Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Kwa zama hizi kuwaweka foleni wateja kwa zaidi ya masaa matatu ++ haiingii akilini.
Wateja tunawafuata ila tija ya kutuhudumia tuondoke mapema kwenda kuzalisha ktk maeneo yetu imekuwa shida. Siku inaishia kwenu kusubiri huduma.
Wenye magari wanaumia kwa kutozwa parking charges kubwa kutokana na muda mrefu wa kukaa bank.
Ongeza wafanyakazi na madirisha.
Wateja tunawafuata ila tija ya kutuhudumia tuondoke mapema kwenda kuzalisha ktk maeneo yetu imekuwa shida. Siku inaishia kwenu kusubiri huduma.
Wenye magari wanaumia kwa kutozwa parking charges kubwa kutokana na muda mrefu wa kukaa bank.
Ongeza wafanyakazi na madirisha.