TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Wanabod,kama ikithibitika kwamba yule judge alitoa hukumu dhidi ya Lema isivyostahili napendekeza apewe namba 12 kwenye list ya mafisadi na kwamba kila mkutano ni lazima azungumzwe,wazungumzaji wakuu juu ya huyu shetwan wawe Dr.SLAA na KABWE Z.NARUDIA TENA NI PALE TU IKITHIBITIKA ALITOA HUKUMU KIMAGUMASHI.