Chona
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 523
- 360
Kila siku mtandao hakuna leo nimeshindwa kutuma pesa Mtandao. Hii benki hopeless.
Hili neno kwa CRDB limeshakuwa kama wimbo wao wa kazi. Kila ukienda Bank yao utakuatana na hii habari "mtandao upo chini". Mbona mitandao ya bank zingine haiendi chini. Wao wanaweza wana nini kiasi kwamba ninyi mmeshindwa, mnabaki kubahatisha.
My advice: Employ competent people who can serve your clients to their satisfaction otherwise you will lose them.