CRDB mlichonifanyia leo sitawasamehe

ushawahi kukosea namba? Ukikosea usumbufu utaoupata huta tamani tena kutumia hiyo sim banking kwanza utaambiwa kapige simu kwa mtandao husika kabla muhusika hajazitoa, kisha ndiyo upige simu bank baada ya hapo usubiri masaa 72 halafu hiyo hela wataituma kwa namba uliyokosea HAIRUDI KWENYE ACCOUNT YAKO sasa fikirikia kama uko safarini na umelipia bidhaa utafanyaje? Unaweza jikuta unalipia bidhaa mara mbili ...we mbwa uwe unafikiri kabla ya kuandika
Yaani unakosea kutuma hela, halafu muamala unarudishwa kwa yule uliyemtumia badala ya pesa kuja kwako au kurudi bank?
 
Nakushauri uwe na huduma ya SimBanking kwa sehemu ambapo wewe mhusika ni mgeni. Unahamisha pesa zako toka simBanking yako na kuipeleka kwenye namba yako ya voda, airtel, tigo nk. na baadaye unaenda kutoa pesa zako kwa wakala. Naogopa sana kuchukua pesa zangu kupitia ATM sehemu ambapo mimi ni mgeni na kupata msaada ni shida.
 
CRDB siku hizi wanaendesha mambo kihuni, waliniletea meseji kwamba wamekata pesa yao kwa hiyo sidaiwi pesa ya salary advance. baadaye wakadai haikukata eti system ili misbehave kwa hiyo wanaendelea kunidai na riba inaongezeka. Wataalamu wa sheria naomba mnishauri ikiwa watakata riba zaidi ambayo ipo nje ya makubaliano kama naweza kuwafungulia kesi, maana hawa watu wamezidi kufanya mambo kienyeji enyeji.
 
Kanda ya Ziwa utaikuta hapo Mwanza mirefu, Shinyanga iko kahama na mikoa mingine yote ya kanda ya ziwa iliyobaki hamna tawi la absa.

Kwingineko Tanzania Absa utaikuta kwenye mijii mikubwa/majiji tu lkn mikoa ya kilimo kwanza Absa huwezi kuikuta.
Sio kweli ipo kila mkoa. Ila Haina matawi kwenye baadhi ya wilaya. Mimi mdogo wangu anahudumu huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi shughuli zangu zinajumuisha kusafiri mara kwa mara, nikapita Dar es salam maeneo ya kinondoni mwanamboka nikaona ATM ya CRDB.

Nikaisogelea kwa lengo ya kuchukua akiba ili niondoke maporini huko, Mashine imeandikwa insert card, nikachomeka kadi yangu baada ya muda ikanitolea risiti kwamba kadi imemezwa dah!!

Nikatoka nje nikakuta walinzi wa suma JKT wamezungukwa na watu kama Watano wale walinzi wanawashutumu wale watu “nyinyi mnakuja hapa hamuulizi kadi zimenasa ndio mnakuja kusumbua” wakati tunaongea watu walikuwa wanazidi kumiminika kwenye ATM nilichukua jukumu la kuwaambia kuwa Mashine ni mbovu wale walinzi walikuja juu kwa maelezo kuwa hilo halikuwa jukumu langu.

Nilipiga simu huduma kwa wateja 0755197700 nilijibiwa na Sauti ya kike “kadi yako utaipata baada ya siku nne” yaani nikae hapa siku nne kusubiri kadi iliyomezwa kwa uzembe wa benki walahi tena kama kuna mwana sheria mzuri ani PM tuyajenge...

Na hata ukiwepo kwenye bank ndani wafanyakazi wa bank wanapita na kuwatazama wateja kama njugu mbichi, hamna salaam wala ku smile hata kinafiki tu!! sijui ni jeuri ya sare zao au mishahara!!?
 
Tumia simbanking app ili usikosee namba
ushawahi kukosea namba? Ukikosea usumbufu utaoupata huta tamani tena kutumia hiyo sim banking kwanza utaambiwa kapige simu kwa mtandao husika kabla muhusika hajazitoa, kisha ndiyo upige simu bank baada ya hapo usubiri masaa 72 halafu hiyo hela wataituma kwa namba uliyokosea HAIRUDI KWENYE ACCOUNT YAKO sasa fikirikia kama uko safarini na umelipia bidhaa utafanyaje? Unaweza jikuta unalipia bidhaa mara mbili ...we mbwa uwe unafikiri kabla ya kuandika
 
Binafsi shughuli zangu zinajumuisha kusafiri mara kwa mara, nikapita Dar es salam maeneo ya kinondoni mwanamboka nikaona ATM ya CRDB.

Nikaisogelea kwa lengo ya kuchukua akiba ili niondoke maporini huko, Mashine imeandikwa insert card, nikachomeka kadi yangu baada ya muda ikanitolea risiti kwamba kadi imemezwa dah!!

Nikatoka nje nikakuta walinzi wa suma JKT wamezungukwa na watu kama Watano wale walinzi wanawashutumu wale watu “nyinyi mnakuja hapa hamuulizi kadi zimenasa ndio mnakuja kusumbua” wakati tunaongea watu walikuwa wanazidi kumiminika kwenye ATM nilichukua jukumu la kuwaambia kuwa Mashine ni mbovu wale walinzi walikuja juu kwa maelezo kuwa hilo halikuwa jukumu langu.

