rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,150
- 20,067
Huu uzi nilikuwa naupita kimyakimya leo nimelipwa check haifiki hata laki tano naambiwa inabidi nikatwe 10000 utaratibu mpya na wala hawatoi risiti sijui tra wanapataje kodi zao
Wana kigezo cha ziada ambacho ni kabila.
Kiukweli kwa sasa CRDB wamekuwa wazinguaji sana. Naona wamelewa sifa za kuwa benki yenye ubunifu zaidi. Binafsi nilienda na jamaa yangu kushughulikia mkopo lakini kilichotokea jamaa aliamua kuhama benki baada ya kuona mizunguko kibao isiyo na tija. Aliingia Equity with no time akapata mkopo wa biashara. CRDB wasipobadilika watakutana na anguko la maana siku chache zijazotoka mwezi wa tatu mwishoni mpaka WA huu WA SITA majibu NI Yale Yale..
Watu wengi wanawalalamikia crdb kuhusu huduma hii.
crdb badilikeni SASA... Vunjeni kitengo chenu cha IT ni wababaishaji mno..
watu tunashindwa kufanya business transactions Kwa sababu ya uzembe na ubabaishaji wa IT experts wenu.
personally nimevunja account yangu ya crdb.
hela zote nimehamishia Standard Chartered Bank..
sijui NI wateja wenu wangapi watakuwa wamefanya hivi.
Siamini kama crdb wamekuwa wababaishaji kiasi hiki...
Miezi miwili iliyo pita nilijaza fomu ya kujiunga na online purchasing...
Nikaambiwa nitatumiwa Temporary Access code ndani ya masaa 24. Zikapita siku mbili sijatumiwa hiyo namba, nikamwambia kuulizia kulikoni. Kama kawaida Yao wakaomba namba ya akaunti, namba SITA za Mwanzo za kwenye card number yangu na namba nne za Mwisho. Nikafanya kama walivyo agiza then nikaaambiwa after 24 hours nitatumiwa namba..
Two days later number bado haijatumwa. Nikaamua kwenda makao makuu.
.
wakachukua details zangu nikaaambiwa nitatumiwa namba baada ya masaa 24.
siku tatu zikapita bila majibu. Nikapiga simu.. nikaambiwa Tena ntatumiwa namba baada ya masaa 24..
seven hours later nikatumiwa temporary access code...
Kwenda kwenye website Yao nikafanya kama walivyo elekeza..
Sehemu ya majina yangu nikajaza jina la Mwanzo na la mwisho Kwa herufi kubwa then nikaweka na hiyo temporary access code Yao..
Baada ya Ku click, ikaleta majibu Password and names do not match.
Nikajaribu mara ya pili, password and names do not match.
mara ya tatu nikaambiwa the service has been suspended.
nikapiga simu nikaambiwa ntatumiwa access code nyingine after two hours.
after two hours HAKUNA namba iliyo tumwa, kupiga simu nikaambiwa after twenty four hours natumiwa namba..
toka mwezi wa tatu mwishoni mpaka WA huu WA SITA majibu NI Yale Yale..
Watu wengi wanawalalamikia crdb kuhusu huduma hii.
crdb badilikeni SASA... Vunjeni kitengo chenu cha IT ni wababaishaji mno..
watu tunashindwa kufanya business transactions Kwa sababu ya uzembe na ubabaishaji wa IT experts wenu.
personally nimevunja account yangu ya crdb.
hela zote nimehamishia Standard Chartered Bank..
sijui NI wateja wenu wangapi watakuwa wamefanya hivi.
yani watu wenu wa it wanafanya mambo kienyeji Sana. Like seriously!!! Yani hawawezi kufanya majukumu Yao mpaka uwapigie kuwakumbusha?
This is too unprofessional. Enzi za Kimei hakukuwaga na ubabaishaji kama huu.
