CRDB, Azikiwe Premier Yasaidia Watoto Waishio Katika Mazingira Magumu.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,337
113,180
Wanabodi,
Benki ya CRDB ndio benki yenye huduma bora Tanzania kuliko benki nyingine yoyote, imeendeleo kuonyesha kuwajali Watanzania ambapo Menejmenti na Wafanyakazi wa CRDB Bank Tawi la Azikiwe Premier, la jijini Dar es Salaam, wameadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika, kwa kuwakumbuka watoto wanaoishi katika mazingira magumu, kwa kuwatembelea watoto wanaotunzwa katika kituo cha Jeshi la Wokovu kwa kuwapelekea zawadi mbalimbali za mahitaji muhimu, na kuwadhamini baadhi yao kwa kuwafungulia akaunti, kuwachangia, kugharimia elimu zao, na kugharimia mahitaji yao.
Wanabodi,
CRDB Azikiwe Premier Photo 8.JPG

Wafanyakazi wa CRDB BANK, tawi la Azikiwe Premier, wakikabidhi zawadi mbalimbali kwa watoto wanaotunzwa katika kituo cha watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Jeshi la Wokovu, Kurasini jijini Dar es Salaam, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 7.JPG

Mfanyakazi wa CRDB BANK, tawi la Azikiwe Premier, akikabidhi zawadi mbalimbali kwa watoto wanaotunzwa katika kituo cha watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Jeshi la Wokovu, Kurasini jijini Dar es Salaam, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 17.JPG

Mkurugenzi na wafanyakazi wa CRDB Bank, Tawi la Azikiwe Premier, kwenye picha ya pamoja na mtoto Mariam Stephen Jackson, aliyekuwa akiishi katika mazingira magumu. Marriam pia amefunguliwa akauti maalum ya watoto ya benki hiyo iitwayo Junior Jumbo,ambayo wafanyakazi wa Tawi hilo la Azikiwe Premier, wananchangia kugharimia elimu yake. Sherehe hiyo imefanyika wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 19.JPG

Mkurugenzi na wafanyakazi wa CRDB Bank, Tawi la Azikiwe Premier, wakiwa na keki ya mtoto Mariam Stephen Jackson, aliyekuwa akiishi katika mazingira magumu. Marriam pia amefunguliwa akauti maalum ya watoto ya benki hiyo iitwayo Junior Jumbo,ambayo wafanyakazi wa Tawi hilo la Azikiwe Premier, wananchangia kugharimia elimu yake. Sherehe hiyo imefanyika wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 5.JPG

Mkurugenzi wa CRDB Bank, Tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Musula, na wafanyakazi wa tawi hilo, na wateja, wakionyesha fedha walizomchangia mtoto Mariam Stephen Jackson, aliyekuwa akiishi katika mazingira magumu. Marriam pia amefunguliwa akauti maalum ya watoto ya benki hiyo iitwayo Junior Jumbo,ambayo wafanyakazi wa Tawi hilo la Azikiwe Premier, wananchangia kugharimia elimu yake. Sherehe hiyo imefanyika wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 18.JPG

Mkurugenzi na wafanyakazi wa CRDB Bank, Tawi la Azikiwe Premier, wakikata keki na mtoto Mariam Stephen Jackson, aliyekuwa akiishi katika mazingira magumu. Marriam pia amefunguliwa akauti maalum ya watoto ya benki hiyo iitwayo Junior Jumbo,ambayo wafanyakazi wa Tawi hilo la Azikiwe Premier, wananchangia kugharimia elimu yake. Sherehe hiyo imefanyika wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 20.JPG

Mkurugenzi wa CRDB Bank, Tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Musula, akimlisha keki mtoto Mariam Stephen Jackson, aliyekuwa akiishi katika mazingira magumu. Marriam pia amefunguliwa akauti maalum ya watoto ya benki hiyo iitwayo Junior Jumbo,ambayo wafanyakazi wa Tawi hilo la Azikiwe Premier, wananchangia kugharimia elimu yake. Sherehe hiyo imefanyika wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 11.JPG

