Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,141
- 45,808
Form one nilienda na boxer zangu 7 ,nikakuta wahuni wana boxer moja moja si wakaniibia zote,kila ukianika hukuti
Hahahaha,achana na makand3 hata ubwabwa pia unautunza af kesho yake asubuhi unaupga na uji au unauchanganya kwa pamoja uji na ubwabwa.Unachukua makande mchana unayatunza hadi kesho kesho upige na uji
Pole mkuu, f ya math? Daah kweli genealogy ya math imepita kushoto kwenye ukoo wenuI was thief I steal mathematics books but when I finished form 4 I got F in math exam now I know there no advantage of being thief (Kingereza kilikuja na boat poooh)
Daaa,we jamaa wewe,kwaio ilikuajeEnzi hizo nipo form 2 nakumbuka nipo bweni mida ya saa mbili nilikuwa na tumbo la kuala nilijinyea dalasani walimu wote waligoma kuingia dalasani sitosahau aisee kwaajiri ya mahalagwe yalio chaha
Biashara ya kufuta stamp ni shiidaI see tulofanya hivi tupo wengi sana. Nilikuwa nikipata barua basi najua 'deal' hilo. Stamp itatumika kwenda kwingine... Ufisadi ulianzia huku
Jamani jamani magodor magodoro yetuuuuu, hakika ya kale dhahabuhahahahahaha umenikumbusha mbaaaaali miaka yangu yote shuleni sikuwahi kutumia maji lakini cha ajabu nikirudi likizo situmii makaratasi.........kuna wakati magodoro unakuta limenyofolewa wamekwenda kujiswafia.
Wakati wa uji vyombo vilikuwa SADOLIN, kuna jamaa namkumbuka na sadolin lake lililokuwa limeandikwa DON'T SPY ME. jamaa anajaza na kumaliza peke yake.
hahaha hata uboyzin ivyo hivyoShuleni kwetu ilikuwa wanaweka sufuria la ukoko nje ya jikoni wakishapakua,wee inapigwa scramble hatareee form1 hadi 6 hujui nani ni nani,thank God tulikuwa girls only mana ilikuwa uchizii,..