Cuf and company kukimbilia viti vya chadema ni kieleelzo cha usaliti wao

Jatropha

JF-Expert Member
Apr 9, 2009
1,151
199
jana wakat wabumge wa chadema wanatumia haki yao ya kikatiba kumsusia rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania ambaye wanaamini kuwa hakupatikana katika uchaguzi huru na wa haki, wabunge wa vyama vingine hususan cuf n.k vyenye viti 8 tu tanzania bara kwa pamoja (cuf 2, nccr , tlp 1 na udp 1) walionekana haraka haraka wakikimbilia kujaza viti vya wabunge wa chadema ili kuepusha aibu hiyo.

Nafurahi kitendo hiki kimetokea wakati ambapo mjadala uundwaji wa kambi ya upinzani ukiwa bado mbichi kabisa; ambapo waliokuwa wakitetea kushirikishwa kwa vyama vingine katika kambi hiyo natumai wamejionea wenyewe namna ambavyo wawakilishi hao wanavyoshiriki kuunga mkono kuendelea kuwepo katiba ya sasa katika mfumo na maudhui yake pamoja na tume ya uchaguzi isiyokuwa huru.

Kilichonifurahisha zaidi ni kitendo hicho kuweka mpaka vichwani na mawazoni mwa wananchi kuwa ni chama gani kipo kwa maslahi mapana zaidi ya taifa na watanzania na vyama gani vipo kwa ajili ya kutumiwa na ccm kujinda katiba na tume huru isiyokuwa huru; na kwa maana hiyo ufukara na umaskini na kukua kwa matabaka miongoni mwa watanzania.

Kwa kumsusia rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania aliye zao la katiba na tume ya uchaguzi mbovu, chadema imeungana na 51.2% ya watanzania waliojiandikisha kupiga kura lakini wakasusa kujitokeza kupinga mambo mbali mbali ikiwemo katiba na tume mbovu. Ukichanganya na 26% aliyopata dr slaa baada ya kuchakachuliwa utagundua kuwa wabunge wa chadema walikuwa wanawawakilisha takribani 77% ya watanzania waliojiandikisha kupiga kura ikilinganishwa na ccm na mhe jakaya kikwete amabye alikuwa akiwawakilisha 27% tu ya waliojiandikisha kupiga kura.

Big up chadema!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
By the way nimejaribu kuaccess Prsidential Election results ktika website ya NEC, link hiyo inagoma kufunguka. Inawezekana imechakachuliwa ili kuepusha aibu zaidi baada ya kuthibitika kuwa heabu katika majimbo zaidi zilikosea kama ilivyouwa Jimbo la Vunjo?
 
Mimi nawaona CUF kuwa ni MACHANGUDOA WA KISIASA. Si unajuwa itikadi ya makahaba ni fedha mapenzi hawajui na ndivyo walivyo CUF kwa Maalim Seif kupewa umakamu wa rais basi haki imetendeka, wamesahau kuwa kuna watu walimiminiwa risasi, waliobakwa na kutiwa vilema na polisi wa CCM kwa kupinga uonevu wa ZEC na vyombo vya dola.Hivi kweli Seif anadiriki kuwalaani Chadema kumsusia JK?
 
Mkuu nami jana nilitaja kama wewe,ivi inaingia akilini kwamba watz waliodanganywa kukesha wakilinda kura na wakatiwa nguvuni na kukaa kolokoloni alaf leo Seif na hamad wanaungana na wakoloni weusi kuendelea kutunyanyasa kwa kuodhi mali za umma,kupora viwanja na kujimilikisha maliasili,kukaa na katiba mbovu,leo hii wanakaa kuchekelea si tukingali matatani. Jeikeie anasema wapinzani wataenda watarudi tu,hawana wa kumlilia matatizo yetu isipokuwa mimi,jkei na serikali ya sism,huu si udikteta?anakemea udini bungeni,ivi udini uko kwa nani mbona mtaana shwari tu tuko pamoja? Jamaa ana matatizo makubwa,anazidi kuonesha IQ yake ilivo.
 
