100 Likes
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 2,416
- 5,157
mbn kwenye nyuzi kibao anatokeaga mtu anaekt yy ndo anaeongelewa?mie nadhan huyu kachangamsha genge tu..sijui lakin km ni yule yule
Kama umesoma vizuri utaona uhalisia kwenye hili tukio, siyo la kutunga, na the other person ni mke wa jamaa kweli.
Mimi binafsi naona kama ni tukio la kweli. Na sitaki kujudge upande ila nilichoona ni kwamba wameingia kwenye ndoa kabla hawajamaliza ujana. And then wote ni Alpha Character, ni ngumu kuwaweka pamoja.