Nilipiga simu huduma kwa wateja 0755197700 nilijibiwa na Sauti ya kike “kadi yako utaipata baada ya siku nne” yaani nikae hapa siku nne kusubiri kadi iliyomezwa kwa uzembe wa benki walahi tena kama kuna mwana sheria mzuri ani PM tuyajenge...
unataka fidia au?


CRDB WAKALA NI SALAMA ZAIDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi shughuli zangu zinajumuisha kusafiri mara kwa mara, nikapita Dar es salam maeneo ya kinondoni mwanamboka nikaona ATM ya CRDB.

Nikaisogelea kwa lengo ya kuchukua akiba ili niondoke maporini huko, Mashine imeandikwa insert card, nikachomeka kadi yangu baada ya muda ikanitolea risiti kwamba kadi imemezwa dah!!

Nikatoka nje nikakuta walinzi wa suma JKT wamezungukwa na watu kama Watano wale walinzi wanawashutumu wale watu “nyinyi mnakuja hapa hamuulizi kadi zimenasa ndio mnakuja kusumbua” wakati tunaongea watu walikuwa wanazidi kumiminika kwenye ATM nilichukua jukumu la kuwaambia kuwa Mashine ni mbovu wale walinzi walikuja juu kwa maelezo kuwa hilo halikuwa jukumu langu.

Nilipiga simu huduma kwa wateja 0755197700 nilijibiwa na Sauti ya kike “kadi yako utaipata baada ya siku nne” yaani nikae hapa siku nne kusubiri kadi iliyomezwa kwa uzembe wa benki walahi tena kama kuna mwana sheria mzuri ani PM tuyajenge...

Piga gharama ya kesi na gharama ya hela uliotaka kutoa, ukiona ipi kubwa go ahead.

Ujue maisha ni mahesabu, ukute ulitaka kutoa 100,000 alafu gharama za case 1,000,000 na kadi utapata after 4 days, hapo ndio utajua akili za nyumbu zikoje.
 
Binafsi shughuli zangu zinajumuisha kusafiri mara kwa mara, nikapita Dar es salam maeneo ya kinondoni mwanamboka nikaona ATM ya CRDB.

Nikaisogelea kwa lengo ya kuchukua akiba ili niondoke maporini huko, Mashine imeandikwa insert card, nikachomeka kadi yangu baada ya muda ikanitolea risiti kwamba kadi imemezwa dah!!

Nikatoka nje nikakuta walinzi wa suma JKT wamezungukwa na watu kama Watano wale walinzi wanawashutumu wale watu “nyinyi mnakuja hapa hamuulizi kadi zimenasa ndio mnakuja kusumbua” wakati tunaongea watu walikuwa wanazidi kumiminika kwenye ATM nilichukua jukumu la kuwaambia kuwa Mashine ni mbovu wale walinzi walikuja juu kwa maelezo kuwa hilo halikuwa jukumu langu.

Nilipiga simu huduma kwa wateja 0755197700 nilijibiwa na Sauti ya kike “kadi yako utaipata baada ya siku nne” yaani nikae hapa siku nne kusubiri kadi iliyomezwa kwa uzembe wa benki walahi tena kama kuna mwana sheria mzuri ani PM tuyajenge...
UNATAKA MWANASHERIA NAE AKUMEZE HELA ZAKOO MKUU KUWA MPOLE TU NDIO PROCEDURE MWANA HANA UWEZO WOWOTE HHAPO ATAKUDANGANYA TUKAFUNGUE KESI LETA BAL KIASI FULAN AKIJUA USHINDI UONI KILA MTU MWANASHERIA HADI MA ENGN WABAKIMBILIA UANASHERIA KUWAPIGA WA2KAMA NINYI
 
afu libenki la CRDB IRINGA ndo HOVYO kabisa, kama wewe huna akaunti ya CRDB afu mtu akakulipa toka hapo CRDB, yaani CHEQUE inakaa, inakaa mpaka ukabembeleze ndo unakuta wametuma kwenye benki yako e.g NMB,NBC etc. yaani mtu unashangaa majukumu yako ya msingi KWANINI NIKUBEMBELEZE ndo utekeleze ?? yaani hii benki imekuwa hovyo kabisa
 
Crdb wana huduma mbovu kabisa na hapa nataka ku unistall SIM app yao kila nikituma pesa M pesa hazifiki alafu ukiwajulusha hawatatui tatizo.

Hapa kuna pesa nimetuma tangu Ijumaa iliyopita niliyemtumia hazijamfikia na kwangu zimetoka ninafuatilia utasema naomba kazi.

Wana bank charges za hovyo kabisa na ata kwenye ATM ukitoa pesa hawaeki risiti ili uulize tena balance wakukate bank charges.

Ukichichanganya ukatoa ata elfu ishirini kwa teller badala ya ATM utakatwa kama Elfu tano bank charge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mi sielewi hawa walinzi wanaajiliwa kwa kazi gani kwa sababu sa nyingine wanataka kujipa hadi madaraka ya kutaka kujua shida yako ya kiofisi utafikiri wanaweza kuitatuta
 
Back
Top Bottom