CUF: CDM, CCM wote ni Maadui Wetu

mkigoma

JF-Expert Member
Jul 26, 2011
1,180
309
Hakuna rafiki wa kudumu katika siasa wala adui wa kudumu katika siasa, vijana wengi hasa cdm ni wachanga katika siasa wamezoea siasa furaha wakati wote kwao wanapoguswa kidogo hupiga kelele kama mtoto mchanga, wao siku zote wamejitahidi kukichafua CUF mbele ya macho ya watanzania lakini wameshindwa, na watambue kuwa walishindwa CCM wao wanapoteza muda hataweza, CUF nl moto wa pumba huwa hauzimiki, sasa fungeni mkanda vinginevyo mtatoka kabisa katika siasa nchini.,
 
Hakuna rafiki wa kudumu katika siasa wala adui wa kudumu katika siasa, vijana wengi hasa cdm ni wachanga katika siasa wamezoea siasa furaha wakati wote kwao wanapoguswa kidogo hupiga kelele kama mtoto mchanga, wao siku zote wamejitahidi kukichafua CUF mbele ya macho ya watanzania lakini wameshindwa, na watambue kuwa walishindwa CCM wao wanapoteza muda hataweza, CUF nl moto wa pumba huwa hauzimiki, sasa fungeni mkanda vinginevyo mtatoka kabisa katika siasa nchini.,
Senseless!
 
msipoangalia 2015 huku bara hamfiki mtakuwa historia inavyoonekana kwenye chama hicho wenye busara ni wachache au wapo hawasikilizwi kuifuatafuata cdm ndio kifo chenu.
 
Sijujua kuwa siasa ni uadui. Kwa hiyo ccm na cdm ni maadui wenu kwasababu gani?
Cdm: kama ni wachanga na wanalialia, huo uadui na nyie unatoka wapi? Si muwaache walielie kama watoto?
Ccm: hawa ni maadui wenu wapi tena? Makamu wa rais/katibu mkuu wa cuff si alikuja kukagua miradi ya maendeleo huko igunga hivi majuzi? Ugomvi wenu na ccm upo wapi?
 
tunajua ndoa yenu siyo ya shida na raha hadi kifo kiwatenganishe( mlioana kwa mkataba), mumeo akikuchoka anaweza kuupa talaka vile vile
 
Hakuna rafiki wa kudumu katika siasa wala adui wa kudumu katika siasa, vijana wengi hasa cdm ni wachanga katika siasa wamezoea siasa furaha wakati wote kwao wanapoguswa kidogo hupiga kelele kama mtoto mchanga, wao siku zote wamejitahidi kukichafua CUF mbele ya macho ya watanzania lakini wameshindwa, na watambue kuwa walishindwa CCM wao wanapoteza muda hataweza, CUF nl moto wa pumba huwa hauzimiki, sasa fungeni mkanda vinginevyo mtatoka kabisa katika siasa nchini.,
Umeelewa ulichoandika!!??
 
siasa ina machungu na raha, hivyo cdm ni lazima mzowee mambo yote hayo, vinginevyo hamtakawia kurudi CCM mlipokuwa mwanzo.
 
Hakuna rafiki wa kudumu katika siasa wala adui wa kudumu katika siasa, vijana wengi hasa cdm ni wachanga katika siasa wamezoea siasa furaha wakati wote kwao wanapoguswa kidogo hupiga kelele kama mtoto mchanga, wao siku zote wamejitahidi kukichafua CUF mbele ya macho ya watanzania lakini wameshindwa, na watambue kuwa walishindwa CCM wao wanapoteza muda hataweza, CUF nl moto wa pumba huwa hauzimiki, sasa fungeni mkanda vinginevyo mtatoka kabisa katika siasa nchini.,

unajifunza kuandika ?
 
siasa ina machungu na raha, hivyo cdm ni lazima mzowee mambo yote hayo, vinginevyo hamtakawia kurudi CCM mlipokuwa mwanzo.

Majority ya supportes wa CDM ni matokeo ya kura za maoni na udini.... pindi CCM ikimsiammisha mgombea u-Raisi Mkristo 2015 utaona kitakachotokea. Ndio itakapokuwa mwanzo wa kuporomoka kwa CDM.
 