Mkuu nami jana nilitaja kama wewe,ivi inaingia akilini kwamba watz waliodanganywa kukesha wakilinda kura na wakatiwa nguvuni na kukaa kolokoloni alaf leo Seif na hamad wanaungana na wakoloni weusi kuendelea kutunyanyasa kwa kuodhi mali za umma,kupora viwanja na kujimilikisha maliasili,kukaa na katiba mbovu,leo hii wanakaa kuchekelea si tukingali matatani. Jeikeie anasema wapinzani wataenda watarudi tu,hawana wa kumlilia matatizo yetu isipokuwa mimi,jkei na serikali ya sism,huu si udikteta?anakemea udini bungeni,ivi udini uko kwa nani mbona mtaana shwari tu tuko pamoja? Jamaa ana matatizo makubwa,anazidi kuonesha IQ yake ilivo.

JK kama kawa kasema wataenda na watarudi kumlilia. nae atarudi tena kwetu wapiga kura
 
sikuamini nilichokiona. Inaonekana protocol kwao ni sifuri kabisa. Kitendo kile hakijawadhalilisha wao tu, kimelidhalilisha bunge zaidi. Kwa sababu kwa protocol za bunge kila mbunge ana sehemu/kiti chake. hata kama amekufa hupaswi kukalia kiti hicho until you are allocated. Shame on them.
 
jana wakat wabumge wa chadema wanatumia haki yao ya kikatiba kumsusia rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania ambaye wanaamini kuwa hakupatikana katika uchaguzi huru na wa haki, wabunge wa vyama vingine hususan cuf n.k vyenye viti 8 tu tanzania bara kwa pamoja (cuf 2, nccr , tlp 1 na udp 1) walionekana haraka haraka wakikimbilia kujaza viti vya wabunge wa chadema ili kuepusha aibu hiyo.

Nafurahi kitendo hiki kimetokea wakati ambapo mjadala uundwaji wa kambi ya upinzani ukiwa bado mbichi kabisa; ambapo waliokuwa wakitetea kushirikishwa kwa vyama vingine katika kambi hiyo natumai wamejionea wenyewe namna ambavyo wawakilishi hao wanavyoshiriki kuunga mkono kuendelea kuwepo katiba ya sasa katika mfumo na maudhui yake pamoja na tume ya uchaguzi isiyokuwa huru.

Kilichonifurahisha zaidi ni kitendo hicho kuweka mpaka vichwani na mawazoni mwa wananchi kuwa ni chama gani kipo kwa maslahi mapana zaidi ya taifa na watanzania na vyama gani vipo kwa ajili ya kutumiwa na ccm kujinda katiba na tume huru isiyokuwa huru; na kwa maana hiyo ufukara na umaskini na kukua kwa matabaka miongoni mwa watanzania.

Kwa kumsusia rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania aliye zao la katiba na tume ya uchaguzi mbovu, chadema imeungana na 51.2% ya watanzania waliojiandikisha kupiga kura lakini wakasusa kujitokeza kupinga mambo mbali mbali ikiwemo katiba na tume mbovu. Ukichanganya na 26% aliyopata dr slaa baada ya kuchakachuliwa utagundua kuwa wabunge wa chadema walikuwa wanawawakilisha takribani 77% ya watanzania waliojiandikisha kupiga kura ikilinganishwa na ccm na mhe jakaya kikwete amabye alikuwa akiwawakilisha 27% tu ya waliojiandikisha kupiga kura.

Big up chadema!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Baada ya yale yaliyotokea Zenji hawa jamaa wa CUF sio wapinzani tena na sisi tunahoji ni jinsi gani wataweza kutuwakilisha wapenda mabadiliko, inshort wameshanyamazishwa na wapinzani pekee wanabaki kuwa Chadema peke yao.
Hofu yangu ni jinsi gani tutatweza kuleta mabadiliko kama ya katiba mpya na tume huru kwa mwendo huu because kwenye kuvoti CCM,CUF na wapambe wao wengine watatuzidi na nadhani kuleta mabadiliko itakuwa ngumu.

