Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,479
Kaanza mradi wa kutembea kwa helicopter,Hili lijamaa kila linapoingia kwenye wizara, ni kujaribu kufanya WaTz wajinga ili lipige pesa, mi nalichukia hadi kichefuchefu, ptuuuuu
Kaanza mradi wa kutembea kwa helicopter,Hili lijamaa kila linapoingia kwenye wizara, ni kujaribu kufanya WaTz wajinga ili lipige pesa, mi nalichukia hadi kichefuchefu, ptuuuuu
Kwanini wanakodi kitu ambacho ni sehemu ya mradi?
Mradi unapaswa kuwa na crane kama hii.
Halafu ya kukodi, si ndio?Nimegundua ujinga ni hatari sana.
Mleta uzi pamoja na wale wanaokuunga mkono,pata muda wa kutembelea mradi mmoja wapo wa kuzalisha umeme kwa njia ya maji.Utajua ni crane ya namna gani inazungumziwa ili utofautishe na hizo unazozifahamu wewe.
Kumbe ndiyo maana Mungu huwainua wanyenyekevu.Huyu mtu wa Mungu anatukanwa bure kwa sababu ya watu wasiojua wakisemacho
Hili jambo pia linanishangaza, Mradi mkubwa kama huu lazima uwe na nyenzo muhimu kama hizo, Tani 26 ni kitu kidogo sana wala hakikupaswa kuongelewa bungeni, lilikuwa ni suala la utekelezaji tu, Januari anafanya siasa kwenye kazi!!!Inashangaza.Kwanini wanakodi kitu ambacho ni sehemu ya mradi?
Upigaji wake kwa nafasi ya urais aliyokuwa nayo huwaga siutambui mpaka leo!Sasa hivi tza itapigwa Sana hadi aje atokee magu mwingine watu washasafisha vyote japo nae alikuwa ni mpigaji
Pro Makamba ama ndiye Makamba mwenyewe uliyevaa id fake!Nimegundua ujinga ni hatari sana.
Mleta uzi pamoja na wale wanaokuunga mkono,pata muda wa kutembelea mradi mmoja wapo wa kuzalisha umeme kwa njia ya maji.Utajua ni crane ya namna gani inazungumziwa ili utofautishe na hizo unazozifahamu wewe.
Kumbe ndiyo maana Mungu huwainua wanyenyekevu.Huyu mtu wa Mungu anatukanwa bure kwa sababu ya watu wasiojua wakisemacho
Tupe facts sasa, unatulaumu bure! Inawezekana unachosema ni sawa fafanuwa tutaelewa tu!Nimegundua ujinga ni hatari sana.
Mleta uzi pamoja na wale wanaokuunga mkono,pata muda wa kutembelea mradi mmoja wapo wa kuzalisha umeme kwa njia ya maji.Utajua ni crane ya namna gani inazungumziwa ili utofautishe na hizo unazozifahamu wewe.
Kumbe ndiyo maana Mungu huwainua wanyenyekevu.Huyu mtu wa Mungu anatukanwa bure kwa sababu ya watu wasiojua wakisemacho
Kwahiyo hilo crane la tani 26 linawasili lini nchini?