kataip
Senior Member
- Aug 21, 2013
- 145
- 77
Nimeshuhudia mteja wa crdb akiambiwa alipe sh. 5000/ kwa ajili ya kupata kadi mpya baada ya iliyopo kuisha muda wake yaani miaka chini ya miaka 5.
Wanakata kuchukua pesa, wanakata kila mwezi huduma ya account na baadhi ya huduma sasa naona wanaona haitoshi wameanzisha biashara kwenye KADI hasa utapotaka kubadilishiwa. Hii sijahiona NMB sijui bank zingine.
Vipi wana jamvi kuna ambaye naye wamemkuta? Vipi wako sahihi?mnasemaje waungwana nimeona tuliangalie pamoja.
Karibuni.
Wanakata kuchukua pesa, wanakata kila mwezi huduma ya account na baadhi ya huduma sasa naona wanaona haitoshi wameanzisha biashara kwenye KADI hasa utapotaka kubadilishiwa. Hii sijahiona NMB sijui bank zingine.
Vipi wana jamvi kuna ambaye naye wamemkuta? Vipi wako sahihi?mnasemaje waungwana nimeona tuliangalie pamoja.
Karibuni.