Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,651
Naondoka Real Madrid...Imeamuliwa....sitabadili Uamuzi wangu.......Hayo ni Maneno ya Mchezaji Nyota wa Real Madrid Ya Nchini Hispania Cristiano Ronaldo
Nyota Huyo Anataka kuondoka Real Madrid akidai Kwamba Club yake Haithamini kama Jinsi [HASHTAG]#FCbarca[/HASHTAG] inavyomthamini [HASHTAG]#LeoMessi[/HASHTAG]. Hii imetokana Na Hali ya ya Ronaldo kudaiwa Euro millioni 14.7 ambazo ni sawa na Billion 30 na ushee za kitanzania.
Kama unakumbukumbu nzuri Leo messi naye alishawahi kukutwa na Kashfa ya ulipaji Kodi na Barcelona Pamoja na Mashabiki wake walipiga kampeni iliyoitwa [HASHTAG]#WeAreAllMessi[/HASHTAG] ili kumnusuru mchezaji wao nyota kuingia Matatani na Hali hiyo imemfanya Mchezaji Huyu Bora Mara 4 wa Dunia Kujisikia Vibaya Kuona Club yake Pamoja na Mashabiki kutopiga Kampeni zozote za kumuunga Mkono Hivyo Kutaka Kuchukua uamuzi wa kuondoka klabuni Hapo!