CRDB Bank utaratibu mnaotumia kuwaita watu kwenye usaili wa kazi ni wa kibaguzi

BOFREE

JF-Expert Member
Mar 1, 2012
985
1,287
CRDB BANK juzijuzi mmeita watu kwenye usaili kwenye nafasi ya sales executive ila utaratibu mnaotumia kuwaita watu kwenye usail wa kazi ni wakibaguzi kwa sababu mnatumia njia ya kupiga simu peke yake njia hii si sahihi kwasababu zifuatazo:

1. Simu ya muhusika anaeitwa kwenye usaili ikiwa imezima maana yake ndio kaukosa usaili , na simu kuzima ni kawaida kuna sababu kama kuishiwa charge na kazalika.

2. Njia hii ni ya kibaguzi sababu inafumba fumba waliotwa kwenye usaili wasijulikane

Nawashauri nazani mnamanagement katika kitengo cha human resources ina elimu na uelewa wa kutosha hivyo ili kuondoa mkanganyiko tumieni hizi njia

1. Bandikeni majina ya watu walioitwa kwenye usaili kwenye website yenu mbona matangazo ya kazi mnaweka.

2. Tumeni ujumbe wa sms kwenye simu za wasailiwa, njia hii ni nzuri endapo simu ya msailiwa imezima kwa muda ujumbe ataupata.

3. Ndiyo, mpige simu

Mwisho njia ya kupiga simu pekee si njia nzuri ni njia ambayo inawanyima wengine kushiriki usaili na njia hii mmekuwa mnaitumia kwa muda mrefu hivyo nyie kama bank huru katika kuajiri, badilikeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo nafasi za sales executive wamepewa hadi ambao hawakutuma maombi


Majina yamejadiliwa kwenye vijiwe vya pombe.

Ni kama nafasi zimeuzwa kwa chochote ambacho unacho na kwa kuwa mkuu wa kitengo hicho ni mwanaume sitaki kutaja jina lake nadhani mmenielewa.

Usishangae sana ndugu yangu, walukutega tuu hata ungeenda usinge pata.
CRDB BANK juzijuzi mmeita watu kwenye usaili kwenye nafasi ya sales executive ila utaratibu mnaotumia kuwaita watu kwenye usail wa kazi ni wakibaguzi kwa sababu mnatumia njia ya kupiga simu peke yake njia hii si sahihi kwasababu zifuatazo:

1. Simu ya muhusika anaeitwa kwenye usaili ikiwa imezima maana yake ndio kaukosa usaili , na simu kuzima ni kawaida kuna sababu kama kuishiwa charge na kazalika.

2. Njia hii ni ya kibaguzi sababu inafumba fumba waliotwa kwenye usaili wasijulikane

Nawashauri nazani mnamanagement katika kitengo cha human resources ina elimu na uelewa wa kutosha hivyo ili kuondoa mkanganyiko tumieni hizi njia

1. Bandikeni majina ya watu walioitwa kwenye usaili kwenye websight yenu mbona matangazo ya kazi mnaweka.

2. Tumeni ujumbe wa sms kwenye simu za wasailiwa, njia hii ni nzuri endapo simu ya msailiwa imezima kwa muda ujumbe ataupata.

3. Ndiyo, mpige simu

Mwisho njia ya kupiga simu pekee si njia nzuri ni njia ambayo inawanyima wengine kushiriki usaili na njia hii mmekuwa mnaitumia kwa muda mrefu hivyo nyie kama bank huru katika kuajiri, badilikeni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo nafasi za sales executive wamepewa hadi ambao hawakutuma maombi


Majina yamejadiliwa kwenye vijiwe vya pombe.

Ni kama nafasi zimeuzwa kwa chochote ambacho unacho na kwa kuwa mkuu wa kitengo hicho ni mwanaume sitaki kutaja jina lake nadhani mmenielewa.

Usishangae sana ndugu yangu, walukutega tuu hata ungeenda usinge pata.

Sent using Jamii Forums mobile app
Noted.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupigiwa simu nayo ni sehemu ya interview.

Wanaku interview kama uko makini kujibu simu yako.

Ukishindwa unaonekana unacheza.

Habari za kubandikana majina magazetini zimepitwa na wakati na hazisitiri faragha ya mtu binafsi.

Kuna watu wengine hawataki majina yao yaonekane magazetini kwa sababu moja au nyingine.

Kuna watu wengine hawataki kujulikana kama wameenda kwenye usaili sehemu fulani.
 
Ninashukuru Mungu nilishiriki hii Interview, asubuhi tulifanya Written na jioni tulifanya Oral. Nakumbuka ilikuwa 05.02.2020 na nilifanyia Mikocheni Dar.
Walinipigia simu 03.02.2020 jioni na wengine walikiri kupigiwa simu 04.02.2020
Pata picha hauna nauli na kazi umeitwa, utajinyea kwa uchungu. Walidai tusubiri siku 14 baada ya ile 05.02.2020 ndio tuanze kuwa karibu na simu zetu kwani ndio waliopata watataharifiwa.
Ila ukweli ni kuwa simu pekee haitoshi, SMS ni muhimu ila majina katika Mtandao sishauri kwani kuna raia wanapenda kuharibu mafanikio ya wengine, kudharau kazi ya wengine, ndugu nao wanaweza fikiri umepata bonge la kazi kumbe unazuga tuu, SMS should be the solution.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na soko la ushindani,kupatikana kwenye simu ni muhimu,kutokupatikana kwako unakuwa umeepusha msongano. Mfano miaka 8 iliyopita niliomba kazi kupitia hizi taasisi za nje,nikiwa niko kwenye mizunguko yangu mjini....nikapigiwa simu kutoka Australia,wakajitambulisha ni bank fulani na wakathibitisha jina langu,na wakaniambia niwapatie muda ndani ya masaa mawili wanipe test kwa njia ya internet;tulikubaliana muda na nilifanya test yao...ilikuwa ni michoro michoro tu ya logic. ninachotaka kusema hapa,kupatikana kwenye simu kwa muda muafaka ni muhimu zaidi hasa hiki kipindi chenye ushindani mkubwa.
 
Kupigiwa simu nayo ni sehemu ya interview.

Wanaku interview kama uko makini kujibu simu yako.

Ukishindwa unaonekana unacheza.

Habari za kubandikana majina magazetini zimepitwa na wakati na hazisitiri faragha ya mtu binafsi.

Kuna watu wengine hawataki majina yao yaonekane magazetini kwa sababu moja au nyingine.

Kuna watu wengine hawataki kujulikana kama wameenda kwenye usaili sehemu fulani.
Kupiga simu bila kutuma sms ni upuuzi na nusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupigiwa simu nayo ni sehemu ya interview.

Wanaku interview kama uko makini kujibu simu yako.

Ukishindwa unaonekana unacheza.

Habari za kubandikana majina magazetini zimepitwa na wakati na hazisitiri faragha ya mtu binafsi.

Kuna watu wengine hawataki majina yao yaonekane magazetini kwa sababu moja au nyingine.

Kuna watu wengine hawataki kujulikana kama wameenda kwenye usaili sehemu fulani.

kuongezea apa!

la kwanza, wewe kua offline wakati una shida ya kazi tayar ni inaonesha haupo serious
la pili hamna mtu anakusubiria simu ikizima wateja lazima waendelee kuhudumiwa! ata kama ilikua bahati yako kupata hio kazi lakini by default umeshaikosa, zoezi dogo tu ilo na ni interview tosha! we kama nan tukusubirie uwashe simu?na hii inaonyesha jinsi gan watanzania hatufanyi mambo in standard, kwa kifupi hatupo serious na maisha
 
Kutokana na soko la ushindani,kupatikana kwenye simu ni muhimu,kutokupatikana kwako unakuwa umeepusha msongano. Mfano miaka 8 iliyopita niliomba kazi kupitia hizi taasisi za nje,nikiwa niko kwenye mizunguko yangu mjini....nikapigiwa simu kutoka Australia,wakajitambulisha ni bank fulani na wakathibitisha jina langu,na wakaniambia niwapatie muda ndani ya masaa mawili wanipe test kwa njia ya internet;tulikubaliana muda na nilifanya test yao...ilikuwa ni michoro michoro tu ya logic. ninachotaka kusema hapa,kupatikana kwenye simu kwa muda muafaka ni muhimu zaidi hasa hiki kipindi chenye ushindani mkubwa.
sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom