CRDB: Wanahisa wa Benki ya CRDB waja juu kushuka kwa gawio

kbm

JF-Expert Member
Oct 5, 2012
5,222
1,670
Wanahisa wa Benki ya CRDB wametoana jasho kuhusu kuwawajibisha wakurugenzi wa bodi hiyo ambao wameidhinisha mikopo kwa watu ambao wameshindwa kurejesha kwa wakati, hivyo kusababisha kushuka kwa gawiwo kutoka Sh. 10 ya mwaka jana hadi Sh. 5 mwaka huu.

Source: NIPASHE
 

Attachments

  • IMG_20180521_145926.jpg
    IMG_20180521_145926.jpg
    227 KB · Views: 47
Wanahisa wa Benki ya CRDB wametoana jasho kuhusu kuwawajibisha wakurugenzi wa bodi hiyo ambao wameidhinisha mikopo kwa watu ambao wameshindwa kurejesha kwa wakati, hivyo kusababisha kushuka kwa gawiwo kutoka Sh. 10 ya mwaka jana hadi Sh. 5 mwaka huu.

Source: NIPASHE
heeeee si walisema kasi ya Kimei wameielewa.
 
Back
Top Bottom