Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,562
- 47,010
Habarini za muda huu wakuu,
Ukirejea kwenye kichwa husika, kuna promotion ambayo ime trend sana hivi punde toka CRDB juu ya mikopo inatolewa kwa wafanyakazi wa sector zote binafsi na za umma,kwa riba ya asilimia 14-16 yenye muda kuanzia 1year to 7years hii ni kwa wafanyakazi walioajiriwa wenye mikataba ya kazi ya kudumu, unaweza kopa kuanzia Milion1- Milioni 100.
Swali langu ni kwanini ukienda ofisini kwao maelezo yao yana kinzana na matangazo yao unakutana na mambo tofauti kidogo,hebu tusaidiane kwa yoyote humu ndani aliejaribu kuomba huu mkopo naomba anipe ufafanuzi kidogo kakutana na changamoto zipi.
Vivyo hivyo nasikia NMB wanatoa mkopo kama huo huo kwa wafanyakazi wenye riba 14%-16% miaja7 kuanzia 1m-100m, Je kwa NMB ni lazima mshahara upite kwenye bank yao.
Kati ya CRDB vs NMB wapi kuna unafuu kwenye kupata huu mkopo?
Tusaidiane kimawazo wakuu,tujikwamua tundwe sote kwenye uchumi wa kati
Ukirejea kwenye kichwa husika, kuna promotion ambayo ime trend sana hivi punde toka CRDB juu ya mikopo inatolewa kwa wafanyakazi wa sector zote binafsi na za umma,kwa riba ya asilimia 14-16 yenye muda kuanzia 1year to 7years hii ni kwa wafanyakazi walioajiriwa wenye mikataba ya kazi ya kudumu, unaweza kopa kuanzia Milion1- Milioni 100.
Swali langu ni kwanini ukienda ofisini kwao maelezo yao yana kinzana na matangazo yao unakutana na mambo tofauti kidogo,hebu tusaidiane kwa yoyote humu ndani aliejaribu kuomba huu mkopo naomba anipe ufafanuzi kidogo kakutana na changamoto zipi.
Vivyo hivyo nasikia NMB wanatoa mkopo kama huo huo kwa wafanyakazi wenye riba 14%-16% miaja7 kuanzia 1m-100m, Je kwa NMB ni lazima mshahara upite kwenye bank yao.
Kati ya CRDB vs NMB wapi kuna unafuu kwenye kupata huu mkopo?
Tusaidiane kimawazo wakuu,tujikwamua tundwe sote kwenye uchumi wa kati