20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,760
Sikuhizi mambo yamekuwa mazito kidgo.
Binadanamu wamekuwa wakipenda au kuhitaji kuonekana wa jinsi nyingine.
Ukiachiliambali uwepo wa Homosexual ( mapenzi ya jinsia moja, kuvutiwa na watu wa jinsia yako )
Binadamu wameamua ku advance na kubadilisha muonekano wao, kwa maumbilie na mavazi.
Wanawake wanafanyiwa pasuaji na kuwekewa viungo bandia vya kiume na kutolewa vyao, kutengeneza sauti, ku inject hormone za kiume zinazo badilisha muonekano wa sura zao kuwa kiume zaid.
Wanaume nao hawako nyuma, wanatengeneza maumbile ya kike, sauti, hormone za kike na mavazi. Ukikutana nae huwezi jua kabisa kama ni mwanaume.
Hebu check hizi picha kidogo
Binadanamu wamekuwa wakipenda au kuhitaji kuonekana wa jinsi nyingine.
Ukiachiliambali uwepo wa Homosexual ( mapenzi ya jinsia moja, kuvutiwa na watu wa jinsia yako )
Binadamu wameamua ku advance na kubadilisha muonekano wao, kwa maumbilie na mavazi.
Wanawake wanafanyiwa pasuaji na kuwekewa viungo bandia vya kiume na kutolewa vyao, kutengeneza sauti, ku inject hormone za kiume zinazo badilisha muonekano wa sura zao kuwa kiume zaid.
Wanaume nao hawako nyuma, wanatengeneza maumbile ya kike, sauti, hormone za kike na mavazi. Ukikutana nae huwezi jua kabisa kama ni mwanaume.
Hebu check hizi picha kidogo