Wakuu,
Wakati akihamia na akipokelewa rasmi CHADEMA/ UKAWA mheshimiwa Lowassa alitoa kauli kama tatu hivi kuhusu uchaguzi huu,,,,among others Lowassa aliwaambia wana UKAWA/wapiga kura wake kuwa wapige/wampigie kura then walinde za ngazi za chini lakini kura zote za urais wamwachie atalinda yeye mwenyewe.Aliongea kauli hiyo kwa kujiamini na kwa msisitizo mkubwa na kutoa picha kuwa anakijua anachokiongea.
Lakini siku za karibuni viongozi wakuu wa CHADEMA hasa mwenyekiti Freeman Mbowe amekuwa akishutumu mamlaka halali kama vile tume ya uchaguzi,usalama wa taifa na hata TPDFkuwa wamejiandaa kufanya uhuni kwenye uchaguzi huu HASA URAIS.
Mbowe kaongea mambo mengi sana akielekeza shutuma zake kwa viongozi waandamizi wa taasisi hizi kila apatapo nafasi ya kuongea kwenye majukwaa mbalimbali kwa takrinani mwezi mmoja sasa.Tundu Lissu na viongozi wengine wameonyesha hofu zao pia.
Lakini kubwa kuliko yote ni viongozi wa UKAWA hasa CHADEMA kuendelea kusisitiza wafuasi wao kulinda kura kwa uwezo wao wote na kura inayoleta mashaka zaidi obvious ni kura ya urais, hili limepelekea mgogoro wa mita 200 toka kituoni na kesi iko mahakamani.Hilo limeibuka as a result of issue ya ulinzi wa kura.
Hivi viongozi wa CHADEMA hawakusikia ahadi hii ya Lowassa?its obvious waliisikia sasa kipi kinawafanya wawe na wasiwasi kuhusu kutangazwa washindi na kukabidhiwa ikulu kama wakishinda wakati mgombea wao aliwaahidi kuwa kura za uraisi wasihangaike wamuachie yeye mwenyewe atazilinda?
Hawamuamini mgombea wao?
Kama kashindwa kutimiza ahadi hii moja aliyoahidi juzi juzi tu around July na kupelekea wapiga kura wake kuwa kwenye hatari wakati wakilinda kura zake ataweza kutimiza ahadi zake lukuki anazoendelea kuahidi kila siku kwenye campaign zake?
Je, inawezekana ata hizi anazoahidi kwenye kampeni ni geresha tu ili ashinde uchaguzi then hazitatimizwa?
Karibuni kwa mjadala na hoja wakuu
Wakati akihamia na akipokelewa rasmi CHADEMA/ UKAWA mheshimiwa Lowassa alitoa kauli kama tatu hivi kuhusu uchaguzi huu,,,,among others Lowassa aliwaambia wana UKAWA/wapiga kura wake kuwa wapige/wampigie kura then walinde za ngazi za chini lakini kura zote za urais wamwachie atalinda yeye mwenyewe.Aliongea kauli hiyo kwa kujiamini na kwa msisitizo mkubwa na kutoa picha kuwa anakijua anachokiongea.
Lakini siku za karibuni viongozi wakuu wa CHADEMA hasa mwenyekiti Freeman Mbowe amekuwa akishutumu mamlaka halali kama vile tume ya uchaguzi,usalama wa taifa na hata TPDFkuwa wamejiandaa kufanya uhuni kwenye uchaguzi huu HASA URAIS.
Mbowe kaongea mambo mengi sana akielekeza shutuma zake kwa viongozi waandamizi wa taasisi hizi kila apatapo nafasi ya kuongea kwenye majukwaa mbalimbali kwa takrinani mwezi mmoja sasa.Tundu Lissu na viongozi wengine wameonyesha hofu zao pia.
Lakini kubwa kuliko yote ni viongozi wa UKAWA hasa CHADEMA kuendelea kusisitiza wafuasi wao kulinda kura kwa uwezo wao wote na kura inayoleta mashaka zaidi obvious ni kura ya urais, hili limepelekea mgogoro wa mita 200 toka kituoni na kesi iko mahakamani.Hilo limeibuka as a result of issue ya ulinzi wa kura.
Hivi viongozi wa CHADEMA hawakusikia ahadi hii ya Lowassa?its obvious waliisikia sasa kipi kinawafanya wawe na wasiwasi kuhusu kutangazwa washindi na kukabidhiwa ikulu kama wakishinda wakati mgombea wao aliwaahidi kuwa kura za uraisi wasihangaike wamuachie yeye mwenyewe atazilinda?
Hawamuamini mgombea wao?
Kama kashindwa kutimiza ahadi hii moja aliyoahidi juzi juzi tu around July na kupelekea wapiga kura wake kuwa kwenye hatari wakati wakilinda kura zake ataweza kutimiza ahadi zake lukuki anazoendelea kuahidi kila siku kwenye campaign zake?
Je, inawezekana ata hizi anazoahidi kwenye kampeni ni geresha tu ili ashinde uchaguzi then hazitatimizwa?
Karibuni kwa mjadala na hoja wakuu