chazi piere
Senior Member
- Jun 12, 2016
- 121
- 65
Mimi ni mteja wa benki ya CRDB,Leo nimeenda kuweka hela sh 46,000 wananiambia hawapokei silver labda mpk zifike sh laki 1 au 2 ikabidi nibebe mzigo wngu wa silver nirudi nao nyumbani.Nnachojiuliza je ss walalahoi tunafanya biashara ya kuokoteleza sh mia Mia tukaweke wapi pesa zetu?nawasilisha