bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,114
- 20,002
Nmependa mbwembwe zako za kina Nina rotti na Ms LondonCR7 "Insects Only Attack Lights That Shines"
Meseji Ya CR7 Mwaka 2017 Instagram baada ya Kukabiliwa na kesi ya Ukwepaji Kodi Spain..na Wanafiki Kurusha vijembe Kwa CR7.
What'sup Harmonize..
"One love kwa Wanangu wakitaa mnaonunua CD.
Two love kwa Wanafiki Wa insta Mnanifanya niongoze biidii."
Spain Kesi nyingi za Ukwepaji kodi Kwa Wachezaji na Makocha ni nyingi.
A Tax Country-Spain.
Na heshimu sana Juhudi na Mafanikio ya CR7.
IN MY Opinion-CR7 alikuwa anavutia sana kutazama akiwa dimbani Miaka 2004-2009.
Unapata buradani tena na tena ya kumtazama,Ilikuwa Kama Unatazama Mhuni Ricostrong anavyotanua Mapaja ya Victoria Cakes au Delvin Weed Only Prince anavyojipakulia Asali ya Nina rotti the Beautiful Ebony au kumtazama fala Lil d anavyokamatia ngongingo ya Ms London ndani ya Las Vegas.
Alivyobadilika na kuwa goal Mashine ndani ya laliga Spain ni jambo kubwa sana sana.
Kuna jamaa yangu nilimwambia baada ya kufatilia mazoezi yake Mwaka 2018,CR7 bado anamuda sana dimbani anafanya mazoezi si yakawaida Huyu bwana.
CR7 anapenda Uchi sana,anapenda Pussy/Nyapu/..
Kwa Waumini Wa Mzee wa Upako anapewa Jina Moja Tu-Mzinzi/Mwasherati/anapepo la ngono.
CR7-anauwezo wa kutumia miguu Yote.
-Anamashuti Makali Miguu yote.
-Ana nguvu za Mwili kubwa sana.
-AnUwezo Mkubwa Wa kuruka hewani
-AnUwezo Mkubwa wa Riadha.
-Mtu asiye na huruma ndani Ya 18
-Mtu asiye katatamaa uwanjani
Sir Alex aliulizwa anavyodai yeye ndani ya kitabu chake Autobiography 2013.
Nani bora Mess au CR7 Akapigapiga Chenga kutoa jibu la moja kwa moja.
Jose Mourinho yeye Kuulizwa Mess au Ronaldo akajibu Ronaldo Delima Brazil...
CR7 anavutia/kutia hamasa vijana Wengi katika Mafanikio yake Dimbani..