Swali:
Kama tutashindwa kushinikiza mabadiliko ya katiba na tume huru kupitia bungeni, je kuna njia nyingine za kushinikiza na ni zipi hizo tuzijadili sasa
 
Nimependa walichofanya hawa wazanzibar (cuf) kwani kimewasaidia watz kujua ni chadema pekee kipo kwa maslahi ya watz na kinastahili kupewa sapoti yote ili kilikomboe hili taifa.
 
Wanachadema bwana machachali sana, yaani kunya mnye nyie tuu, wakinya wengine wamehara.

Yameshasemwa mengi, mmeshaambiwa sana. Yangu macho na masikio.
 
Mimi ninachokiona cuf wanajimaliza. Kwa kuwa wapo na CCM hawawezi kukwepa maovu ya ccm katika kampeni zijazo maana ni sehemu ya serikali na uovu wa serikali. Tangia zamani nasema Maalim Seif ni msaliti na wala si mpinzani wa dhati. yeye ndie alimsaliti Jumbe aliyemsomesha na kumpa madaraka, akamsaliti Nyerere kwa tamaa yake ya madaraka, sasa amewasaliti CUF kwa kuwa amapata cheo. Cheo chenyewe kinachekesha. Mbali na kupewa posho na kumwona kwenye sherehe katiba haimpi kazi yeyote. Rais akiondoka ni makamu wa pili anakaimu na jaji mkuu yeye hayupo kwenye ngazi ile. Na hana kazi yeyote yaliyopewa na katiba hadi rais ampangie na Rais anaweza asimpe kazi yeyote atabaki kama zuzu tu. Hivyo inaonyesha CUF walipenda zaidi madaraka kuliko ukombozi. Mandela aliahidiwa cheo wakati akiwa gerezani kinachofanana na cha Maalim Seif akakataa.
 
Mimi ninachokiona cuf wanajimaliza. Kwa kuwa wapo na CCM hawawezi kukwepa maovu ya ccm katika kampeni zijazo maana ni sehemu ya serikali na uovu wa serikali. Tangia zamani nasema Maalim Seif ni msaliti na wala si mpinzani wa dhati. yeye ndie alimsaliti Jumbe aliyemsomesha na kumpa madaraka, akamsaliti Nyerere kwa tamaa yake ya madaraka, sasa amewasaliti CUF kwa kuwa amapata cheo. Cheo chenyewe kinachekesha. Mbali na kupewa posho na kumwona kwenye sherehe katiba haimpi kazi yeyote. Rais akiondoka ni makamu wa pili anakaimu na jaji mkuu yeye hayupo kwenye ngazi ile. Na hana kazi yeyote yaliyopewa na katiba hadi rais ampangie na Rais anaweza asimpe kazi yeyote atabaki kama zuzu tu. Hivyo inaonyesha CUF walipenda zaidi madaraka kuliko ukombozi. Mandela aliahidiwa cheo wakati akiwa gerezani kinachofanana na cha Maalim Seif akakataa.


Niambieni kama CHADEMA hamjawahi kuipa kamati ya muafaka chapuo. Muafaka umepatikana na sasa mnaponda matunda ya muafaka huo? lipi jema kwenu wana chachali?
 
niambieni kama chadema hamjawahi kuipa kamati ya muafaka chapuo. Muafaka umepatikana na sasa mnaponda matunda ya muafaka huo? Lipi jema kwenu wana chachali?

wakati wote msimamo wa chadema na vyama vingine ulikuwa ni vyama vyte kuhusihwa katika huo mufaka, lini uliskia chadema kuupa chapuo huo muafaka? Huoja hapa ni wabunge wa cuf na washirika wake kutii amri ya ccm kujaza kwa haraka viti vya mbele mara tu baada ya wabunge wa chadema kuondoka ukumbini ili picha za tv zisionyesha mapengo. Baadhi ya akina mama wabunge cuf walitaka hata kuanguka kwa haraka ya kutekeleza amri ya ccm waliowaua mamia ya wapemba mwaka 2001. Leo hii viongozi wao wameshawasahau kabisa.
 
