Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,753
- 5,241
Nawasalim nyote...kwa waislam wenzangu Asalam Aleykum, na pia kwa wakristo wenzangu mana hata nyie ni wenzangu, Tumsifu Yesu Kristu, Bwana Yesu apewe sifa. Na wengine jaman habar zenu.
Baada ya salamu naomba nianze hivi...
Mwanaume huyu alipendana na msichana yule na mwanzo wa mahusiano walipeana ahadi kedekede za maisha yao ya badae na zaidi sababu msichana yule alikua virgin hivyo bas mwanaume huyu alizidisha upendo na msichana yule alimuahidi kujitunza na pia alisisitiza kua watafanya lile tendo takatifu la ndoa hadi watakapofunga ndoa. Maisha yakaendelea.
Msichana yule alikua hana kazi kwaio mwanaume huyu alikua anambeba kama mtu wake lakini sio kama mzazi wake(mambo ya ada na nini hayahusiki, ni mambo madogo ambayo alikua anayasettle mwanaume huyu).
Maisha yakaenda mwanaume huyu kibarua kikaota nyasi, huku msichana yule bahat akapata kazi inayomlipa vizuri tu(maana hutaweza kufa njaa ama kuishi kwenye mapango au kuvaa nguo zilizochakaa). Viashiria vya kushangaza na mabadiliko yalianza kuonekana hapa. Kumbe kuna "kiumbe" alikuwa tayari yuko katika "radar". Anyway tuendelee.
Mwanaume huyu na msichana yule ikawa ugomv here and there, na mwanaume huyu aliona dhahiri shahiri kwamba sababu ilikua inatafutwa ili mwanaume huyu atamke "its over" lakin mwanaume huyu alikua mara nyingi anajitahidi kuweka mambo katika msawazo lakin wakati mwingine ilikua ikifanikiwa na wakati mwingine haikufanikiwa.
Hali hii ikawa inamuumiza sana mwanaume huyu, japo alijipa faraja kua hakuna marefu yasiyokua na ncha kwamba ipo siku ukwel utajulikana lakin alishaona "dalili" na "viashiria" vya kusalitiwa.
Hatimaye mwisho wa siku uzalendo ukamshinda mwanaume huyu akaamua aanze kuutafuta ukweli mana hali ilizidi kua tete, pia kumbukeni bado mwanaume huyu hana kibarua chochote ndio alikua anaanza kujinyanyua mana kazi iliyoota nyas ndo kwanza alikua anaanza, ilikua kwa miez michache tu ndipo akaondolewa(hakuiba jaman mana msifikiri fisadi, ni mambo ya redundancy). Kwaio msichana yule ndo angepswa awe mfarji wake.. lakini...My God .
Kazi ya kuutafuta ukweli ikaanza rasmi, na haikuchukua muda sana akawa amepata majibu, japo niseme njia aliyotumia mwanaume huyu haimpendezi Mungu lakini aliona hana jinsi mana HE WAS SUFFERING INSIDE.
Kifupi ana MTU(naomba tumpe tu jina hilo MTU) mwingine, kwaio msichana yule alikua anamsaliti mwanaume huyu, akaonyeshwa yote na akaambiwa yote walivokua wanafanya mambo yao machafu. Ushahidi hajaupata bado wa kushika mkononi ila wa macho "ameonyeshwa" na "bwana mmoja" ambae aliona amsaidie ili mwanaume huyu asiendelee kuteseka bure.
Inavosemekana msichana anampenda mwanaume huyu KIMAPENZI ILA AMESHINDWA KUVUMILIA KWA KUWA MPENZI WAKE HANA KITU. Na huyo MTU mwingine ambae yuko nae katika mahusiano alitumia kishawishi cha PESA.
Hali ya mwanaume huyu baada ya kupata hayo yote sio nzuri japo sio kiafya bali kisaikolojia. Hivi waungwana unawezaje kuuza utu na thamani yako ya mwili kwa ajili ya pesa? Na ilihali unajishuhulisha na kazi ina mana msichana yule kashindwa kutosheka na anachokipata? Msichana yule alikua bas anatumia mbinu za hali ya juu sana kum-blind mpenz wake ili ajue nothing is going on lakini embu angalia anavoenda kuumbuka.
Na kipindi hiki magonjwa mengi watu wanatembea na HIV mfukoni, anakudanganya anakupa pesa na unamvulia nguo, je at the end anakuachia nini?
