Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Manchester United imethibitisha kuwa Cristiano Ronaldo anatarajiwa kuondoka Klabuni hapo mara moja kwa makubaliano ya pande zote mbili
Klabu hiyo imesema “Inamshukuru kwa mchango wake mkubwa katika vipindi viwili akiwa Old Trafford, akifunga magoli 145 katika michezo 346”
Hatua hiyo inakuja baada ya Nyota huyo huishutumu Klabu hiyo kutokuwa na mipangp ya maendeleo na kusema hana heshima kwa Kocha Erik ten Hag kutokana na Kocha kutompa heshima
===
Cristiano Ronaldo is to leave Manchester United by mutual agreement, with immediate effect.
The club thanks him for his immense contribution across two spells at Old Trafford, scoring 145 goals in 346 appearances, and wishes him and his family well for the future.
Everyone at Manchester United remains focused on continuing the team’s progress under Erik ten Hag and working together to deliver success on the pitch.
Klabu hiyo imesema “Inamshukuru kwa mchango wake mkubwa katika vipindi viwili akiwa Old Trafford, akifunga magoli 145 katika michezo 346”
Hatua hiyo inakuja baada ya Nyota huyo huishutumu Klabu hiyo kutokuwa na mipangp ya maendeleo na kusema hana heshima kwa Kocha Erik ten Hag kutokana na Kocha kutompa heshima
===
Cristiano Ronaldo is to leave Manchester United by mutual agreement, with immediate effect.
The club thanks him for his immense contribution across two spells at Old Trafford, scoring 145 goals in 346 appearances, and wishes him and his family well for the future.
Everyone at Manchester United remains focused on continuing the team’s progress under Erik ten Hag and working together to deliver success on the pitch.