Barackobama
Member
- May 20, 2021
- 20
- 20
HADI SASA HUJAPATA MKOPO ULIOOMBA?Kwa kweli CRDB mnachotufanyia sicho. Kwa Nini mnatusumbua hivi?
Mtu unajaza mkopo unatimiza masharti yote lakini hamuweki hela.Imagine inafikia mpaka mnaanza kukata makato bado hamjawwka hela.Kama mmefilisika di mseme ukweli na msimamishe huduma ya mikopo kuliko kusababisha stress kiwango hili?
Halafu jana watu walianzisha thread kulakamikia tatizo hili thread zilidumu sekunde kadhaa zikawa deleted kabisa
Why mbona threads nyingi nyingine hazina maana kabisa hamziondoi
Please acheni watu watoe malakamiko yao ya moyoni