Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Mgombea wa CHADEMA katika Uchaguzi mdogo wa Igunga Mwalimu Kashindye usiku wa Sept 25 alimuumbua Dk. Dalaly Kafumu katika Mdahalo uliofanyika Ukumbi wa Sakao Igunga baada ya Kafumu kuudanganya mdahalo kuhusu ujenzi wa daraja la Mbutu. Alichoambulia baada ya hapo ni kelele za kuzomewa na kejeli, boooooo!. Mdahalo uliandaliwa na VoX Media. Mada ilikuwa Ni The Tanzania we Want.
Jionee habari ambayo huwezi kupata popote katika TBCCM au CCM-ITV...Ni kupitia CTV pekee.
Dk.Kafumu aumbuliwa na Mgombea wa CHADEMA kwenye Mdahalo - YouTube
Embedded video:
Jionee habari ambayo huwezi kupata popote katika TBCCM au CCM-ITV...Ni kupitia CTV pekee.
Dk.Kafumu aumbuliwa na Mgombea wa CHADEMA kwenye Mdahalo - YouTube
Embedded video:
Last edited by a moderator: