Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,929
- 40,504
Habarini Wadau,
CRDB benki kongwe na yenye Qateja lukuki hapa nchini inakera sana na sasa haiaminiki tena katika huduma yake ya SIMBANKING
Wiki mbili zilizopita nilienda kwa Wakala ili kutoa kiasi flan cha pesa, ilikuwa ni asubuhi saa 3, ila kila ukijaribu kufanya transaction kwa njia ya kawaida inagoma na kuleta ujumbe kuwa
"Huduma hii haipatikani kwa sasa"
Wakuu, hiyo message ilinirudia kila baada ya muda kidg nikijaribu tena kufanya muamala...nilikuja kufanikiwa saa 8 mchana halafu jioni huduma ikapotea tena
Wiki iliyopita hali kadhalika huduma hii ilisuasua sana zaidi ya siku moja
Leo sasa, najaribu kutoa kiasi kidogo tu cha pesa message yenye maandishi mekundu inakuja kwa Mtoa huduma ikimtaka aniambie mimi mteja
"niupdate app yangu ya SIMBANKING" wakati jana niliupdate Apps zote katika simu yangu...nikasema ngoja nika uodate tena, kwakuwa nilikuwa eneo lenye wireless basi kuingia Appstore na kutafuta Simbanking wala haihitaji Updates 🤣🤣🤣🤣
Nikajaribu kutoa kwa njia ya ATM ikaniletea ujumbe kuwa
"Huduma haipatikani"
CRDB, we are fed up....Mnatukera na kutuchosha kupita kiasi
CRDB benki kongwe na yenye Qateja lukuki hapa nchini inakera sana na sasa haiaminiki tena katika huduma yake ya SIMBANKING
Wiki mbili zilizopita nilienda kwa Wakala ili kutoa kiasi flan cha pesa, ilikuwa ni asubuhi saa 3, ila kila ukijaribu kufanya transaction kwa njia ya kawaida inagoma na kuleta ujumbe kuwa
"Huduma hii haipatikani kwa sasa"
Wakuu, hiyo message ilinirudia kila baada ya muda kidg nikijaribu tena kufanya muamala...nilikuja kufanikiwa saa 8 mchana halafu jioni huduma ikapotea tena
Wiki iliyopita hali kadhalika huduma hii ilisuasua sana zaidi ya siku moja
Leo sasa, najaribu kutoa kiasi kidogo tu cha pesa message yenye maandishi mekundu inakuja kwa Mtoa huduma ikimtaka aniambie mimi mteja
"niupdate app yangu ya SIMBANKING" wakati jana niliupdate Apps zote katika simu yangu...nikasema ngoja nika uodate tena, kwakuwa nilikuwa eneo lenye wireless basi kuingia Appstore na kutafuta Simbanking wala haihitaji Updates 🤣🤣🤣🤣
Nikajaribu kutoa kwa njia ya ATM ikaniletea ujumbe kuwa
"Huduma haipatikani"
CRDB, we are fed up....Mnatukera na kutuchosha kupita kiasi