macjay
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 371
- 408
Hii ilinitokea hata mimi ...Nilimaliza taratibu zote za mkopo jamaa kuniwekea fedha wanajivuta hawakujua kuwa mimi ninaishi kama serikali lazima nikope yaani ni lazima niwe na mkopo ili kichwa kichaji ........ nikafatilia kama wiki 2 wanizingua nikajua jamaa anataka cha juu.......nikauchuna baada ya mwezi wakaingiza hiyo fedha .... nikamtumia sms afisa mikopo nikamwambia wengine kukopa ni kama hobby sio lazima tuwe na tatizo wakati huo naweza kujaza fomu ya mkopo leo fedha wekeni hata mwakaniKiukweli kwa sasa CRDB wamekuwa wazinguaji sana. Naona wamelewa sifa za kuwa benki yenye ubunifu zaidi. Binafsi nilienda na jamaa yangu kushughulikia mkopo lakini kilichotokea jamaa aliamua kuhama benki baada ya kuona mizunguko kibao isiyo na tija. Aliingia Equity with no time akapata mkopo wa biashara. CRDB wasipobadilika watakutana na anguko la maana siku chache zijazo
ah ah