Mkurugenzi wa CRDB Bank, Tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Musula, akimlisha keki mtoto Mariam Stephen Jackson, aliyekuwa akiishi katika mazingira magumu. Marriam pia amefunguliwa akauti maalum ya watoto ya benki hiyo iitwayo Junior Jumbo,ambayo wafanyakazi wa Tawi hilo la Azikiwe Premier, wananchangia kugharimia elimu yake. Sherehe hiyo imefanyika wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 14.JPG

Mtoto Theresia Wilson Amulungi,akionyesha kibubu chake alichotunzia fedha anazopewa kwa matumizi. Sasa Theresia amefunguliwa akauti maalum ya watoto ya benki hiyo iitwayo Junior Jumbo. Sherehe hiyo imefanyika wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 10.JPG

Mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB, Tawi la Azikiwe Premier, Deogratias Lazaro Shija, akikata kibubu cha mtoto Theresia Wilson Amulungi,aliyezitunza kwenye kibubu. Sasa Theresia amefunguliwa akauti maalum ya watoto ya benki hiyo iitwayo Junior Jumbo. Sherehe hiyo imefanyika wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 2.JPG

Mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB, Tawi la Azikiwe Premier, Deogratias Lazaro Shija, akihesabu fedha kwenye zilizohifadhiwa kwenye kibubu cha mtoto Theresia Wilson Amulungi,aliyezitunza kwenye kibubu. Sasa Theresia amefunguliwa akauti maalum ya watoto ya benki hiyo iitwayo Junior Jumbo. Sherehe hiyo imefanyika wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 12.JPG
Mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB, Tawi la Azikiwe Premier, Deogratias Lazaro Shija, akikabidhi fedha zilizohifadhiwa kwenye kibubu cha mtoto Theresia Wilson Amulungi, aliyezitunza kwenye kibubu. Sasa Theresia amefunguliwa akauti maalum ya watoto ya benki hiyo iitwayo Junior Jumbo. Sherehe hiyo imefanyika wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 3.JPG

Mkurugenzi wa CRDB Bank, Tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Musula, akionyesha fedha zilizochangwa kumuongezea mtoto Theresia Wilson Amulungi, baada ya kutunza fedha kwenye kibubu. Sasa Theresia amefunguliwa akauti maalum ya watoto ya benki hiyo iitwayo Junior Jumbo. Sherehe hiyo imefanyika wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa
CRDB Azikiwe Premier Photo 4.jpg

Mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB, Tawi la Azikiwe Premier, Deogratias Lazaro Shija, akikata keki na baadhi ya watoto waliofunguliwa akauti maalum ya watoto ya CRDB Bank, iitwayo Junior Jumbo, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa
CRDB Azikiwe Premier Photo 6.JPG

Baadhi ya watoto waliofunguliwa akauti maalum ya watoto za benki ya CRDB iitwayo Junior Jumbo, wakionyesha Tembo Card za akaunti zao, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa
CRDB Azikiwe Premier Photo 9.JPG

Mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB, Tawi la Azikiwe Premier, Deogratias Lazaro Shija, akikabidhi zawadi kwa baadhi ya watoto waliofunguliwa akauti maalum ya watoto ya CRDB Bank, iitwayo Junior Jumbo, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa
CRDB Azikiwe Premier Photo 15.JPG

Watoto mbalimbali waliofunguliwa akaunti za Junior Jumbo kwenye benki ya CRDB, tawi la Azikiwe Premier wakionyesha zawadi mbalimbali walizopewa,, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 14.JPG

Wafanyakazi wa CRDB BANK, tawi la Azikiwe Premier, wakiwa na watoto waliofunguliwa akaunti za Junior Jumbo kwatika tawi hilo, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.
CRDB Azikiwe Premier Photo 1.jpg

Mkurugenzi wa CRDB Bank, Tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Musula, akikata keki na baadhi ya watoto waliofunguliwa akauti maalum ya watoto ya benki hiyo iitwayo Junior Jumbo, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Africa ilioadhimishwa na benki hiyo kwa wiki nzima sasa.

MY Take.
Hii ni benki yetu, wale ambao bado hamjajiunga na CRDB Bank, jiungeni.
Paskali
 

Attachments

  • CRDB Azikiwe Premier Photo 13.JPG
    CRDB Azikiwe Premier Photo 13.JPG
    45.2 KB · Views: 27
  • CRDB Azikiwe Premier Photo 16.JPG
    CRDB Azikiwe Premier Photo 16.JPG
    49.1 KB · Views: 28
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom