wewe umechoka mimi niko radhi nijitupe kwenye msafara wake na bomu langu nilipuke afie hapohapo
Mr. Rocky nimemchokaje mtu huyu mimi??? nataka tumuhifadhie albam ya kumbukumbu pindi atakapostaafu awe anaona picha zake, wakati akila bata za nchi hii! ni balaa, cjui tuliingiaje mkenge hivi?
Rais anapenda show off huyu dah?!..hakupiga picha enzi zake?!..huu u-camera philic unatokea wapi?!
nakwambia kikundi kitakachokuwa cha kwanza kuingia mtaani ili mradi tutoke mikononi mwa hawa mafedhuli, nitatangulia mbele na niondoke wa kwanza, ili wanangu baadae waje ishi bila unyanyapaa wala kunyang'anywa nssf yao! Naichukia serikali yake mnoooooo!siamini, yaani huyu mkweree anachukiwa kiasi cha watu kutaka kujilipua!!
Baba_Enock kwema baba??Yeah, I mean it...SoB
yaaani hakutegemea maishani kuishi maisha anayoishi, kula bata kama hizi! na anafanya kukomesha kabisaaaaaaa maana anajua muda si mrefu kitanuka! laanakhum mtu huyu!Rais anapenda show off huyu dah?!..hakupiga picha enzi zake?!..huu u-camera philic unatokea wapi?!