Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,644
- 218,092
Mziray rudisha hela kidogo bhana ! ulinunuliwa kama Mwanasheria mkuu wa cuf kumbe kidampa tu !
Yeye ajira yake ndio ile akipata mshahara anavuruga chama siku zinaendaNajiuliza Professor kwanini yeye harudi CCM?
Yeye ajira yake ndio ile akipata mshahara anavuruga chama siku zinaenda
Wewe na nani kidampa anakujua nani?Sisi tumempokea kama mwanasheria mkuu wa Cuf mtake msitake.
Mwisho wake ikawaje?Unamshangaa professa wasomi ni kawaida yao hata Kingwangala alikuwa analala maporini.