Zuleykha
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 1,163
- 1,656
Kwakweli, Sasa sister nawe ulijaribu?Usishangae kawaida kwa shule . mana vinakuwa vitu adimu ...na ukibambwa shule hauna....na unajua uroho wa mwanafunzi ni chips.
Kwakweli, Sasa sister nawe ulijaribu?Usishangae kawaida kwa shule . mana vinakuwa vitu adimu ...na ukibambwa shule hauna....na unajua uroho wa mwanafunzi ni chips.
Ah kila wkend mchana nilikuwa nakula chips na kuku......siyo kujaribu bali nimefanya sana na shost wangu mmoja......ila nikikumbuka uwa najicheka tu....shule za boarding zinakufundisha mambo ambayo haukutarajia kuyafanya.Kwakweli, Sasa sister nawe ulijaribu?
Umesoma boarding?Kwakweli, Sasa sister nawe ulijaribu?
Yah Hapo zamaniUmesoma boarding?
hata sielewiMmh Yoga
Hauelewi nini?hata sielewi
Mchezo mtamu saaana huuu wa kufuta muhuri kwenye stamp~Hata hizo barua unazojiandikia mwenyewe, hununui stamp hata siku moja! Stamp inafutwa muhuri na kutumika mara kadhaa! I think Shirika la Posta na Simu (jina la enzi hizo) halikupata chochote kwa barua kutoka mashuleni!
Ndio maana mnatutesa sasa kumbe ufisadi mlijifunza mapema~Hata hizo barua unazojiandikia mwenyewe, hununui stamp hata siku moja! Stamp inafutwa muhuri na kutumika mara kadhaa! I think Shirika la Posta na Simu (jina la enzi hizo) halikupata chochote kwa barua kutoka mashuleni!
.kwa maisha ya advance pale Tosa boys duh aibu
1.nimepiga mswaki kwa kutumia chai maana asubuh baridi maji baridi hayafai
2.kwa miaka miwili nimekaa shule miezi minne tu ,siku zingine zote niko home maana hata ukitoroka hujulikani hakuna class attendance ni uandikwe tu kwenye roll call
3.ukichoka kwenda class unaacha mlango wazi kisha kitandani unaweka chandarua nusu kionekane kama mtu kaamka,unalala upande wenye chandarua hata ticha aje ashtukii
4.unakwangua waya wa umeme wa taa kisha unapitisha viwaya vyembamba ambavyo havionekani ukutani mpaka kitandani ,unachajia simu na kusikilizia redio
5.tv ya chuo inabidi itizamwe na wanafunzi wote kama elf na 200 ,aliewahi anaweka godoro chini ya meza ya tv ndie anatazama kwa raha
6.ada ikitumwa tu imeliwa ,italipwa ikipatikana kkkkkkk.
Kweli we ni wa mwaka Jana huu uandishi tu unaonesha.huoni wenzio wa zaman wanavotulia kuandika acha hizome nakumbk mwk jn nikiw 4m 4 mag high 2likmtw na tich aitway solo tukiw stoo 2nakul wal nyma wa aka2pg pch akaplk staf
hiyo ilikuwa 2004 pale mwenge sec sgd,walikuwepo maticha enzi hizo m1anajiita mwana wa adam,donge,horse power mayombo,muna,siku za disco ilikuwa ni shiddah madem zetu na wao walikua wanawamendea so baada ya debe wakiwanasa mmekumbatiana pondini kazi mnayo,sitaki kukumbuka maiko barantanda walivyokuwa wanamuhenyesha.