kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 12,842
- 13,161
"Unaweza kuajiri na kigezo kimojawapo kikawa ukabila, na ukaweza kupata watu competent tu"Hujaelewa. Unatakiwa uwe na process nzuri ya recruitment isiyo na ukabila. Ningeweka lakini badala ya pamoja
2008/2009 Mkuu wa Internet Banking & Online Purchase katika Branch aliniuliza, hivi dogo hivyo vitu unanunua online huwa vinafika kweli? Huko mtandaoni mnakonunua wanaaminika kweli??Hahaa, umenikumbusha 2015 wakati naanza hizi mambo za online purchase, walinisumbua kama week 3 hivi, ukiwauliza hawajui kabisa.
Sijui kitengo cha IT wale jamaa hawaupgrade knowledge yao, yani walichosoma darasani ndo hicho hicho.
Nilihama nikaenda Barclay's(ABSA )
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili la "Recycled management" nalo ni tatizo kubwa sana Tanzania. Mtu anateuliwa kuwa CEO wa taasisi analeta team "mpya" hadi mhudumu kutoka kwenye taasisi aliyokuwa anahudumu hapo awali.CRDB sasa imekuwa kama kitengo cha NMB kwani uongozi mpya umechukua Directors/Managers kwa kiasi kikubwa NMB (completely recycling). Idea/Model ya NMB ndio imepandikizwa CRDB yaani ubunifu ni zero kabisa (copy and paste).
Look, other factors za kuajiri zinakuwa constant sema umeongeza na ukabila. Hapa hatunyambulishi hizo factors ni zipi kama ulivyoanza kuzungumzia passion. Mfano, una two candidates wote wako same qualified na unatakiwa kumuajiri mmoja tu. Ndipo unapoona watu wengine wanatumia ukabila, na kuja na hoja kuwa kwani hawa qualify? Mbona ni wazi?"Unaweza kuajiri na kigezo kimojawapo kikawa ukabila, na ukaweza kupata watu competent tu"
Kigezo kiwe ukabila alafu upate watu competent ktk field hizi za IT.Hapo 100% lazima utafeli,IT ni passion cheti peke yake hakitoshi.
Lazima uwe na passion ya kile unachokifanya,kwani kitakufanya ukifuatilie ,field za IT zinabadilika badilika unatakiwa uwe mwepesi kwenda nayo sambamba.
Ila kama umeingia ktk field ya IT alafu hauna passion ,pili umeambiwa utafute cheti kisa kuna mabosi wa kabila lako,jua kabisa unaenda kuiua kampuni.
Nimeongezea mimi au wewe ndio umeandika hivyo.Look, other factors za kuajiri zinakuwa constant sema umeongeza na ukabila. Hapa hatunyambulishi hizo factors ni zipi kama ulivyoanza kuzungumzia passion. Mfano, una two candidates wote wako same qualified na unatakiwa kumuajiri mmoja tu. Ndipo unapoona watu wengine wanatumia ukabila, na kuja na hoja kuwa kwani hawa qualify? Mbona ni wazi?
Mkuu hujaenda kuliport laki nne sio mchezoTumia M-Pesa MasterCard achana na crdb, Mimi wameniibia laki 4 kwenye account yangu.
Mi niko na stanbic wako vyema sana simply hizi international banks wako poa sana kuhusu online transaction, Wote hata absa wako good mfano stanbic huhitaji kujaza fomu kuiruhusu kadi ifanye purchases onlineCrdb Nmb Tpb - Usithubutu kutumia hizi bank kwenye online purchasing. Utajuta
Benki za kutumia kwenye online purchasing ni ABC na Exim ndo wako vizuri. Equity wako vizuri kwenye payment (one way payment) ila usiitumie ku receive hela wana usumbufu kwenye kupata hela kutoka online.
~ Experienced user
Look, other factors za kuajiri zinakuwa constant sema umeongeza na ukabila. Hapa hatunyambulishi hizo factors ni zipi kama ulivyoanza kuzungumzia passion. Mfano, una two candidates wote wako same qualified na unatakiwa kumuajiri mmoja tu. Ndipo unapoona watu wengine wanatumia ukabila, na kuja na hoja kuwa kwani hawa qualify? Mbona ni wazi?"Unaweza kuajiri na kigezo kimojawapo kikawa ukabila, na ukaweza kupata watu competent tu"
Kigezo kiwe ukabila alafu upate watu competent ktk field hizi za IT.Hapo 100% lazima utafeli,IT ni passion cheti peke yake hakitoshi.
Lazima uwe na passion ya kile unachokifanya,kwani kitakufanya ukifuatilie ,field za IT zinabadilika badilika unatakiwa uwe mwepesi kwenda nayo sambamba.
Ila kama umeingia ktk field ya IT alafu hauna passion ,pili umeambiwa utafute cheti kisa kuna mabosi wa kabila lako,jua kabisa unaenda kuiua kampuni.
Naona hatuelewani. I rest my case.Nimeongezea mimi au wewe ndio umeandika hivyo.
Sijaongeza ukabila bali wewe ndio umeongeza hiyo factor au una maana nyingine.Look, other factors za kuajiri zinakuwa constant sema umeongeza na ukabila. Hapa hatunyambulishi hizo factors ni zipi kama ulivyoanza kuzungumzia passion. Mfano, una two candidates wote wako same qualified na unatakiwa kumuajiri mmoja tu. Ndipo unapoona watu wengine wanatumia ukabila, na kuja na hoja kuwa kwani hawa qualify? Mbona ni wazi?
Naona hatuelewani. I rest my case.
Embu iondoe NMB hapo mimi natumia online purchase kupitia NMBCrdb Nmb Tpb - Usithubutu kutumia hizi bank kwenye online purchasing. Utajuta
Benki za kutumia kwenye online purchasing ni ABC na Exim ndo wako vizuri. Equity wako vizuri kwenye payment (one way payment) ila usiitumie ku receive hela wana usumbufu kwenye kupata hela kutoka online.
~ Experienced user
Thread hii tangu mwanzo inazungumzia ukabila kama kigezo cha ajira hapo CRDB, kwa hiyo sijaongeza chochote ila wewe ukaongezea kwa kutoa mfano wa IT profession, kuwa kama huna passion ya kazi, huwezi ku deliver.Sijaongeza ukabila bali wewe ndio umeongeza hiyo factor au una maana nyingine.
View attachment 1480960
Pole sana , mimi binafsi kuacha akaunti ya watumishi wa mahakama ambao tumelazimishwa kufungua NMB,Siamini kama crdb wamekuwa wababaishaji kiasi hiki...
Miezi miwili iliyo pita nilijaza fomu ya kujiunga na online purchasing...
Nikaambiwa nitatumiwa Temporary Access code ndani ya masaa 24. Zikapita siku mbili sijatumiwa hiyo namba, nikamwambia kuulizia kulikoni. Kama kawaida Yao wakaomba namba ya akaunti, namba SITA za Mwanzo za kwenye card number yangu na namba nne za Mwisho. Nikafanya kama walivyo agiza then nikaaambiwa after 24 hours nitatumiwa namba..
Two days later number bado haijatumwa. Nikaamua kwenda makao makuu.
.
wakachukua details zangu nikaaambiwa nitatumiwa namba baada ya masaa 24.
siku tatu zikapita bila majibu. Nikapiga simu.. nikaambiwa Tena ntatumiwa namba baada ya masaa 24..
seven hours later nikatumiwa temporary access code...
Kwenda kwenye website Yao nikafanya kama walivyo elekeza..
Sehemu ya majina yangu nikajaza jina la Mwanzo na la mwisho Kwa herufi kubwa then nikaweka na hiyo temporary access code Yao..
Baada ya Ku click, ikaleta majibu Password and names do not match.
Nikajaribu mara ya pili, password and names do not match.
mara ya tatu nikaambiwa the service has been suspended.
nikapiga simu nikaambiwa ntatumiwa access code nyingine after two hours.
after two hours HAKUNA namba iliyo tumwa, kupiga simu nikaambiwa after twenty four hours natumiwa namba..
toka mwezi wa tatu mwishoni mpaka WA huu WA SITA majibu NI Yale Yale..
Watu wengi wanawalalamikia crdb kuhusu huduma hii.
crdb badilikeni SASA... Vunjeni kitengo chenu cha IT ni wababaishaji mno..
watu tunashindwa kufanya business transactions Kwa sababu ya uzembe na ubabaishaji wa IT experts wenu.
personally nimevunja account yangu ya crdb.
hela zote nimehamishia Standard Chartered Bank..
sijui NI wateja wenu wangapi watakuwa wamefanya hivi.
yani watu wenu wa it wanafanya mambo kienyeji Sana. Like seriously!!! Yani hawawezi kufanya majukumu Yao mpaka uwapigie kuwakumbusha?
This is too unprofessional. Enzi za Kimei hakukuwaga na ubabaishaji kama huu.
IT EXPERTS wa Standard Chartered Wana kitu gani ambacho IT experts WA Crdb hawana?
how comes nimeenda Standard Chartered nimefungua account, Kadi ilivyo kuwa activated nikaenda kujiunga na huduma ya online purchasing na imekuwa activated ndani ya siku moja?
Nitamshauri vp MTU anaetaka kujiunga na huduma ya online purchasing akafungue akaunti Crdb wakati Standard Chartered wapo?
Hata ngombe Hawezi kuyapeleka Makinda yake kunywa maji kwenye kisima chenye maji machafu wakati anajua mahali kilipo kisima chenye maji masafi.
Dunia ya sasa karibu kila kitu kinafanyika online..Taasisi kubwa kama crdb inakuwa na experts wanao fanya ubabaishaji kwenye kitengo muhimu kama hicho inakuwa haimake sense..
Kwa usumbufu mlio nifanyia mngeufanya Kwa mtu kama Mtikila am sure as hell huko mahakamani kungekua na jalada linalosomeka MTIKILA Vs CRBD.
Angewashtaki for the breach of contract
crdb lifanyieni kazi Tatizo haraka iwezekanavyo.
asanteni na kwaherini
tit for tat ...... msemo nilihutumia sana nilipokuwa najifunza ngeliKama Magufuli anavyojaza wasukuma.