CRDB kutokutoa notification sms pindi hela ikiingia kwenye account kwa hoja ya kwamba kama kuna mtu alikosea kukutumia utaitoa haraka ni sawa?
mimi nataka deposit yoyote ikifanyika kwenye account yangu nijue bila kuangalia salio au statement
Huwa mshahara unaingia wenzangu wa NMB wanapata sms ila mimi wa CRDB sipati
Kama wameshindwa kabisa kutoa notification ya aina yoyote kwa nini wasimpe mteja option ya kuchagua trusted sources ambazo hela zikiingia kutokea huko mfano Salary niwe notified
Nilichat na Customer Care wao kwenye website yao ila alinijibu vibaya na hata hakuzingatia kuchukua pendekezo langu halafu wanajiita "The Bank that Listens"
Kama ni "The Bank that Listens" kwa nini wasimsikilize mteja anachotaka!
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi nataka deposit yoyote ikifanyika kwenye account yangu nijue bila kuangalia salio au statement
Huwa mshahara unaingia wenzangu wa NMB wanapata sms ila mimi wa CRDB sipati
Kama wameshindwa kabisa kutoa notification ya aina yoyote kwa nini wasimpe mteja option ya kuchagua trusted sources ambazo hela zikiingia kutokea huko mfano Salary niwe notified
Nilichat na Customer Care wao kwenye website yao ila alinijibu vibaya na hata hakuzingatia kuchukua pendekezo langu halafu wanajiita "The Bank that Listens"
Kama ni "The Bank that Listens" kwa nini wasimsikilize mteja anachotaka!
Sent using Jamii Forums mobile app