Hali tete Pemba: CUF wataka JK aingilie kati

12 08 2009 Wednesday, 12 August 2009 06:59
Na Reuben Kagaruki

CHAMA cha Wananchi (CUF),kimemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw.Jakaya Kiwete, kuhakikisha anasitisha mpango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), wa kutaka kutumia vikosi vyote vya ulinzi na usalama kusimamia duru ya pili ya uandikishaji wapiga kura, vinginevyo uchaguzi wa 2010 hautafanyika.
Kauli ya CUF imekuja siku moja baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Kiongozi, Bw. Hamza Hassan Juma, kunukuliwa na vyombo vya habari, akisema SMZ itatumia vikosi vyote vya ulinzi na usalama wakati wa awamu ya pili ya uandikishaji wapiga kura itakapoanza ili kuthibiti vurugu.
Alienda mbali zaidi na kusema kuwa; "Wananchi wa Pemba wasishangae kuona vifaru kwa vile Tanzania tupo makini katika suala la ulinzi wa nchi, ndiyo maana tumeamua kupeleka askari wa majini katika maeneo ya Kaskazini ya Pemba.
Akizungumza na gazeti hili jana, Mkurugenzi wa Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa CUF, Bw. Salim Biman, alisema; "Raia hawana chochote tunawakaribisha (askari) na vifaru vyao wawaswage na kama Rais Kikwete hatazuia mpango huo uchaguzi wa 2010 hautafanyika."
Alisema Pemba ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano, hivyo uchaguzi kama hautafanyika visiwani humo basi hata wa Jamhuri hautakuwepo.
Bw. Biman alisema vitisho ambavyo vimeanza kutolewa na SMZ haviwatishi wananchi wa Pemba bali vinazidi kuwaongezea ari zaidi.
Alisema kauli iliyotolewa na Bw. Juma inaonesha wazi kuwa SMZ imedhamiria kuendeleza mauaji kama yale yaliyotokea mwaka 2001 wakati wa vurugu za kupinga matokeo ya uchaguzi uliompa ushindi Rais Amani Abeid Karume wa mwaka 2000 watu 21 waliuawa na wengine kukimbilia Mombasa.
"Kama wanataka kuleta vikosi vyote vya ulinzi na usalama na vifaru pia, basi hayo ni maandalizi ya mauaji mabaya zaidi ya yale ya mwaka 2001," alisema Bw. Biman.
Alisema kama Rais mtaafu wa Awamu ya Tatu, Bw. Benjamin Mkapa, angekuwa amekamatwa na kushitakiwa kwa mauaji ya mwaka 2001, maandalizi yanayoendelea sasa yasingekuwepo kwani hata Rais Kikwete angeogopa.
"Watu hawana fujo wanachotaka ni haki yao, na wataidai hadi mwisho," alisema na kuongeza kuwa nia yao ni kutaka kuona watu wote wenye sifa wanaandikishwa katika daftari la wapiga kura.
Alitoa mwito kwa wananchi wa Pemba wasiogope vitisho kwani ni haki yao ya kikatiba kujiandikisha kupiga kura. Alipoulizwa hatua ya SMZ kupeleka vikosi vya majini ili kudhibiti watu wanaoingia kwa ajili ya kuvuruga uandikishaji, Bw. Biman alijibu;
"Hakuna mtu anayeingia hiyo ni aina nyingine ya ufisadi, wanatumia fedha za walipa kodi vibaya."
Alisema madai hayo yanatolewa ili kuhalalisha hatua ya Serikali ya kupeleka vikosi vingi vya ulinzi na usalama kisiwani Pemba kwa lengo la kukandamiza demokrasia wakati wa uchaguzi mwakani.
Aliongeza kuwa pamoja na hatua hiyo wananchi bado wapo ngangari.Ameiomba Jumuiya ya Kimataifa kuingilia kati suala hilo kwa kuwa alidai Tanzania ni moja ya nchi ambazo haziheshimu haki za binadamu. "Jumuiya ya Kimataifa iitazame Tanzania kwa jicho jingine vinginevyo uchaguzi hautakuwa huru na wa haki," alisema.
Akizungumzia vifaru ambavyo tayari vimepelekwa Pemba na kuonekana vikirandaranda, Bw. Biman alisema;
"Ni kweli vinaonekana na kimoja kimepinduka lakini yote hayo ni maandalizi ya vitisho."
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini pemba, Bw. Said Marekano, alinukuliwa na vyombo vya habari jana akithibitisha vifaru hivyo kuonekana mitaani, lakini alisema askari hao wa JWTZ wapo katika mazoezi ya kawaida ya kulenga shabaha kwa ajili ya kujiweka tayari katika utekelezaji wa majukumu yao.
Aliwataka wananchi kuondoa wasiwasi kwa vile mazoezi hayo ni ya kawaida kwani wanajeshi kuonekana na vifaru ni sawa na mvuvi kuonekana na nyavu.
 
