Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,593
- 38,320
Hivi kumbe yule changu niliempata Forty Forty juzi ndio Bi Mdash wako?haya sema shikamoo Baba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kumbe yule changu niliempata Forty Forty juzi ndio Bi Mdash wako?haya sema shikamoo Baba.
Tuwe tunawaheshimu wazazi wetu huu si ujanja bali ni uzuzu. Tafuta kitu kingine sio kumkejeli mzazi wa mtu hujui yuko hai au amefariki. Tuwaheshimu wazazi wetu.
kamshauri kwanza bi mkubwa wako apunguze kuzaa maana kama atakuwa anazaa watoto wenye mitindio ya ubongo kama ww n hasara kwa taifa,Tuwe tunawaheshimu wazazi wetu huu si ujanja bali ni uzuzu. Tafuta kitu kingine sio kumkejeli mzazi wa mtu hujui yuko hai au amefariki. Tuwaheshimu wazazi wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuuwananiambia akaunti yako ilikuwa na njaa
Asante sanaa mkuu. Mwenyezi Mungu akuongezee Akili.kamshauri kwanza bi mkubwa wako apunguze kuzaa maana kama atakuwa anazaa watoto wenye mitindio ya ubongo kama ww n hasara kwa taifa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee wasamehe niliwahi vunja kadi yao mbele ya branch manager wa mlimani city kwa hasira.kisa kilikuwa nilikaa muda wa miaka 4 akaunti yangu ikiwa dormant,siku ya siku nikasema nikarecharge ila kwanza nikaomba mwongozo wao,wakasema utakatwa 5000 kama adhabu nikasema poa,wakaniambia niweke akiba.nikaweka 25000,ili wakate 5000 yao ingine itunze akaunti,nikatoka nje nikasema nicheki balance naambiwa nina 1400 tu.kurudi ndani naomba majibu wananiambia akaunti yako ilikuwa na njaa nilivunja kadi nikaachana nao.siwataki tena
Aisee wasamehe niliwahi vunja kadi yao mbele ya branch manager wa mlimani city kwa hasira.kisa kilikuwa nilikaa muda wa miaka 4 akaunti yangu ikiwa dormant,siku ya siku nikasema nikarecharge ila kwanza nikaomba mwongozo wao,wakasema utakatwa 5000 kama adhabu nikasema poa,wakaniambia niweke akiba.nikaweka 25000,ili wakate 5000 yao ingine itunze akaunti,nikatoka nje nikasema nicheki balance naambiwa nina 1400 tu.kurudi ndani naomba majibu wananiambia akaunti yako ilikuwa na njaa nilivunja kadi nikaachana nao.siwataki tena