.Sasa huo usokwe unaofanyika huoni?
Kama hakuna upinzani makini kwanini mnatumia police, tume, wakurugenzi, maDC, maDAS na jeshi? Si muweke wanja sawa wa mapambanoSio kurogwa hakuna upinzani makini.
Kwa we unaelewa upinzani makini ni nini?Kama hakuna upinzani makini kwanini mnatumia police, tume, wakurugenzi, maDC, maDAS na jeshi? Si muweke wanja sawa wa mapambano
Ndefu mno ndugu...hebu weka ufupisho hapaNaona watu hawaangalii nini kimesemwa bali nani kasema,ndio maana huwa naona hizi kelele za Korona ni siasa tu wazee wa matukio.
Kwa hiyo ni kutumia nguvu badala ya hoja?Kwa we unaelewa upinzani makini ni nini?
Kutumika nguvu haina maana upinzani ni makini,mara nyingi serikali inawapa umaarufu baadhi ya vingozi wa upinzani kwa mambo ya kijinga unakuta kiongozi wa upinzani kafanya jambo halina maana yeyote basi serikali nayo inaanza kuangaika nae na kumpa umaarufu usio na kichwa wala miguu. Imefika hatua imekuwa sifa kwenda jela kwa viongozi wa upinzani hali ya kuwa kinachowapeleka hela jela hakina kichwa wala miguu.Kwa hiyo ni kutumia nguvu badala ya hoja?
Unapenda fupi?Ndefu mno ndugu...hebu weka ufupisho hapa
Nidyo hicho CCM mnakifanya hakina maanaKutumika nguvu haina maana upinzani ni makini,mara nyingi serikali inawapa umaarufu baadhi ya vingozi wa upinzani kwa mambo ya kijinga unakuta kiongozi wa upinzani kafanya jambo halina maana yeyote basi serikali nayo inaanza kuangaika nae na kumpa umaarufu usio na kichwa wala miguu. Imefika hatua imekuwa sifa kwenda jela kwa viongozi wa upinzani hali ya kuwa kinachowapeleka hela jela hakina kichwa wala miguu.