Kaka tunataka huduma za mawakala wa tigo pesa...mp-esa...na airtel money.nenda kwa mawakala wao, noti zipo za kutosha. Au unataka kuchukua mpunga mnene zaidi ya TILIONI KADHAA.
Aaaaaaaaaaa.Aisee huko ndo kunafaa kusevu hela unaziweka tu ukienda ATM wanakuambia hela hamna