IT EXPERTS wa Standard Chartered Wana kitu gani ambacho IT experts WA Crdb hawana?
how comes nimeenda Standard Chartered nimefungua account, Kasi ilivyo kuwa activated nikaenda kujiunga na huduma ya online purchasing na imekuwa activated ndani ya siku moja?
Nitamshauri vp MTU anaetaka kujiunga na huduma ya online purchasing akafungue akaunti Crdb wakati Standard Chartered wapo?
Hata ngombe Hawezi kuyapeleka Makinda yake kwenda kunywa maji kwenye kisima chenye maji masafi wakati anajua mahali kilipo kisima chenye maji masafi.
Dunia ya sasa karibu kila kitu kinafanyika online..Taasisi kubwa kama crdb inakuwa na experts wanao fanya ubabaishaji kwenye kitengo muhimu kama hicho inakuwa haimake sense..
Kwa usumbufu mlio nifanyia mngeufanya Kwa mtu kama Mtikila am sure as hell huko mahakamani kungekua na jalada linalosomeka MTIKILA Vs CRBD.
Angewashtaki for the breach of contract
crdb lifanyieni kazi Tatizo haraka iwezekanavyo.
asanteni na kwaherini
Wanazungua sana Jamaa it's better waifute hiyo huduma kuliko kusumbua watuNimepata same scenario.....ni wapuuzi sana sanaaa na wanakera mno nmeshaenda tawini kwao ad nmechoka nmepiga simu majibu n subiri 24 hrs
Shwainiiii kabisaaaa
Wako ovyooo zaid ya ovyoooo
Siamini kama crdb wamekuwa wababaishaji kiasi hiki...
Miezi miwili iliyo pita nilijaza fomu ya kujiunga na online purchasing...
Nikaambiwa nitatumiwa Temporary Access code ndani ya masaa 24. Zikapita siku mbili sijatumiwa hiyo namba, nikamwambia kuulizia kulikoni. Kama kawaida Yao wakaomba namba ya akaunti, namba SITA za Mwanzo za kwenye card number yangu na namba nne za Mwisho. Nikafanya kama walivyo agiza then nikaaambiwa after 24 hours nitatumiwa namba..
Two days later number bado haijatumwa. Nikaamua kwenda makao makuu.
.
wakachukua details zangu nikaaambiwa nitatumiwa namba baada ya masaa 24.
siku tatu zikapita bila majibu. Nikapiga simu.. nikaambiwa Tena ntatumiwa namba baada ya masaa 24..
seven hours later nikatumiwa temporary access code...
Kwenda kwenye website Yao nikafanya kama walivyo elekeza..
Sehemu ya majina yangu nikajaza jina la Mwanzo na la mwisho Kwa herufi kubwa then nikaweka na hiyo temporary access code Yao..
Baada ya Ku click, ikaleta majibu Password and names do not match.
Nikajaribu mara ya pili, password and names do not match.
mara ya tatu nikaambiwa the service has been suspended.
nikapiga simu nikaambiwa ntatumiwa access code nyingine after two hours.
after two hours HAKUNA namba iliyo tumwa, kupiga simu nikaambiwa after twenty four hours natumiwa namba..
toka mwezi wa tatu mwishoni mpaka WA huu WA SITA majibu NI Yale Yale..
Watu wengi wanawalalamikia crdb kuhusu huduma hii.
crdb badilikeni SASA... Vunjeni kitengo chenu cha IT ni wababaishaji mno..
watu tunashindwa kufanya business transactions Kwa sababu ya uzembe na ubabaishaji wa IT experts wenu.
personally nimevunja account yangu ya crdb.
hela zote nimehamishia Standard Chartered Bank..
sijui NI wateja wenu wangapi watakuwa wamefanya hivi.
yani watu wenu wa it wanafanya mambo kienyeji Sana. Like seriously!!! Yani hawawezi kufanya majukumu Yao mpaka uwapigie kuwakumbusha?
This is too unprofessional. Enzi za Kimei hakukuwaga na ubabaishaji kama huu.