Hakuna rafiki wa kudumu katika siasa wala adui wa kudumu katika siasa, vijana wengi hasa cdm ni wachanga katika siasa wamezoea siasa furaha wakati wote kwao wanapoguswa kidogo hupiga kelele kama mtoto mchanga, wao siku zote wamejitahidi kukichafua CUF mbele ya macho ya watanzania lakini wameshindwa, na watambue kuwa walishindwa CCM wao wanapoteza muda hataweza, CUF nl moto wa pumba huwa hauzimiki, sasa fungeni mkanda vinginevyo mtatoka kabisa katika siasa nchini.,
Ingependeza sana ukiendelea kutuletea ratiba za helkopita haya mengine ya kujenga hoja yanakupiga chenga, maana juzi ulituambia CCM wataleta helkopita 2 na kweli wameleta moja yao na moja mchumba.
 
Majority ya supportes wa CDM ni matokeo ya kura za maoni na udini.... pindi CCM ikimsiammisha mgombea u-Raisi Mkristo 2015 utaona kitakachotokea. Ndio itakapokuwa mwanzo wa kuporomoka kwa CDM.
Mbona unaisema CUF kimafumbo?
 
Hakuna rafiki wa kudumu katika siasa wala adui wa kudumu katika siasa, vijana wengi hasa cdm ni wachanga katika siasa wamezoea siasa furaha wakati wote kwao wanapoguswa kidogo hupiga kelele kama mtoto mchanga, wao siku zote wamejitahidi kukichafua CUF mbele ya macho ya watanzania lakini wameshindwa, na watambue kuwa walishindwa CCM wao wanapoteza muda hataweza, CUF nl moto wa pumba huwa hauzimiki, sasa fungeni mkanda vinginevyo mtatoka kabisa katika siasa nchini.,

Umelewa pilau nini?maana mumeo anapenda sana hiyo kitu.
 
Hakuna rafiki wa kudumu katika siasa wala adui wa kudumu katika siasa, vijana wengi hasa cdm ni wachanga katika siasa wamezoea siasa furaha wakati wote kwao wanapoguswa kidogo hupiga kelele kama mtoto mchanga, wao siku zote wamejitahidi kukichafua CUF mbele ya macho ya watanzania lakini wameshindwa, na watambue kuwa walishindwa CCM wao wanapoteza muda hataweza, CUF nl moto wa pumba huwa hauzimiki, sasa fungeni mkanda vinginevyo mtatoka kabisa katika siasa nchini.,

Urafiki na ccm ni kujitengenezea uadui na Mungu,kwani ccm ina watu wasiotaka kusema kweli,pia wameiba fedha na rasmali nyingi za mtanzania maskini anayesumbuliwa na ujinga,maradhi na umaskini na hawataki kuzirudisha sasa unaweza ukawanarafiki kama huyo?Unapoleta thread uwe unafikiri kwa kina kwanza usiweunakurupuka sawa?
 
Majority ya supportes wa CDM ni matokeo ya kura za maoni na udini.... pindi CCM ikimsiammisha mgombea u-Raisi Mkristo 2015 utaona kitakachotokea. Ndio itakapokuwa mwanzo wa kuporomoka kwa CDM.

Hizi ndoto mnaziota kila siku lakini kadri siku zinavyokwenda ndivyo chadema inazidi kupasua anga.

Kama mlikimbilia CUF kwqa sababu ya ccm kumteua mkristo benjamini kugombea uraisi na baada ya kuingia mwenzenu mmeamua kurudi hiyo ni shauri yenu muendelee kurudi tu ccm lakini chadema inazidi kusonga mbele na uhakika ni kwamba by 2015 cuf mtakuwa kwisheny.
 
Hakuna rafiki wa kudumu katika siasa wala adui wa kudumu katika siasa, vijana wengi hasa cdm ni wachanga katika siasa wamezoea siasa furaha wakati wote kwao wanapoguswa kidogo hupiga kelele kama mtoto mchanga, wao siku zote wamejitahidi kukichafua CUF mbele ya macho ya watanzania lakini wameshindwa, na watambue kuwa walishindwa CCM wao wanapoteza muda hataweza, CUF nl moto wa pumba huwa hauzimiki, sasa fungeni mkanda vinginevyo mtatoka kabisa katika siasa nchini.,

Hii ni mipasho ya taarabu au nini!!!!?
 
Naona kama tangazo kwa wana cdm vile!! Sijamuelewa kwakweli.
 
CUF mizizi yake ipo Pembaaaaaaaaaaaaaaaa... au tuseme Zanzibar.. Na Chadema Mizizi yake ilianzia Kaskazini kweli ila Sasa imetambaaa mpaka Igunga, Mbeya, singida, Mwanza, Dar, Iringa....tumieni taswira hiyo muone hiki ni cha wachaga au???
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom