Schoolface
Senior Member
- May 7, 2021
- 147
- 148
Habari wanajukwaa,
Kama kichwa cha habari kisemavyo kumekuwa na kero sana katika maeneo ya Lamadi yaani kila ukienda bank ya CRDB pale Lamadi unakuta bank ipo wazi ila ndani hakuna watoa huduma yaani unamkuta mlinzi tu na kama ukibahatika kumkuta mtoa huduma wa pale CRDB basi ukitaka kufanya shughuli yoyote ya fedha unaambiwa hakuna salio nimeenda pale mara nyingi sana hakuna huduma yoyote inayo fanyika pale ni bora mkafunga bank kuliko kila siku tukienda pale tunakosa huduma inaboa sana na ukienda kwa mawakala wanakwambia uende bank ukienda bank jibu ni mmoja tu hakuna salio inabidi uchome nauli mpaka bunda mjini ndo uludi Lamadi.
Poleni kwa mwandiko jamani.
Kama kichwa cha habari kisemavyo kumekuwa na kero sana katika maeneo ya Lamadi yaani kila ukienda bank ya CRDB pale Lamadi unakuta bank ipo wazi ila ndani hakuna watoa huduma yaani unamkuta mlinzi tu na kama ukibahatika kumkuta mtoa huduma wa pale CRDB basi ukitaka kufanya shughuli yoyote ya fedha unaambiwa hakuna salio nimeenda pale mara nyingi sana hakuna huduma yoyote inayo fanyika pale ni bora mkafunga bank kuliko kila siku tukienda pale tunakosa huduma inaboa sana na ukienda kwa mawakala wanakwambia uende bank ukienda bank jibu ni mmoja tu hakuna salio inabidi uchome nauli mpaka bunda mjini ndo uludi Lamadi.
Poleni kwa mwandiko jamani.