IT EXPERTS wa Standard Chartered Wana kitu gani ambacho IT experts WA Crdb hawana?
how comes nimeenda Standard Chartered nimefungua account, Kasi ilivyo kuwa activated nikaenda kujiunga na huduma ya online purchasing na imekuwa activated ndani ya siku moja?
Nitamshauri vp MTU anaetaka kujiunga na huduma ya online purchasing akafungue akaunti Crdb wakati Standard Chartered wapo?
Hata ngombe Hawezi kuyapeleka Makinda yake kwenda kunywa maji kwenye kisima chenye maji masafi wakati anajua mahali kilipo kisima chenye maji masafi.
Dunia ya sasa karibu kila kitu kinafanyika online..Taasisi kubwa kama crdb inakuwa na experts wanao fanya ubabaishaji kwenye kitengo muhimu kama hicho inakuwa haimake sense..
Kwa usumbufu mlio nifanyia mngeufanya Kwa mtu kama Mtikila am sure as hell huko mahakamani kungekua na jalada linalosomeka MTIKILA Vs CRBD.
Angewashtaki for the breach of contract
crdb lifanyieni kazi Tatizo haraka iwezekanavyo.
asanteni na kwaherini
Aisee . . . . hivi kumbe brother aliwatumia sana eeh . . . . sasa nimejuaCharles Kimei wa CRDB, Nehemia Mchechu wa NHC na Ramadhan Dau wa NSSF ni mapacha watatu wa awamu ya Nne ambao ndio walikuwa think tank ya JK
Hakuna Siku Ndege ya JK iliruka kwenda Nje ya Nchi kwa ziara ya Kikazi ikakosa mmoja kati yao
Kweli Mzee Mwinyi alisema ''…Kila zama na kitabu chake…'
Wanazungua sana Jamaa it's better waifute hiyo huduma kuliko kusumbua watu
Vipi Kuhusu Standard Charter MKU...??Crdb Nmb Tpb - Usithubutu kutumia hizi bank kwenye online purchasing. Utajuta
Benki za kutumia kwenye online purchasing ni ABC na Exim ndo wako vizuri. Equity wako vizuri kwenye payment (one way payment) ila usiitumie ku receive hela wana usumbufu kwenye kupata hela kutoka online.
~ Experienced user
Hii ni hatari sana, siyo kitu ya kuwashauri watu.Kama unafanya manunuzi kwenye site ya kuaminika wala huhitaji kuunganisha na paypall, kwneye checkout nenda direct ingiza card number na CSS kisha place oder yako
Sent using Jamii Forums mobile app
CRDB haijaanza huo ushamba leo. Toka Kimei yupo hapo wamekuwa wanafanya mambo ya kishamba vilevile.
Nakumbuka 2013, niliwaomba wa-activate card yangu kufanya online transaction. Wakanijazisha forms.
Nilifuatilia ile form mwezi mzima wananipiga kalenda. Nikahamia Standard Chartered Bank. Toka siku hiyo sijajutia.
Leo hii unaweza fungua account kwa App ya SC bila kwenda bank. Na kila kitu ukaattach hapohapo. Haya mambo Crdb hawawezi.
Crdb na Nmb ni benki local, zina wafanyakazi wanaowaza kilocal zaidi.
Hao jamaa wa CRDB niliomba wan activate na sim banking, hhaahahahah miezi mitatu sasa kila siku wanasema nenda kwenye ATM ujihudumie, mara ya mwisho kadi ikamezwa. Nilikuwa moshi mjini pale eti wameweka na katangazo kuwa fanya transactions haraka hakara ukichelewa kadi itamezwa, amini usiamini nilichelewa kidogo na kweli kadi ikamezwa. Hopeless kabisa hao jamaaa.
Equity wanasumbua kupokea hela toka lini!?
Mimi nina mwaka wa 3 napokea kupitia equity sijawahi pata tatizo lolote!