Hivi nawauliza hao CUF kama CHADEMA wangesitisha mgomo na kuamua kurudi Bungeni wakati bado Kikwete akihutubia, CUF wangejisikiaje? Wangetoka kwenye hivyo viti au wangeng'ang'ania kukaa kama wao ndio chama kikuu cha upinzani?

Nimemdharau sana Hamad Rashid. Ameonyesha utoto kukimbilia kuketi kwenye kiti cha Mbowe. Uongozi wa upinzani Bungeni hautafutwi hivyo kaka.
 
Wete

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Mahali pa Wete katika PeMBA

Wete ni mji katika kaskazini ya kisiwa cha Pemba. Ikiwa ina wakazi 29,000 ni mji mkubwa wa Pemba pia makao makuu ya Mkoa wa Pemba Kaskazini na pia ya Wilaya ya Wete.
Umbali na Chake Chake ni kilomita 20.
Bunge la Zanzibar lina jengo hapa Wete linalotumiwa kwa ajili ya mikutano ya bunge kisiwani Pemba.
Bandari ya Wete ilikuwa muhimu lakini haifai kwa meli kubwa tena haikutengenezwa tena ipasavyo baada ya kujengwa kwa bandari ya Mkoani. Lakini bado karafuu kutoka kaskazini ya Pemba zasafirishwa kupitia bandari ya Wete.
Kuna hospitali. Maghofu ya jumba la Mtambwe Mkuu yako kwenye kisiwa kidogo karibu na Wete.
[hariri] Mauaji ya Wete 2001

Katika chaguzi za vyama vingi tangu mwaka 1995 wakazi wengi wa Wete jinsi wakazi wa Pemba kwa jumla walipendelea chama cha CUF. Kiongozi wa CUF Seif Shariff Hamad ni mwenyeji wa Wete. Baada ya uchaguzi wa mwaka 2000 wafuasi wa CUF waliona ya kwamba kura haikuwa ya kweli na tar. 27 Januari 2001 maelfu ya wananchi walikusanyika Wete kudai uchaguzi urudiwe.
Askari za Polisi walikuwa na amri kuzuia maandamano yalivunjwa na polisi kwa ukali mkubwa. Waandamanaji angalau 13 waliuawa, watu 213 walijeruhiwa na zaidi ya 400 walikamatwa. Polisi pamoja iliendelea kutafuta wapinzani katika siku zilizofuata kuna taarifa ya kwamba watu wengi walipigwa na wanawake kunajisiwa. Zaidi ya watu 2,000 kutoka Pemba walikimbia Kenya kwa maboti madogo walipoishi katika makambi hasa shimoni.
 
Hiyo habari ya cuf hapo juu mbona ya siku nyingi sana. Post yake inaonyesha ni ya August 2010??????????????
 
LAzima wananchi tujue kitu kimoja ya kuwa CUF hii inayoibeba CCM bungeni ni ya Bara au Visiwani? Hawa
wavisiwani wasitupotoshe kabisa. Ni wanafiki. Tusiwafuate hata kwa moja liwalo!
 
Ninyi hamuelewei kabisa...waislamu ni wabaguzi sana...hapo kimewauma muislamu wenzao JK kabanwa pabaya...ingekuwa nkapa wala huyo mahari seifu,shei hamadi na wenzake wasingeongea lolote...ni udini udini...jk kabanwa naye kabanika...yeye mdini alafu anajidai anapiga vita udini akalale bagamoyo huko...hamna atakayemrudia...kimemuuma tuuu...nusura aanguke pale..mkweree kazi unayo maka huuu...
 
Back
Top Bottom