Mateso
JF-Expert Member
- Aug 6, 2008
- 259
- 19
Wajameni ni jambo la kushangaza na kwa upande mwingine kusikitisha.
Nashindwa kuelewa kama CRDB wamechoka wateja au wametosheka na kipato hivyo kutokujali tena wateja wao. Amini usiamini mpaka leo hii tarehe 7.6.10 kuna watu wengi sana ambao mishahara yao inapitia CRDB hawajapata mishahara yao. Nashindwa kuelewa tatizo ni nini.
Nadhani wakati umefika sasa wa wafanyakazi wote wa umma na mashirika ya umma kupitishia mishahara yao NMB kwa kuwa wanaopoitishia huko huwa wakichelewa kuvuta mshiko wao sana sana huwa ni tarehe 28 ya kila mwezi.
Nashauri waathirika wa tukio hili kuhama CRDB iwapo tatizo hili litarudia tena kwa mwezi June. Hatuwezi kuona watu wanahaha huku na huku kukopa wakati pesa zao zimekaliwa na wazembe fulani kwa kisichojulikana.
Nashindwa kuelewa kama CRDB wamechoka wateja au wametosheka na kipato hivyo kutokujali tena wateja wao. Amini usiamini mpaka leo hii tarehe 7.6.10 kuna watu wengi sana ambao mishahara yao inapitia CRDB hawajapata mishahara yao. Nashindwa kuelewa tatizo ni nini.
Nadhani wakati umefika sasa wa wafanyakazi wote wa umma na mashirika ya umma kupitishia mishahara yao NMB kwa kuwa wanaopoitishia huko huwa wakichelewa kuvuta mshiko wao sana sana huwa ni tarehe 28 ya kila mwezi.
Nashauri waathirika wa tukio hili kuhama CRDB iwapo tatizo hili litarudia tena kwa mwezi June. Hatuwezi kuona watu wanahaha huku na huku kukopa wakati pesa zao zimekaliwa na wazembe fulani kwa kisichojulikana.