Naomben comments zenye advice.
TIP: period of relationship 4yrs.
Baada ya salamu naomba nianze hivi...
Mwanaume huyu alipendana na msichana yule na mwanzo wa mahusiano walipeana ahadi kedekede za maisha yao ya badae na zaidi sababu msichana yule alikua virgin hivyo bas mwanaume huyu alizidisha upendo na msichana yule alimuahidi kujitunza na pia alisisitiza kua watafanya lile tendo takatifu la ndoa hadi watakapofunga ndoa. Maisha yakaendelea.
Msichana yule alikua hana kazi kwaio mwanaume huyu alikua anambeba kama mtu wake lakini sio kama mzazi wake(mambo ya ada na nini hayahusiki, ni mambo madogo ambayo alikua anayasettle mwanaume huyu).
Maisha yakaenda mwanaume huyu kibarua kikaota nyasi, huku msichana yule bahat akapata kazi inayomlipa vizuri tu(maana hutaweza kufa njaa ama kuishi kwenye mapango au kuvaa nguo zilizochakaa). Viashiria vya kushangaza na mabadiliko yalianza kuonekana hapa. Kumbe kuna "kiumbe" alikuwa tayari yuko katika "radar". Anyway tuendelee.
Mwanaume huyu na msichana yule ikawa ugomv here and there, na mwanaume huyu aliona dhahiri shahiri kwamba sababu ilikua inatafutwa ili mwanaume huyu atamke "its over" lakin mwanaume huyu alikua mara nyingi anajitahidi kuweka mambo katika msawazo lakin wakati mwingine ilikua ikifanikiwa na wakati mwingine haikufanikiwa.
Hali hii ikawa inamuumiza sana mwanaume huyu, japo alijipa faraja kua hakuna marefu yasiyokua na ncha kwamba ipo siku ukwel utajulikana lakin alishaona "dalili" na "viashiria" vya kusalitiwa.
Hatimaye mwisho wa siku uzalendo ukamshinda mwanaume huyu akaamua aanze kuutafuta ukweli mana hali ilizidi kua tete, pia kumbukeni bado mwanaume huyu hana kibarua chochote ndio alikua anaanza kujinyanyua mana kazi iliyoota nyas ndo kwanza alikua anaanza, ilikua kwa miez michache tu ndipo akaondolewa(hakuiba jaman mana msifikiri fisadi, ni mambo ya redundancy). Kwaio msichana yule ndo angepswa awe mfarji wake.. lakini...My God .
Kazi ya kuutafuta ukweli ikaanza rasmi, na haikuchukua muda sana akawa amepata majibu, japo niseme njia aliyotumia mwanaume huyu haimpendezi Mungu lakini aliona hana jinsi mana HE WAS SUFFERING INSIDE.
Kifupi ana MTU(naomba tumpe tu jina hilo MTU) mwingine, kwaio msichana yule alikua anamsaliti mwanaume huyu, akaonyeshwa yote na akaambiwa yote walivokua wanafanya mambo yao machafu. Ushahidi hajaupata bado wa kushika mkononi ila wa macho "ameonyeshwa" na "bwana mmoja" ambae aliona amsaidie ili mwanaume huyu asiendelee kuteseka bure.
Inavosemekana msichana anampenda mwanaume huyu KIMAPENZI ILA AMESHINDWA KUVUMILIA KWA KUWA MPENZI WAKE HANA KITU. Na huyo MTU mwingine ambae yuko nae katika mahusiano alitumia kishawishi cha PESA.
Hali ya mwanaume huyu baada ya kupata hayo yote sio nzuri japo sio kiafya bali kisaikolojia. Hivi waungwana unawezaje kuuza utu na thamani yako ya mwili kwa ajili ya pesa? Na ilihali unajishuhulisha na kazi ina mana msichana yule kashindwa kutosheka na anachokipata? Msichana yule alikua bas anatumia mbinu za hali ya juu sana kum-blind mpenz wake ili ajue nothing is going on lakini embu angalia anavoenda kuumbuka.
Na kipindi hiki magonjwa mengi watu wanatembea na HIV mfukoni, anakudanganya anakupa pesa na unamvulia nguo, je at the end anakuachia nini?
Naomben comments zenye advice.
TIP: period of relationship 4yrs.