MtanzaniaOG
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 432
- 1,028
Baada ya Waungwana CRDB kushusha riba hadi 13% sasa wamekuja na masharti ya watumishi wanaotaka kukopa kuhamishia akaunti ya mshahara huko!
Sasa hii ina ulazima gani kwa watumishi wa Serikali ambao mishahara yao inapitishwa kwenye mfumo wa LAWSON kuwashurutisha kupitisha mishahara crdb??
Kuna fair competition hapa kwa mabenki mengine ambao tunabank nao na tunapata huduma nyingine ambazo ni binding kati ya Bank na Mteja?
Kwamba wanaogopa kutakuwa na default ya Serikali na wakati Mishahara inapitishwa kwenye mfumo?
Sasa hii ina ulazima gani kwa watumishi wa Serikali ambao mishahara yao inapitishwa kwenye mfumo wa LAWSON kuwashurutisha kupitisha mishahara crdb??
Kuna fair competition hapa kwa mabenki mengine ambao tunabank nao na tunapata huduma nyingine ambazo ni binding kati ya Bank na Mteja?
Kwamba wanaogopa kutakuwa na default ya Serikali na wakati Mishahara inapitishwa kwenye mfumo?